Mkuu ccm kamwe hawajawahi kukubali kuwa na ushindani tangu waanzishe hilo shetani laowanataka kufanya mikutano ya ndani waacheni wafanye mimi sijaona sababu ya kuzuia mikutano ya ndani ya vyama. Kikubwa tu ni kuhusu Corona
Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.
Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.
Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.
My take: They should be shackled by all means necessary.
Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.
Twambie wanavurugaje amani wakati hawana jeshi, hawana siraha, hawana serikali. Hofu yenu ni nini? Waacheni uone litakalowapata.Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.
Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.
Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.
My take: They should be shackled by all means necessary.
Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.
Mtutano wa ndani unahusisha wanachama wa Cdm pekee. Kongamano je?
Una uhakika?
Mbona mnaogopa sana Katiba Mpya?Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.
Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.
Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.
My take: They should be shackled by all means necessary.
Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.
In the graveWhere is Daud Mwangosi?
kilaza ktk ubora wakoUkweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.
Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.
Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.
My take: They should be shackled by all means necessary.
Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.
Unadhani mikutano ya ndani inaitwa ya ndani sababu inafanyika kwenye ukumbi?..Ndio.
..kongamano, warsha, semina, mdahalo, vyote hivyo ni mikutano ya ndani.
..Polisi wamewaonea Chadema kwa kuzuia kongamano lao.
..Watu wanaojadili katiba hawawezi kuwa na nia ya kuharibu amani ya nchi.
Unadhani mikutano ya ndani inaitwa ya ndani sababu inafanyika kwenye ukumbi?
Mikutano ya ndani ya Chadema ni ile inayohusu masuala ya ndani ya Cdm?
Wananchi wanapenda chama kimoja.Hii nchi inatawaliwa kwa misingi ya sheria tufuate sheria.
Wewe msukule wa jpm ujue boss wako alishakufa.Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.
Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.
Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.
My take: They should be shackled by all means necessary.
Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.
Sema hivi wanapambana na uharamia wenu,hivyo huwezi kuwapenda.Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.
Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.
Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.
My take: They should be shackled by all means necessary.
Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.