CHADEMA wanaweza kupoteza jimbo la Moshi Mjini

CHADEMA wanaweza kupoteza jimbo la Moshi Mjini

Hapa moshi hata Yesu agombee CCM hlf chadema waweke jiwe..basi watu wanachagua jiwe..MOSHA H A P I T I.

Kuwa na Heshma na unachokiandika tena chunga saana huu si wakati wa kuchanganya vitu vya Kidunia na kiimani nadhani utakuwa umechanganya viroba na mikojo
 
Mosha anaimbwa yahaya unaishi wapii kila kona..hana sera kampeni nzima kumsifia mkewe wake..mara oh leo birthday ya mke wangu si akarushe bango tbc
 
Back
Top Bottom