DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
wataumbuka vibaya sana mahakamani na ndo mwisho wa chadema
utasubiri sana our destiny mpaka UKOME
wataumbuka vibaya sana mahakamani na ndo mwisho wa chadema
Hapo ni pazuri sana, Nape anakwenda kuwaaibisha vibaya sana. Mtanambia.
ebu nitajie mtu yeyotealiyepo chadema ambaye nape anaweza simama naye mahakamani katika fair ground, nape ngekuwa na akili angeshindwa kumsaidia kafumu asivuliwe ubunge au sio mkwe wa mamvi ashinde arumeru mashariki, hivi nape ni nani??? ameshindwa hoja ya kuvua gamba amebaki kupiga mayowe tu kama mzee wa kudondoka jukwaani(dhaifu jk)... kajipange mkuu,,,, sisiemu inanuka mbaya miaka 50 bado mnatoa ahadi tu.... ... leo kila sekta haiana amani kazi mnayoweza nyinyi ni kuua raia tu... MUNGU ATAWAONYESHA
Ni wakati wa Chadema kuumbuka. Nape atakuja na ushahidi wa kutosha.
Ya nini kuandikia mate na wino upo? nendeni mahakamani, msije mkasema mahakama hazitendi haki.
Unitafute nikupe kinywaji bardiiiii maana wewe umekuwa mtabiri, na ikitokea akatoa ushahidi wa nguvu nikupe nusu ya utajiri wanguNi wakati wa Chadema kuumbuka. Nape atakuja na ushahidi wa kutosha.
Sio kwenda tu bali hata kuchangia gharama za kesi haisumbui, iwe mchana iwe usiku napi kwishinei.Mnadanganya huyo dogo mlitelekeza Kafumu na upendo wenu wa kinafiki nje gamba ndani sumu.
Na lile gazeti nimeliweka juu huko msilisahau.
Ana udhibitisho, atatoa mahakamani kama alivyosema tusubiri
Ngoma kwa Nape is to be ready to prove beyond reasonable doubt.Hii phrase ya kisheria huwaga inanimaliza, kwani kama umetoa pumba shughuli unakuwa nayo
Ndio maana naipenda JF,watu wanatoa vipande vidogo lakini vizito.Angalizo ni uwa Mafioso ndo wanaoongoza nchi na kama kawaida yao hawa katika payroll wana watu wa kutoka kila idara ukiwemo mahakama,bunge nahatandani ya Ikulu.Tusubiri tuuone.Hii kesi inaweza kuwa ngumu sana kwa upande wa Nape kwa sababu kwenye madai yake (yeye Nape) ni kwamba kuna nchi za nje zinazotoa fedha kwa CHADEMA kwa makubaliano ya kuuziwa/kupewa rasilimali za Tanzania. Hapa issue sio kupekea pesa, ila atatakiwa athibitishe beyond reasonable doubt kuwa kuna nchi zimetoa fedha kwa masharti wa kupewa rasilimali za Tanzania. Sasa itakuwaje kama hizo nchi zitakataa?