CHADEMA wamwanika Amos Makalla kwa ufisadi

Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.

Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.

View attachment 2393373
We Pimbi wa kike, Ufisadi wa Makalla hapo upo wapi?
 
Ninaomba niseme kitu hapa

Mtumishi wa serikali hulipwa posho kazini na ni haki yake kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma.

Posho hulipwa pale ambapo mtumishi amefanya kazi nje ya masaa ya kazi na au nje ya kituo cha kazi.

Mtoa mada umesema vizuri kwamba watumishi wa Ofisi ya Mkoa wa DSM wameenda Dodoma kikazi. Kwa hiyo walicholipwa ni haki yao kulingana na hadhi zao.

Je, laki 2.5 ni halali kwao?

Niwakumbushe: mwaka huu wakati Rais anahutubia Mei Mosi aliahidi kupandisha posho (Per diem) kutoka laki na 20 kwa siku na kuwa laki 2.5 kwa siku. Na hili limeanza kutekelezwa bajeti ya 2022/2023 iliyoanza July 2022.

Kwa hiyo, hizo posho ndugu zangu ni halali kabisa. Hakuna siasa hapo. Hapo ndipo hela inafanya kazi. Na ni kawaida. Hakuna jipya!
Umefafanua vizuri nadhani mleta Uzi alikuwa hajui rate mpya za Serikali
 
Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.

Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.

View attachment 2393373
Kasome QT na wewe ukafanye huo ufisadi. Hata hivyo hayo malipo ya kawaida tu.
 
Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.

Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.

View attachment 2393373
Hiyo Per diem na Ground Transport ni ndogo sana kwa Dodoma ambako maisha kwa sasa yako juu mno, ilitakiwa Per diem iwe 400,000/=per day na Graund Transport iwe 200,000/= per day
 
Perdiem zipo kwa mujibu wa sheria/kanuni/taratibu waliyojiwekea ,kama wakisafiri ni lazima walipwe unless waziondoe!! Cha msingi kujiuliza je hizo safari wamekwenda kweli na je ni za ulazima? je video conferencing ilishindikana au inahitajika wawepo physically?
 
Umefafanua vizuri nadhani mleta Uzi alikuwa hajui rate mpya za Serikali
Screenshot_20221021-111621.png

Amekurupuka mkuu.
 
Kuna mtu kakosa kwenye list ya safari kaamua kuanika document ya ofisi mtandaoni......kwa kweli mambo yanazidi kuwa magumu, basi tuwekee na waraka wa posho wa sasa ili tuone kama hizo posho si halali kulipwa kwa vyeo hivyo.
 
Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.

Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.

View attachment 2393373
Wewe Kima kwani haya malipo ni halali au sio halali?
 
Back
Top Bottom