Chadema wampa Kikwete 'siku tisa'

Chadema wampa Kikwete 'siku tisa'

tunashukuru lakin tunaomba waorganize kuja huku songea pia.tunahitaji support yao sana kuongeza hamasa ya wananchi kujua haki zao.
 
Hakika hii ni zaidi ya opereshen sangara ambayo ccm waliibenza na kuwaponda chadema kwamba wanaita watu sangara. Ni muhimu kuanzia kanda ya ziwa ambako chadema wana wabunge takriban 10 wa kuchaguliwa. Baada ya hapo moto uelekee kanda ya kati ambako wagogo, warangi, wanyiramba,na watu wenpine wa dodoma na singida pamoja na tabora bado wamelala usingizi..
 
PHP:
Mkutano wa Misungwi
Katika Wilaya ya Misungwi mkoani humo mkutano wa hadhara wa Chadema uliongozwa na mbunge wake wa Ilemela, Highness Kiwia huku ikielezwa kuwa mkutano huo ulisababisha kuvunjika kwa mkutano wa hadhara wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM, George Mkuchika uliokuwa ufanyike wilayani humo.

Kiama cha CCM kinawadia Mwanza!!!! Bravo CDM!!!!! ALUTA CONTINUA!!!!
 
Chadema hawataitakii mema Tanzania yetu.

Kauli zao na vitendo vyao vyote vinaonesha kuashiria fujo, uvunjifu wa amani na uchu wa madaraka.

Hivi wana ubavu gani wa kuitisha Serikali?

Mini naiasa Serikali ya Tanzania. Usipoziba ufa, utajenga ukuta.

Hawa viongozi wa Chadema wachululiwe hatua kali za kisheria kwa kauli zao za uvunjifu wa amani ili wasituletee fujo na uvunjifu wa amani.

Siku tisa? Wana maana gani siku tisa? Na kwa sasa, Serikali iwapuuze kwa hayo maneno yao, na ione baada ya hizo siku tisa wamekusudia nini? Wakianzisha uvunjifu wa amani au chokochoko zinazoashiria uvunjifu wa amani baada ya siku hizo tisa, basi wachukuliwe hatua kali za kisheria.

japo wanaashiria uvunjifu wa amani...serikali nayo iangalie madai kama ni ya msingi.....!

Hivi wakubwa ni amani ipi hiyo mnayoizungumzia??? Tanzania kuna utulivu.... lakini amani hakuna!!!!!.... Watu hatuna uhakika wa maisha!!! Mlo mmoja tu kwa siku ni mbinde kuupata!! Maisha yamekua magumu zaidi ya mno!! Umasikini na njaa vimeongezeka!!! Watu wanapasua vichwa to make the ends meet!!! Watu wa namna hiyo wana amani kweli???? Amani inaanzia kwenye fikra ya mtu!! If your mind is not in peace... you are not in peace either!!!! Watu hawapati usingizi kwa jinsi maisha yalivomagumu.... can you call that peace??? Kwa taarifa yako amani ilishatoweka katika nchi hii!!! Kwa hiyo tafuta kisingizio kingine!!! Hicho kimepitwa na muda!!!!!
 
Ukiona wanaanza kuhangaika na tamko jua ujumbe umeamza kuwaingia.
 
Chadema hawataitakii mema Tanzania yetu.

Kauli zao na vitendo vyao vyote vinaonesha kuashiria fujo, uvunjifu wa amani na uchu wa madaraka.

Hivi wana ubavu gani wa kuitisha Serikali?

Mini naiasa Serikali ya Tanzania. Usipoziba ufa, utajenga ukuta.

Hawa viongozi wa Chadema wachululiwe hatua kali za kisheria kwa kauli zao za uvunjifu wa amani ili wasituletee fujo na uvunjifu wa amani.

Siku tisa? Wana maana gani siku tisa? Na kwa sasa, Serikali iwapuuze kwa hayo maneno yao, na ione baada ya hizo siku tisa wamekusudia nini? Wakianzisha uvunjifu wa amani au chokochoko zinazoashiria uvunjifu wa amani baada ya siku hizo tisa, basi wachukuliwe hatua kali za kisheria.


Chadema hawataitakii mema Tanzania yetu. Maana ya mema ni nini, Richmond au mgao wa umeme we vipi?

Kauli zao na vitendo vyao vyote vinaonesha kuashiria fujo, Fujo ni nini, mabomu ya moto au machozi au kuandamana. Mbona unaonekana kama huna point
uvunjifu wa amani Amani ni nini, amani inatoka ndani au nje ya binaadamu. Sio suala la kuimba tu
uchu wa madaraka. Wanaoiba kura ndio wenye uchu wa madaraka, kwani CDM wameiba? Wacha hizo

Hivi wana ubavu gani wa kuitisha Serikali? Kwani wewe unaelewa maana ya serikali, hawa ni watuimishi wa uma, nao wanatumia nguvu ya uma, vipi wewe?

Mini naiasa Serikali ya Tanzania. Usipoziba ufa, utajenga ukuta. Wajisafishe hiyo ndio kuziba ufa

Hawa viongozi wa Chadema/CCM wachululiwe hatua kali za kisheria kwa kauli/Ubadhilifu Wzao za uvunjifu wa amani ili wasituletee fujo na uvunjifu wa amani kama Gadafi

Siku tisa? Wana maana gani siku tisa? Na kwa sasa, Serikali iwapuuze kwa hayo maneno yao, na ione baada ya hizo siku tisa wamekusudia nini? Wakianzisha uvunjifu wa amani au chokochoko zinazoashiria uvunjifu wa amani baada ya siku hizo tisa, basi wachukuliwe hatua kali za kisheria. Ni kutii tu na kutekeleze, kubali yaishe. People power haizuiliki.
 
Keep it up CDM wapigieni honi PII PII wameshaanza kuchanganyikiwa hawaelewani.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kitampa rais Kikwete siku tisa baada ya kumaliza mzunguko wake wa kwanza wa kuwahamasisha wananchi mikoani.

"Rais Kikwete tunakwenda naye kwa stepu, tutawasha moto wa maandamano nchi nzima, tukimaliza tutaangalia kama atakuwa amechukua hatua. Tutampa siku tisa," alisema Mbowe na kushangiliwa.

Dk. Slaa aliyekuwa wa kwanza kuhutubia katika mkutano huo, alisisitiza sana msimamo wa chama hicho kumpa Rais Kikwete siku tisa za kuhakikisha anaondoa kodi kwenye maeneo yote yaliyosababisha bei za vyakula na bidhaa mbalimbali kupanda na kufanya maisha ya wananchi kuwa magumu.

My take: Is a 9-day strategy a coincidence, planned?, na je baada ya siku hizo tisa nini kitafuata. This is a serious note, wasiwasi wangu wasije kuwa wamekurupuka kusema siku tisa.

Huu ni uhaini!!!

Inabidi CDM wajipange upya na wawe na maslahi ya Watanzania na siyo ya kwao binafsi. Ila naona sasa wanatimiza azma yao ya kuhakikisha kuwa wanashinda uchaguzi wa 2010 kwa njia yoyoyote. Uchaguzi si uliisha na wakashindwa kupata hata robo ya wabunge? Mimi nafikiri siasa za kistaarabu badala ya kudai uraisi barabarani wangejijenga kwa ajili ya 2015, kwa kutoa hoja ambazo zitaingia akilini mwa wananchi na siyo kwa kutumia majukwaa. Sasa hivi uchaguzi umeisha, CDM wawaachie wanachi wafanye kazi.

Ni kweli kuwa maisha ni magumu kwa sababu ya kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa nyingine - Hivi kwa kuchukua wao nchi ndio wataleta mvua? Au CCM ndio wanaoficha sukari? Tangu kuingia bungeni wamekuwa ni watu wa kupiga makelele yasiyo na msingi na kususa kitototo (na baadaye kujirudi baada ya kuona wanachi wamewa-ignore. Si kweli kuwa wote ambao siyo wanachama wa CDM bsai ni wana-CCM. Kwa wakati huu, ni vizuri kuangalia nguvu ya hoja, badala ya hoja ya nguvu.
 
Huu ni uhaini!!!

Inabidi CDM wajipange upya na wawe na maslahi ya Watanzania na siyo ya kwao binafsi. Ila naona sasa wanatimiza azma yao ya kuhakikisha kuwa wanashinda uchaguzi wa 2010 kwa njia yoyoyote. Uchaguzi si uliisha na wakashindwa kupata hata robo ya wabunge? Mimi nafikiri siasa za kistaarabu badala ya kudai uraisi barabarani wangejijenga kwa ajili ya 2015, kwa kutoa hoja ambazo zitaingia akilini mwa wananchi na siyo kwa kutumia majukwaa. Sasa hivi uchaguzi umeisha, CDM wawaachie wanachi wafanye kazi.

Ni kweli kuwa maisha ni magumu kwa sababu ya kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa nyingine - Hivi kwa kuchukua wao nchi ndio wataleta mvua? Au CCM ndio wanaoficha sukari? Tangu kuingia bungeni wamekuwa ni watu wa kupiga makelele yasiyo na msingi na kususa kitototo (na baadaye kujirudi baada ya kuona wanachi wamewa-ignore. Si kweli kuwa wote ambao siyo wanachama wa CDM bsai ni wana-CCM. Kwa wakati huu, ni vizuri kuangalia nguvu ya hoja, badala ya hoja ya nguvu.

Uhaini Uliafanyika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Iran Sio Tanganyika Hapa Watu wanataka Uhuru na maisha bora ya Ukweri Wewe huwezi zuia peoples power usharambishwa na j.k umtetee bora ungemshauri kuwa nchi anaiendesha ovyo hotuba yake tu haijazungumzia elimu... na mengine yote hajatoa matumaini yeyote hata kuongeza mishahara tu imemshinda nani atamsapoti mfumko wa bei upo juu hana na hajui kurekebisha kama hawezi si anapisha tu wengine kuliko kutishia amani nani atakae mwaga damu kama si yeye watu wanataka kufanya maanadamano ya amani... mwamie asije ua mtu au kuvunja amani peoples hawana silaha kuwa mwelevu... (mbu) wanatunyonya sana na ufisadi wao Utajiri wa mali zetu hauwezi kutufanya tuishi kwa shida hizi na ujinga wa kupandishiwa bei bila uoga kama nani atateseka sasa imewastua sana nyie majizi ndio tumeamka mlizania tumelala
 
The time is right to take our country back. Sidhani kama kuna wananchi wenye kitu "fear" tena. Imeshaondoka zamani na hatua ni kuweka mguu barabarani na kuanza ku-match foward.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kitampa rais Kikwete siku tisa baada ya kumaliza mzunguko wake wa kwanza wa kuwahamasisha wananchi mikoani.

“Rais Kikwete tunakwenda naye kwa stepu, tutawasha moto wa maandamano nchi nzima, tukimaliza tutaangalia kama atakuwa amechukua hatua. Tutampa siku tisa,” alisema Mbowe na kushangiliwa.

Dk. Slaa aliyekuwa wa kwanza kuhutubia katika mkutano huo, alisisitiza sana msimamo wa chama hicho kumpa Rais Kikwete siku tisa za kuhakikisha anaondoa kodi kwenye maeneo yote yaliyosababisha bei za vyakula na bidhaa mbalimbali kupanda na kufanya maisha ya wananchi kuwa magumu.

My take: Is a 9-day strategy a coincidence, planned?, na je baada ya siku hizo tisa nini kitafuata. This is a serious note, wasiwasi wangu wasije kuwa wamekurupuka kusema siku tisa.

Nafikiri serikali isipuuze malalamiko yanayotolewa na CHADEMA, vyama vingine au mtu yeyote, kuna mambo ambayo yako wazi kabisa yanayosababisha hali ngumu ya maisha kwa watanzania, ingekuwa busara kwa serikali kuhakikisha kuwa pamoja na anguko la uchumi wa dunia lakini nafikiri serikali ingejitahidi kuwa karibu zaidi na wananchi wake kwa kuhakikisha kuwa yale mambo ya msingi yanayowalemea watanzania, wanayatafutia ufumbuzi wa kudumu na wa haraka. Kama ambavyo wamechukuwa hatua kwenye bei ya sukari na kuamuru bei ishuke nafikiri waangalie na maeneo mengine muhimu ili kuwapunguzia mzigo wananchi aidha serikali itakuwa ipo salama kama itakubali kusoma alama za nyakati.
 
Hii ni mistake inayofanywa na Chadema ,siku tisa jamani siku tisa ni muda mdogo sana sana,kuwahi kujenga matumaini,ingawa sijaelewa nini kitafanywa na CDM,na siku ndio zinakaribia kwisha.

Huku ni kujikwamisha na kuonekana hakuna ukweli ikiwa siku tisa zitakwisha na hakutaonekana lolote lililo au litakalofanywa na CDM, wazalendo wa kawaida na hata wanachama watahoji na kumhoji mkuu.

Msimamo wa aina hii ni lazima uwe na ukweli vyenginevyo yatakuwa mazoea na mtazoeleka kuwa mna kauli za uwongo,hamuna msimamo.
Kutoa siku tisa kwa utawala ni kujenga matumaini ya juu kabisa kwa wananchi na kuwapa matarajio kuwa safari hii ni kitaeleweka.
 
Kwani hukusikiliza hotuba ya mkulu? mara tumefuta ushuru wa sukari, mara tumetoa fedha za kuzalisha umeme wa dharura, mara CDM wanataka kunipindua, oooohhh naomba wananchi mnisaidia chadema wasije kuniondoa madarakani etc. Hayo ndio majibu ndani ya siku 9, mbona mkulu hakuthubutu kukaa kimya ili CDM watoe tamko? hawana haja ya kutoa tamko tena walitaka mkulu abwabwaje ameshafanya hivyo basi wanasonga mbele.
 
True that! Tena mkulu alivyomaliza hotuba yake,akaenda home akachagua baadhi ya nguo..viatu..laptop.akapanda ... Kwenda kwa sarcozy.
 
Kwani hukusikiliza hotuba ya mkulu? mara tumefuta ushuru wa sukari, mara tumetoa fedha za kuzalisha umeme wa dharura, mara CDM wanataka kunipindua, oooohhh naomba wananchi mnisaidia chadema wasije kuniondoa madarakani etc. Hayo ndio majibu ndani ya siku 9, mbona mkulu hakuthubutu kukaa kimya ili CDM watoe tamko? hawana haja ya kutoa tamko tena walitaka mkulu abwabwaje ameshafanya hivyo basi wanasonga mbele.

That is all !! Na umeridhika kuwa jawabu lililohitajiwa na CDM ni hilo,kubwabwaja kwa Kikwete ,tuseme sawa hilo ndio lilitegemewa na CDM kujibiwa na Mkuu wa serikali,Kikwete amewajibu na kupanda ndege,kwa hiyo zile siku tisa hazipo tena ? Kama ni hivyo Kikwete na serikali yake nionavyo hubwabwaja kila siku. Nilitegemea atawajibu kuwa ataboresha hali ya maisha na kuyabadilisha maisha ya Mtz kwa kipindi kifupi kinachokuja.

Kikwete amesema baada ya miezi mitatu tu mnaanza purukushani ? Nafikiri CDM wanaweza kuijibu hiyo kwa kumwambia Kikwete kama hujui umeshapitisha miaka mitano kuwepo madarakani na huna jipya na sio miezi mitatu kwani hatuzungumzii miezi mitatu au miaka kumi tunasema tokea tupate uhuru badala ya kwenda mbele tunaporomoka na sasa hata miti inateleza ,muondoke madarakani wewe na chama chako miaka mliokaa madarakani imetosha ,how it sound yaani kabla hazijamalizika siku tisa mnatoa jawabu papo kwa papo.Mnatoa jawabu kipindapinda.
 
Hii ni mistake inayofanywa na Chadema ,siku tisa jamani siku tisa ni muda mdogo sana sana,kuwahi kujenga matumaini,ingawa sijaelewa nini kitafanywa na CDM,na siku ndio zinakaribia kwisha.

Huku ni kujikwamisha na kuonekana hakuna ukweli ikiwa siku tisa zitakwisha na hakutaonekana lolote lililo au litakalofanywa na CDM, wazalendo wa kawaida na hata wanachama watahoji na kumhoji mkuu.

Msimamo wa aina hii ni lazima uwe na ukweli vyenginevyo yatakuwa mazoea na mtazoeleka kuwa mna kauli za uwongo,hamuna msimamo.
Kutoa siku tisa kwa utawala ni kujenga matumaini ya juu kabisa kwa wananchi na kuwapa matarajio kuwa safari hii ni kitaeleweka.

Na yule aliyewapa wamachinga wakichina mwezi wawe wameondoka iliishia wapi?
 
That is all !! Na umeridhika kuwa jawabu lililohitajiwa na CDM ni hilo,kubwabwaja kwa Kikwete ,tuseme sawa hilo ndio lilitegemewa na CDM kujibiwa na Mkuu wa serikali,Kikwete amewajibu na kupanda ndege,kwa hiyo zile siku tisa hazipo tena ? Kama ni hivyo Kikwete na serikali yake nionavyo hubwabwaja kila siku. Nilitegemea atawajibu kuwa ataboresha hali ya maisha na kuyabadilisha maisha ya Mtz kwa kipindi kifupi kinachokuja.

Kikwete amesema baada ya miezi mitatu tu mnaanza purukushani ? Nafikiri CDM wanaweza kuijibu hiyo kwa kumwambia Kikwete kama hujui umeshapitisha miaka mitano kuwepo madarakani na huna jipya na sio miezi mitatu kwani hatuzungumzii miezi mitatu au miaka kumi tunasema tokea tupate uhuru badala ya kwenda mbele tunaporomoka na sasa hata miti inateleza ,muondoke madarakani wewe na chama chako miaka mliokaa madarakani imetosha ,how it sound yaani kabla hazijamalizika siku tisa mnatoa jawabu papo kwa papo.Mnatoa jawabu kipindapinda.

Nawe ndugu mbona hueleweki? haya maelezo na mada yako hayaoani kabisa!
 
Chadema wanafanya usanii tu bana, sijaona mabadiliko yoyote wanatuletea zaidi ya wao kutafuta kusifiwa tu na kutupandisha jaziba.

Tarehe 12 Januari wakasema Mwema na Nahodha wajiuzulu. Wakaachia hapo, hadi leo kimya.

Tarehe 17 Febuari wakasema waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi wajiuzulu. Ndo imetoka.

Wiki iliyopita wakampa JK siku tisa. Hata hazijafika tayari wanasimamisha maandamano wanarudi Dar wakati ambapo watu ndo wamehamasika!
 
Back
Top Bottom