Mkuu hujaeleweka bado mbona nilipogusia maandamano umekuja juu unastuka nini kama maandamano hayana tija???? CCM na viongozi wake ndio walificha fedha zetu Uswiss na kwingineko, wao kama serikali ni wajibu wao kufanya upelelezi na kuwakamata wezi au kukamatana, lakini unfortunately boss wetu anasema mwizi akirudisha fedha kama ilivyo kuwa EPA eti asamehewe!!! Kwa hapo uwezekano wa kutendea haki Watanzania waliodhurumiwa hakuna, ndio maana nasema tutahamasishana hata kama hampendi tuandamane kama Misri hadi haki itendeke, wezi woote wakamatwe na kuwekwa lupango, uongozi unaoficha wezi uondolewe madarakani!!!( Lets call a spade a spade not a folk) Mkuu upo hapo????