Akotia
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 590
- 1,405
Ngoja siku uajiriwe halafu usafiri ndio utaelewa matumizi ya posho. Safari ni gharama mzeeMshahara wako unafanya kazi gani?
Au ukisafiri mshahara wako unasimama kulipwa?
Ngoja siku uajiriwe halafu usafiri ndio utaelewa matumizi ya posho. Safari ni gharama mzeeMshahara wako unafanya kazi gani?
Au ukisafiri mshahara wako unasimama kulipwa?
Ishu ni milion 14 imepatikana kwa kujumlisha hella ya wote ndiyo inakuwa milion 14Nauli ya kwenda Dodoma ni mili 1.4?
Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.
Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila j
Modes Wa JF Payge BlackBold Bridger Diversity YinYang , hili ni jukwaa lenye heshima kubwa, Kama hiyo document ina ukweli inafanya nini hapa? Viwango vilivyowekwa hapo vya malipo ni halali, viko kwa mujibu wa sheria, shida iko wapi? huu ni udhalilishaji, wanapotosha kuwa Nauli ni 1.4Ml, hizo ni gharama za mafuta kwa magari mawili. Watumishi wenye majina hayo wanahukumiwa hapa kwa Malipo halali kama kweli wamelipwa,Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.
Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.
View attachment 2393373
Makalla anahusika kujitambua kuwa ofisi ya kuna ufisadi mkubwaMkuu Etwege habari. Nashukuru kwa bandiko lako na naomba kuuliza maswali machache:-
1. Kwenye maombi haya ya pesa mheshimwa Makalla anaingiaje hapo?
2. Je hawa waliotajwa walitakiwa kwenda Dodoma kwa shughuli gani ambayo wewe umeiona haina tija (ufisadi)
3. Hao unaowaita CHADEMA wamepataje hizi taarifa za ndani za Ofisi?
Ahsante
Wacha hiyo document ikae hapo hadi 2025 tutakuambia cha kufanyaModes Wa JF, hili ni jukwaa lenye heshima kubwa, Kama hiyo document ina ukweli inafanya nini hapa? Viwango vilivyowekwa hapo vya malipo ni halali, viko kwa mujibu wa sheria, shida iko wapi? huu ni udhalilishaji, wanapotosha kuwa Nauli ni 1.4Ml, hizo ni gharama za mafuta kwa magari mawili,
Modes tuliteendee haki Jukwaa, nashauri uzi huu ufutwe kwa kuwa hakuna ufisadi wowote hapo labda kama kuna hoja nyingine ya msingi
Bila huko udikiteta wakoModes Wa JF, hili ni jukwaa lenye heshima kubwa, Kama hiyo document ina ukweli inafanya nini hapa? Viwango vilivyowekwa hapo vya malipo ni halali, viko kwa mujibu wa sheria, shida iko wapi? huu ni udhalilishaji, wanapotosha kuwa Nauli ni 1.4Ml, hizo ni gharama za mafuta kwa magari mawili,
Modes tuliteendee haki Jukwaa, nashauri uzi huu ufutwe kwa kuwa hakuna ufisadi wowote hapo labda kama kuna hoja nyingine ya msingi
Jizi kubuhu,kizazi cha hawara wa fisadi.Hiyo bado ndogo inatakiwa iwe angalau laki 3.5 kwa mtu mmoja.
M*wa wewe!Aliyekuzuia kusoma nani?
Mmelaaniwa tangu mlipomuita Magufuli dikteta,na mkafurahia kifo chake!Dadadeki! hapo bado za wale watu wa mawizara, kila siku wapo majumbani dsm kutoka DDM lakini wanakula per diem hadi za siku 30!
"The beautiful ones is not yet born" Ee Mola tushushie japo Malaika mmoja atuongoze japo mwaka 1
peno hasegawa ufisadi upi hapo? unajua maana ya ufisadi ? hebu tuache kuchafua watuMakalla anahusika kujitambua kuwa ofisi ya kuna ufisadi mkubwa
Hizo ni kodi za wanyonge, wasio waajiriwa wa serikali wanataka kujua na Makalla ajitokeze aseme sio ufisadi .peno hasegawa ufisadi upi hapo? unajua maana ya ufisadi ? hebu tuache kuchafua watu
HATARI SANA!!!!!!Dadadeki! hapo bado za wale watu wa mawizara, kila siku wapo majumbani dsm kutoka DDM lakini wanakula per diem hadi za siku 30!
"The beautiful ones is not yet born" Ee Mola tushushie japo Malaika mmoja atuongoze japo mwaka 1
HATARI SANA!!!!!!Dadadeki! hapo bado za wale watu wa mawizara, kila siku wapo majumbani dsm kutoka DDM lakini wanakula per diem hadi za siku 30!
"The beautiful ones is not yet born" Ee Mola tushushie japo Malaika mmoja atuongoze japo mwaka 1
Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.
Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.
View attachment 2393373
Tanzania tumepigwa na kitu kizitopeno hasegawa ufisadi upi hapo? unajua maana ya ufisadi ? hebu tuache kuchafua watu
Inashangaza sana Moderator JamiiForums Paw na Mhariri tuondoleeni hii aibu hapa.Modes Wa JF Payge BlackBold Bridger Diversity YinYang , hili ni jukwaa lenye heshima kubwa, Kama hiyo document ina ukweli inafanya nini hapa? Viwango vilivyowekwa hapo vya malipo ni halali, viko kwa mujibu wa sheria, shida iko wapi? huu ni udhalilishaji, wanapotosha kuwa Nauli ni 1.4Ml, hizo ni gharama za mafuta kwa magari mawili. Watumishi wenye majina hayo wanahukumiwa hapa kwa Malipo halali kama kweli wamelipwa,
Modes tuliteendee haki Jukwaa, nashauri uzi huu ufutwe kwa kuwa hakuna ufisadi wowote hapo labda kama kuna hoja nyingine ya msingi
Hii sio news wala.Watumishi wa mkoa wa Dares Salaam wameumbuliwa na CHADEMA baada ya kujipangia posho na nauli za mamilioni ya fedha pale wanaposafiri kikazi kwenda Dodoma!.
Imedaiwa nauli ya mtu mmoja kwenda Dodoma kikazi hujilipa nauli ya milioni 1.4 kwa kila mtu.
View attachment 2393373
Nauli ya kwenda Dodoma ni mili 1.4?
Nenda kwenye page ya mange instagram kapost mpaka video ikiwaonyesha jamaa wanavyoomba rushwa kwa kufosi,halafu ni vijana tu kitu nilichoona aibu mpaka mimi!Dadavua issue ya parking Chief.