Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 26,355
- 39,828
KumekuchaaWatumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.
Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.
View attachment 2393373
Kumekuchaaa
Msimu wa kupiliza dawa za kunguni umeanza