CHADEMA wanataka kuvuruga amani ya nchi, tuwe nao makini kama Taifa

wanataka kufanya mikutano ya ndani waacheni wafanye mimi sijaona sababu ya kuzuia mikutano ya ndani ya vyama. Kikubwa tu ni kuhusu Corona
Mkuu ccm kamwe hawajawahi kukubali kuwa na ushindani tangu waanzishe hilo shetani lao
 
nashangaa kwa nn Msajili wa vyama hakifuti hiki chama au kukipa onyo kali maana kwa matamko yanyo tolewa na viongozi wake yanahatarisha amani ya Taifa letu. hawapaswi kufumbiwa macho.
 
Watakaoleta vurugu ni wale wanaowatuma jeshi la polisi kuwakamata CHADEMA.
Wangeachiwa wapayuke wenyewe tu bila kuwabugudhi.
 
Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.

Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.

Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.

My take: They should be shackled by all means necessary.

Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.


Alaaa, inaonekana umelewa pombe kwa ela ya mavuno ya mpunga na umeamua kuandika huu ulevi, pole sana.
 
Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.

Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.

Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.

My take: They should be shackled by all means necessary.

Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.
Twambie wanavurugaje amani wakati hawana jeshi, hawana siraha, hawana serikali. Hofu yenu ni nini? Waacheni uone litakalowapata.
 
Mtutano wa ndani unahusisha wanachama wa Cdm pekee. Kongamano je?

..unahusisha wanachama, waalikwa, na watakaojitokeza na kuruhusiwa kuhudhuria.

..kongamano, warsha, semina, mdahalo, ...ni aina za mikutano ya ndani.
 
Una uhakika?

..Ndio.

..kongamano, warsha, semina, mdahalo, vyote hivyo ni mikutano ya ndani.

..Polisi wamewaonea Chadema kwa kuzuia kongamano lao.

..Watu wanaojadili katiba hawawezi kuwa na nia ya kuharibu amani ya nchi.
 
Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.

Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.

Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.

My take: They should be shackled by all means necessary.

Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.
Mbona mnaogopa sana Katiba Mpya?
 
Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.

Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.

Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.

My take: They should be shackled by all means necessary.

Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.
kilaza ktk ubora wako
 
..Ndio.

..kongamano, warsha, semina, mdahalo, vyote hivyo ni mikutano ya ndani.

..Polisi wamewaonea Chadema kwa kuzuia kongamano lao.

..Watu wanaojadili katiba hawawezi kuwa na nia ya kuharibu amani ya nchi.
Unadhani mikutano ya ndani inaitwa ya ndani sababu inafanyika kwenye ukumbi?

Mikutano ya ndani ya Chadema ni ile inayohusu masuala ya ndani ya Cdm?
 
Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.

Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.

Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.

My take: They should be shackled by all means necessary.

Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.
Wewe msukule wa jpm ujue boss wako alishakufa.
 
Ukweli ni kuwa walishapoteza direction kwa muda wa miaka sita toka uchaguzi wa mwaka 2015 na mpaka sasa hawa gea ya kuwapa kick ya kuweza kuwini watanzania.

Wanataka kupitia hoja ya kudai katiba mpya kama njia ya kuonekana wanatetea wananchi ili kuchafua amani ya taifa letu.

Hawa watu ni watu wabaya sana tuwe nao makini. Maana wameshajua hakuna upenyo wa kuikaba serikali ya Ccm.

My take: They should be shackled by all means necessary.

Idugunde nikiwa Dar mapumzikoni baada ya kuvuna mpunga.
Sema hivi wanapambana na uharamia wenu,hivyo huwezi kuwapenda.
 
sheed.png
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom