CHADEMA wamwanika Amos Makalla kwa ufisadi

CHADEMA wamwanika Amos Makalla kwa ufisadi

Abiria Tanzania.jpg
 
Mwenye muongozo wa Per diem auweke hapa, hawa wanakula kwa urefu wa kamba zao. Itakuwa ni matunda ya kuongezwa kwa viwango vya posho.
 
Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.

Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.

View attachment 2393373
Hela siyo kubwa sana. Ila tatizo ni kwamba inatumika katika mambo ya hovyo.
 
Wanaendelea kula kwa urefu wa kamba zao, kuwa kiongozi wa hii serikali ya Samia raha sana, hakuna hofu ya kutumbuliwa hata ukiwa incompetent, na zaidi, hata ukidokoa mahali hakuna wakuhangaika nawe, kila mmoja yuko busy kutazama malisho pale alipo.
Ni lini nchi hii iliweza kuzuia/kupunguza wizi kwenye fedha za umma?Kwani hata yule aliyejiita mzalendo namba moja naye alikuwa anazipiga tu na wizi uliendelea tu,ila kwa kikundi mahususi tu.
 
Hao wananchi wa dar es saalam wamefanya nini kuzuia hilo ?

: Hakuna kitu kibaya hapa duniani kama kuwa na jamii kubwa iliyo jaza wajinga na waoga wa kuto kujua haki zao na wajibu wao wa kupigania hizo haki zao.
kama wapumbavu ni 96%katika nchini nzima kuna nini hapo hao wana dar es salam,watafanyaje?
 
Ninaomba niseme kitu hapa

Mtumishi wa serikali hulipwa posho kazini na ni haki yake kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma.

Posho hulipwa pale ambapo mtumishi amefanya kazi nje ya masaa ya kazi na au nje ya kituo cha kazi.

Mtoa mada umesema vizuri kwamba watumishi wa Ofisi ya Mkoa wa DSM wameenda Dodoma kikazi. Kwa hiyo walicholipwa ni haki yao kulingana na hadhi zao.

Je, laki 2.5 ni halali kwao?

Niwakumbushe: mwaka huu wakati Rais anahutubia Mei Mosi aliahidi kupandisha posho (Per diem) kutoka laki na 20 kwa siku na kuwa laki 2.5 kwa siku. Na hili limeanza kutekelezwa bajeti ya 2022/2023 iliyoanza July 2022.

Kwa hiyo, hizo posho ndugu zangu ni halali kabisa. Hakuna siasa hapo. Hapo ndipo hela inafanya kazi. Na ni kawaida. Hakuna jipya!
 
Ni lini nchi hii iliweza kuzuia/kupunguza wizi kwenye fedha za umma?Kwani hata yule aliyejiita mzalendo namba moja naye alikuwa anazipiga tu na wizi uliendelea tu,ila kwa kikundi mahususi tu.
Lakini ndege na SGR tuliziona
 
Mimi sioni sababu ya kulialia na kulaumiana hivi, although alipoingia mlikuwa mnafanya sherehe kwa ule msemo pendwa wenu "anaupiga mwingi" au "mungu (not Mungu) kaamua ugomvi"

Alisema mnakula kwa urefu wa kamba means pale ulipo usizidishe kwenda mbali sana, leo mnashindwa kumtaja mwamba kwa aibu kuwa alipambana na hizi mambo au angekuwepo hii kitu sidhani kama mngeandika.
 
Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.

Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.

View attachment 2393373
Matumizi mazuri ya tozo kazi iendelee
 
Ninaomba niseme kitu hapa

Mtumishi wa serikali hulipwa posho kazini na ni haki yake kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma.

Posho hulipwa pale ambapo mtumishi amefanya kazi nje ya masaa ya kazi na au nje ya kituo cha kazi.

Mtoa mada umesema vizuri kwamba watumishi wa Ofisi ya Mkoa wa DSM wameenda Dodoma kikazi. Kwa hiyo walicholipwa ni haki yao kulingana na hadhi zao.

Je, laki 2.5 ni halali kwao?

Niwakumbushe: mwaka huu wakati Rais anahutubia Mei Mosi aliahidi kupandisha posho (Per diem) kutoka laki na 20 kwa siku na kuwa laki 2.5 kwa siku. Na hili limeanza kutekelezwa bajeti ya 2022/2023 iliyoanza July 2022.

Kwa hiyo, hizo posho ndugu zangu ni halali kabisa. Hakuna siasa hapo. Hapo ndipo hela inafanya kazi. Na ni kawaida. Hakuna jipya!
Mama anaupiga mwingi.
 
Hii ndio countryside
Lakini hizo rate si ndio za viwango vipya vya posho??
Hayo ndio maisha na hao wanasubiri kikokotoo ujue
Acha wapambane civil servant
 
Mimi sioni sababu ya kulialia na kulaumiana hivi, although alipoingia mlikuwa mnafanya sherehe kwa ule msemo pendwa wenu "anaupiga mwingi" au "mungu (not Mungu) kaamua ugomvi"

Alisema mnakula kwa urefu wa kamba means pale ulipo usizidishe kwenda mbali sana, leo mnashindwa kumtaja mwamba kwa aibu kuwa alipambana na hizi mambo au angekuwepo hii kitu sidhani kama mngeandika.
Ninaomba niseme kitu hapa

Mtumishi wa serikali hulipwa posho kazini na ni haki yake kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma.

Posho hulipwa pale ambapo mtumishi amefanya kazi nje ya masaa ya kazi na au nje ya kituo cha kazi.

Mtoa mada umesema vizuri kwamba watumishi wa Ofisi ya Mkoa wa DSM wameenda Dodoma kikazi. Kwa hiyo walicholipwa ni haki yao kulingana na hadhi zao.

Je, laki 2.5 ni halali kwao?

Niwakumbushe: mwaka huu wakati Rais anahutubia Mei Mosi aliahidi kupandisha posho (Per diem) kutoka laki na 20 kwa siku na kuwa laki 2.5 kwa siku. Na hili limeanza kutekelezwa bajeti ya 2022/2023 iliyoanza July 2022.

Kwa hiyo, hizo posho ndugu zangu ni halali kabisa. Hakuna siasa hapo. Hapo ndipo hela inafanya kazi. Na ni kawaida. Hakuna jipya!
 
Hii ndio countryside
Lakini hizo rate si ndio za viwango jipya vya posho??
Hayo ndio maisha na hao wanasubiri kikokotoo
Acha wapambane civil servant
Wewe unaelewa. Wengine wanashangaa wakati ni ya kawaida
 
Hao wananchi wa dar es saalam wamefanya nini kuzuia hilo ?

: Hakuna kitu kibaya hapa duniani kama kuwa na jamii kubwa iliyo jaza wajinga na waoga wa kuto kujua haki zao na wajibu wao wa kupigania hizo haki zao.
Ninaomba niseme kitu hapa

Mtumishi wa serikali hulipwa posho kazini na ni haki yake kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma.

Posho hulipwa pale ambapo mtumishi amefanya kazi nje ya masaa ya kazi na au nje ya kituo cha kazi.

Mtoa mada umesema vizuri kwamba watumishi wa Ofisi ya Mkoa wa DSM wameenda Dodoma kikazi. Kwa hiyo walicholipwa ni haki yao kulingana na hadhi zao.

Je, laki 2.5 ni halali kwao?

Niwakumbushe: mwaka huu wakati Rais anahutubia Mei Mosi aliahidi kupandisha posho (Per diem) kutoka laki na 20 kwa siku na kuwa laki 2.5 kwa siku. Na hili limeanza kutekelezwa bajeti ya 2022/2023 iliyoanza July 2022.

Kwa hiyo, hizo posho ndugu zangu ni halali kabisa. Hakuna siasa hapo. Hapo ndipo hela inafanya kazi. Na ni kawaida. Hakuna jipya!
 
wananchi wa dar es saalam wamefanya nini kuzuia hilo ?

: Hakuna kitu kibaya hapa duniani kama kuwa na jamii kubwa iliyo jaza wajinga na waoga wa kuto kujua haki zao na wajibu wao wa kupigania hizo haki zao.

Wapiganie haki gani hapo wakati hizo ni haki stahiki za wafanyakazi
 
Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.

Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.

View attachment 2393373
Wizi upo ndani ya DNA ya watumishi wa serikali ya ccm. Hawawezi kuacha
 
Back
Top Bottom