CHADEMA Wamkubali Nape kwa maneno yake

CHADEMA Wamkubali Nape kwa maneno yake

Bibie, matatizo ya watanzania siyo CHADEMA kukiri utoto au ujinga wa mtoto mwenzenu Nape. Matatizo ya watanzania yanatokana na sera mbovu za CCM, shule kukosa walimu, madawati na maabara, hospitali kukosa wataalam, dawa, maji, umeme na x-ray machines, wizi na ufisadi uliokithiri wa viongozi wa serikali ya CCM, kupanda bei kwa bidhaa zote, wakulima kukopwa mazao yao (korosho-Mtwara), viongozi wa serikali kukosa ubunifu na uongozi bora hivyo kuishia kuning'unika na kulalamika kila kukicha, na mbaya zaidi viongozi wa CCM kushindwa kabisa kutambua matakwa ya watanzania na badala yake kuanza kuwatumia wajinga kama wewe kushinda mitandaoni kutetea uvundo na umaskini wa fikra za CCM! Nakuhakikishia CCM haitapendwa na wananchi kwa propaganda za kichovu kama hizi, badala yake serikali yake itatue matatizo ya wananchi wake. Na wewe hutaisaidia CCM kwakushinda unaandika huu ujinga wako hapa jamvini! Poleni sana watoto.

Ni kweli lakini tambua kuwa hata leo hii CCM wakiitisha mkutano wananchi watakuja wengi kuliko unavyofikiri wewe mmoja au hujalijua hilo. Uchukiavyo wewe si kama nichukiavyo mimi na yule. Slaa kwenye uchaguzi uliopita alisema hamtambui Kikwete kwa sababu ameibiwa kura, lakini hadi sasa amekuwa kimya na wakati wakiri wa Serikali alisema wazi mahakamani kwenye kesi ya Lema kuwa anayetakiwa kufungua mashitaka juu ya uonewaji wa uchaguzi ni mhusika mwenyewe au Slaa si muhusika mwenyewe anasubiri wananchi tuandamane kwa shinikizo lake?
 
Kwa nini kila wakati ni mambo ya kinapenpe. Nape ni nani, huyu mtu kaishiwa busara kabisa mdomo wake unanuka matusi tu hata sijui kwa nini unamsifia. Labda na wewe ni mmoja wa aina ya kina Nape. Watanzania tuna matatizo lukuki yaliyosababishwa na viongozi wenye hulka za Kinape, kwa nini tusitumie muda wetu kujadili jinsi ya kupata ufumbuzi? Kwa nini tunakwepa kuongea juu ya ufisadi, kuibwa kwa ndovu, kuficha hela nje ya nchi, kutorosha wanyama wetu, mikataba inayowafaidisha viongozi dhaifu, mauaji ya wananchi wasio na hatia nk. ambavyo ni mali ya watanzania wote, kuliko kujadili upuuzi huu. Unanikera kweli, be mature mentally.
Lini ukweli ukashindwa kumkera muhusika?. Tupangue Chama kwanza kuondoa undugunation uliopo Chamani ndipo Chama kitakubalika kirahisi.
 
Kweli mnachemka sana sisiem agents! Umelipwa sh. Ngapi?
Kivuli cha nape! Kinajiita "tata mura"
 
Katika hali ya upepo ya kisiasa, Chadema wamekuwa wakihaha kila kukicha pindi Nape anapokuwa anatoa sera za kisiasa juu ya Chama kikuu cha upinzani Tanzania bara (CHADEMA) kwa nukuu mbali mbali; Mfano: Nape hivi karibuni amesema Dr. Slaa ni mwanachama wa CCM, na yeye bila hiyana akajitokeza na kukiri kuwa ni kweli kwa kumiliki kadi ya CCM. Na nyingine nyingi hadi viongozi wa Chadema wakatishia kwenda Mahakamani kitendo ambacho sasa, kesho na keshokutwa hakitawezekana ama kwa uoga au kukosa wataalamu wa kisheria.

Wakimkimbilia Tundu Lissu Jimboni kwake pamemshinda hadi hivi karibuni alikiri kuwa CCM wamemshinda hivyo hawawezi tena, hii ilitokea pale alipo itisha Mkutano na Wananchi wa Jimbo lake bila Maandamano tarehe 08/12/2012 kijijini Mang'onyi. Si hayo tu alikiri mambo mengi na mengine alionekana anawadanganya wananchi na kufikia hali wa kuanza kumuaibisha pale aliposema CCM wameanzisha mradi wa kilimo na umwagiriaji na alishangaa kusikia CCM wanasema wamelima mashamba hekta 20 wakati yeye anajua shamba lililolimwa ni hekta moja mwananchi mmoja akanyosha mkono na kumtuliza kwa kumwambia Mheshimiwa tunaomba ulekebishe kauli yako kwani kwahili unasema uongo, eneo lililo limwa hadi sasa tunapo ongea ni zaidi ya hekta 21 na kudhibitishia hivi nami ni mmoja wapo wa wanakikundi hivyo Mheshimwa tunakukalibisha ujionee ili unapopanga sera zako zinyooke.

Mbali zaidi ni pale Nape alipotangaza kuwa sasa CCM wanawavua Magamba wanachama wao, Chadema wakadakia kwa kusema VUA GAMBA VAA GWANDA. Kwa hali hii inaonyesha wazi Chadema wanaishi kwa mgongo wa CCM hivyo wanatakiwa kujipanga zaidi.

Ukweli unagharimu lakini ili ufanikiwe lazima uufanyie kazi. Kwa asiyeamini awasiliane na wahusika wampe ukweli ulivyo.

Nawasilisha
Uko ktk hatua za kubarehe ktk kuanzusha mada zenye mashiko.... Ukikua vizuri utaleta mambo yenye mashiko
 
tata mura nani kakupa kazi ya kuwa msemaji wa Chadema?
Waache Chadema waseme ndipo uchangie.
Nyie vibaraka wa Nnauye Jr mna matatizo sana
Ukiwa CHADEMA hausubiri uambiwe, ndo maana utasikia leo Vicent Nyerere asema hivi, Kesho uasikia Mnyika, Shibuda, Dr. Slaa, Mbowe nk. Kama wewe uanasubiri endelea huku nchi inayumba siasa haieleweki Chamani
 
Ni kweli lakini tambua kuwa hata leo hii CCM wakiitisha mkutano wananchi watakuja wengi kuliko unavyofikiri wewe mmoja au hujalijua hilo. Uchukiavyo wewe si kama nichukiavyo mimi na yule. Slaa kwenye uchaguzi uliopita alisema hamtambui Kikwete kwa sababu ameibiwa kura, lakini hadi sasa amekuwa kimya na wakati wakiri wa Serikali alisema wazi mahakamani kwenye kesi ya Lema kuwa anayetakiwa kufungua mashitaka juu ya uonewaji wa uchaguzi ni mhusika mwenyewe au Slaa si muhusika mwenyewe anasubiri wananchi tuandamane kwa shinikizo lake?

Uwingi wa watu mikutanoni unasema nini?
 
Dah kweli umeanzisha thread na imesomwa hongera sana
Halafu waambie akina Nape na Kinana vipi ziara ya Mtwara mbona hata tathmini hakuna
Najua nikija kwenu mtanipa nafasi kubwa ila sina mpango huo
 
Na sikia siku 90 zina isha leo hivyo tutegemee Lowasa, Kikwete, Chenge na mafisadi wengine kuvuliwa gamba....safi sana Nape
 
Katika hali ya upepo ya kisiasa, Chadema wamekuwa wakihaha kila kukicha pindi Nape anapokuwa anatoa sera za kisiasa juu ya Chama kikuu cha upinzani Tanzania bara (CHADEMA) kwa nukuu mbali mbali; Mfano: Nape hivi karibuni amesema Dr. Slaa ni mwanachama wa CCM, na yeye bila hiyana akajitokeza na kukiri kuwa ni kweli kwa kumiliki kadi ya CCM.
Kwa hiyo wewe kwa akili yako yooooote, hiyo ndio umeona ni sera.

Sera ya chama cha siasa inapaswa kuonesha itatatuaje matatizo ya nchi, na ya wananchi.

Pole sana.
 
Mawazo kama haya msitegemee ukombozi wa nchi hii utakuwa rahisi. Tena ukute huyu ni msomi ana degree, lakini anaandika kitu cha kijinga kabisa. Tuna safari ndefu sana kufika huko tunakokutaka. Mwenye akili timamu hawezi angashangilia ujinga anaoufanya bwana nape na ccm yake, ila ipo siku haya yote yatakoma.

Mtu mwenye degree hawezi kuandika kituko kama hiki, labda awe na degree ya kudesa
 
Kuyumba kisiasa kwa nchi kumesababishwa na sisiem! Sasa umeamua kuwa msemaji wao je polisi walioua raia wasio na hatia wamechukuliwa hatua gani? Ujibu !! Na m.kiti wenu aliwagusia msitegemee polisi ukumbuke hilo.
 
Jibu swali umelipwa sh. Ngapi? kwa propaganda ulizokuja nazo kwa geti la uani na thread yako usiniulize swali juu ya swali "kuwa kama umeenda shule" na chama kilichokosa mwelekeo ni sisiem iliyokalia mafisadi ilihali mnajua jinsi walivyoitafuna nchi hii!
 
Katika hali ya upepo ya kisiasa, Chadema wamekuwa wakihaha kila kukicha pindi Nape anapokuwa anatoa sera za kisiasa juu ya Chama kikuu cha upinzani Tanzania bara (CHADEMA) kwa nukuu mbali mbali; Mfano: Nape hivi karibuni amesema Dr. Slaa ni mwanachama wa CCM, na yeye bila hiyana akajitokeza na kukiri kuwa ni kweli kwa kumiliki kadi ya CCM. Na nyingine nyingi hadi viongozi wa Chadema wakatishia kwenda Mahakamani kitendo ambacho sasa, kesho na keshokutwa hakitawezekana ama kwa uoga au kukosa wataalamu wa kisheria.

Wakimkimbilia Tundu Lissu Jimboni kwake pamemshinda hadi hivi karibuni alikiri kuwa CCM wamemshinda hivyo hawawezi tena, hii ilitokea pale alipo itisha Mkutano na Wananchi wa Jimbo lake bila Maandamano tarehe 08/12/2012 kijijini Mang'onyi. Si hayo tu alikiri mambo mengi na mengine alionekana anawadanganya wananchi na kufikia hali wa kuanza kumuaibisha pale aliposema CCM wameanzisha mradi wa kilimo na umwagiriaji na alishangaa kusikia CCM wanasema wamelima mashamba hekta 20 wakati yeye anajua shamba lililolimwa ni hekta moja mwananchi mmoja akanyosha mkono na kumtuliza kwa kumwambia Mheshimiwa tunaomba ulekebishe kauli yako kwani kwahili unasema uongo, eneo lililo limwa hadi sasa tunapo ongea ni zaidi ya hekta 21 na kudhibitishia hivi nami ni mmoja wapo wa wanakikundi hivyo Mheshimwa tunakukalibisha ujionee ili unapopanga sera zako zinyooke.

Mbali zaidi ni pale Nape alipotangaza kuwa sasa CCM wanawavua Magamba wanachama wao, Chadema wakadakia kwa kusema VUA GAMBA VAA GWANDA. Kwa hali hii inaonyesha wazi Chadema wanaishi kwa mgongo wa CCM hivyo wanatakiwa kujipanga zaidi.

Ukweli unagharimu lakini ili ufanikiwe lazima uufanyie kazi. Kwa asiyeamini awasiliane na wahusika wampe ukweli ulivyo.

Nawasilisha

Kama wewe sio narrow minded person, tuambie nani alianzisha mjadala wa katiba mpya,elimu bure? kuwavua madaraka mawaziri feck? Unajua origin ya kujivua magamba??? Regards
 
Ndo maana Chama sasa kimekosa mwelekeo wewe unasubili ulipwe ndo uwaelimishe watanzania wenzako?

inamaana unawapumbaza wa tz halafu unataka kujisifu unawaelimisha watz?
Hizo taarab zenu wakati huu hazina nafasi!
 
Hawa cdm hawawezi kuwa na jipya kwani wao wametoka ccm bila kupenda bado tu wanamentality za ki ccm kwani wanatoka huko.ndio maanakila kitu wanacopy ccm.kila kukicha wanavizia wajue ccm wamefanya nini ili wapate la kuongea .hawawezi kucreate kitu kipya.lazima wawe mgongoni mwa ccm.
 
Hivi kwa nini kila bomu analotoa nape linawafanya cdm wachanganyikiwe kwa nini hamko stable kama wenzenu ccm
 
Hivi kwa nini kila bomu analotoa nape linawafanya cdm wachanganyikiwe kwa nini hamko stable kama wenzenu ccm
Nani anayechnaganyikiwa? Sisi tunongea ukweli na kuwaelimisha wale wenye ufahamu kidogo au wasiojua kabisa vitu kama wewe.
 
Hawa cdm hawawezi kuwa na jipya kwani wao wametoka ccm bila kupenda bado tu wanamentality za ki ccm kwani wanatoka huko.ndio maanakila kitu wanacopy ccm.kila kukicha wanavizia wajue ccm wamefanya nini ili wapate la kuongea .hawawezi kucreate kitu kipya.lazima wawe mgongoni mwa ccm.

unajua unachokiongea?
 
Back
Top Bottom