Baada ya uchaguzi mkuu uliovurugwa, think tank ya Chadema iliona njia nzuri ya kulazimisha hayo yasitokee tena ni kuanzisha vuguvugu la kudai katiba mpya. Leo kila chama ajenda kuu ni katiba mpya.
Kwa hali ilivyokuwa miaka 5 iliyopita nani alijua leo rais atahudhuria sherehe ya ‘Sugu’, nani alijua leo Lissu atalipwa stahiki zake zote, nani alijua leo Mbowe atakaribishwa ikulu, nani alijua leo rais atakubali kukutana na Chadema.
Tume zimeundwa vikao vimefanyika na wote wanakubali umuhimu wa kuwa na katiba mpya, tofauti iliyopo ni lini mchakato uanze, kuna wanaotaka uanze sasa kuna wanaotaka uanze baada ya uchaguzi, kuna wale wanaosema Tumehuru kuelekea Katiba mpya. Hawa wote ni wafuasi wa mawazo ya Chadema.
Credit kwa Chadema, fikiria ni chama gani kikuu cha upinzani kilichodumu kwa zaidi ya miaka 20 bila kufa, NCCR, CUF viliwahi kuwa vyama vikuu vya upinzani lkn kutokana na misukosuko ya chama tawala na usaliti wa ndani havikudumu muda mrefu vikafa. Think Tank ya Chadema ni ya hali ya juu sana tusiipuuze.
Kwa hali ilivyokuwa miaka 5 iliyopita nani alijua leo rais atahudhuria sherehe ya ‘Sugu’, nani alijua leo Lissu atalipwa stahiki zake zote, nani alijua leo Mbowe atakaribishwa ikulu, nani alijua leo rais atakubali kukutana na Chadema.
Tume zimeundwa vikao vimefanyika na wote wanakubali umuhimu wa kuwa na katiba mpya, tofauti iliyopo ni lini mchakato uanze, kuna wanaotaka uanze sasa kuna wanaotaka uanze baada ya uchaguzi, kuna wale wanaosema Tumehuru kuelekea Katiba mpya. Hawa wote ni wafuasi wa mawazo ya Chadema.
Credit kwa Chadema, fikiria ni chama gani kikuu cha upinzani kilichodumu kwa zaidi ya miaka 20 bila kufa, NCCR, CUF viliwahi kuwa vyama vikuu vya upinzani lkn kutokana na misukosuko ya chama tawala na usaliti wa ndani havikudumu muda mrefu vikafa. Think Tank ya Chadema ni ya hali ya juu sana tusiipuuze.