ulibusiga......! Lowasa ndo nini?kwa mujibu wa dr. Mihogo aka dr maliwa
hatuwezi kuendelea kuishi chooni(ccm) tutaishi kule chumbani penye kinyesi kwani ni rahisi kupiga deki na kung"ara................... Ni lowasa tu mambo mengine badae....tumechoka kuwa mateka wa choo(ccm)..........hata mkiwanunua wote sisi ni lowasa tu!!!! ..haturudi chooni tena..... Wala hatukubali tena kurudi kule escrow,epa,meremete,twiga kuporwa,ufisadi wa nyumba,ufisadi wa barabara...usifadi wa meli...ufisadi wa tembo(meno ya tembo)...ufisadi wa twiga....ufisadi wa wanyama kiboko....utajiri wa wachache...... Ukweli choo kinanuka toka mwaka 61 tumeluha vya kutosha sasa ni mwisho.....lowasa ni ikulu tu hamna namna tena
Kwa jinsi hali ilivyo, mosha atashinda ubunge moshi mjini, watabiri wa mambo huko moshi wanasema wanahitaji mabadiliko, wamechoshwa na utawala wa chadema moshi mjini, sasa wanahitaji mabadiliko, na dhana ya utani wa mpare na mchagga ndiyo kwa kiasi kikubwa itamfanya mosha ashinde!!
Paka sasa upepo WA moshi MJINI unaonesha Davis mosha wa chama cha mapinduzi CCM anakubalika kwa vijana NA wazee..vile vile dhana ya ukabila inaweza kujitokeza baina ya wagombea hawa..sijui kama wachaga watakubali kuongozwa na mpare?Abel sere 4m moshi town
Huyo jamaa kakosea.Sasa Yesu anahusikaje hapa kabla ya kuandika kitu fikiri
Paka sasa upepo WA moshi MJINI unaonesha Davis mosha wa chama cha mapinduzi CCM anakubalika kwa vijana NA wazee..vile vile dhana ya ukabila inaweza kujitokeza baina ya wagombea hawa..sijui kama wachaga watakubali kuongozwa na mpare?Abel sere 4m moshi town
Jamaa juzi naona anagaia watu buku hamsini hamsini pale stend ya mabasi ya mikoani..!!
Kwa Moshi ninayoijua mimi hapati kitu pale..
Ivi unamjua Jaffary kweli wewe..!!
Maana hata kwa Goli la mkono moshi hawatoboi
Paka sasa upepo WA moshi MJINI unaonesha Davis mosha wa chama cha mapinduzi CCM anakubalika kwa vijana NA wazee..vile vile dhana ya ukabila inaweza kujitokeza baina ya wagombea hawa..sijui kama wachaga watakubali kuongozwa na mpare?Abel sere 4m moshi town
Wenyeji wa jimbo la Moshi humu pigeni kampeni kwa kupitia simu. Waongozeni huko. Ila wachagga ninajua wana misimamo sana. Kula kijani kura UKAWA.