The dirt paka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 371
- 66
Nchi gani hiyo unayo ongelea hapa? Jifunzeni ustarabu kwanza halafu acheni udini. Hii nchi itaongozwa na watu wenye akili timamu na sio wavuta bangi.
wavuta bangi kama wewe? Mi mvuta kamba nikibadili sana sana manati.