Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 8,227
- 14,195
Chadema wanafanya usanii tu bana, sijaona mabadiliko yoyote wanatuletea zaidi ya wao kutafuta kusifiwa tu na kutupandisha jaziba.
Tarehe 12 Januari wakasema Mwema na Nahodha wajiuzulu. Wakaachia hapo, hadi leo kimya.
Tarehe 17 Febuari wakasema waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi wajiuzulu. Ndo imetoka.
Wiki iliyopita wakampa JK siku tisa. Hata hazijafika tayari wanasimamisha maandamano wanarudi Dar wakati ambapo watu ndo wamehamasika!
Mkuu ni wewe kweli na majibu haya au?? No comment