abduel paul
Senior Member
- Nov 23, 2010
- 133
- 5
Lakini yote tisa wana JF hakuna kitu kinachi niuma MOYO kama nikiwaona wanafunzi wa vyuo vikuu wakiandamana, HAWA MIMI NAENDELEA KUWAITA WAPUMBAVU kila kukicha heti waongezewe Posho, watu wanaumiza vichwa ifanyike nini kuokoa taifa na inflation tena CDM na wananchi walio unga mkono maandamano kule mwanza ni mfano mzuri sana, na matamko waliyo yatoa, yakionyesha hawa watu wako kwa ajili ya kutetea Taifa letu, na si wabinafsi kwani bidhaa zikishuka bei helfu 2000 itatosha matumizi, gharama za maisha zitapungua, haya ambayo yangepaswa kuangaliwa na HETI WASOMI A.K.A MI NAWAITA MBUMBUMBU wanahangaika kuliongezea taifa mzigo, kuna swali huwa najiuliza.....! ina maana kuna siku wanaweza kuja kudai posho inayo lingana na mishahara ya wabunge kwa namna mambo yanavyo kwenda? maana mbunge na viongozi au matajiri ndo watu pekee wanayaweza maisha kwasasa, bei zikipanda wako nazo, sikisogea wako nazo, zicheze vipi wako nazo, maana pesa imejaa, regardless costs ya maisha, EMBU SERIKALI IWAULIZE WATAFANYA NINI KAMA IKIWAONGOZEA 120,000/- KWA SIKU? WATALETA MCHANGO GANI??? PUMBAVU HAWA ikiwa hata sasa wameshindwa hata kuleta mchango wowote wangali tunadhani wana akili,