CHADEMA 'walishinda' uchaguzi katika kata zote 27!

CHADEMA 'walishinda' uchaguzi katika kata zote 27!

Siku zote nasema elimu ndogo ya Watanzania wengi ndiyo kipingamizi cha mabadiliko. Kamwe Tanzania hayatatokea yaliyotokea Kenya. Katika conspiracy theory zangu naona kuangukaa kwa elimu TZ ni makusudi na haya ndiyo matokeo yake.
Kwa matokeo haya nimekata tamaa ya 2015 (maana dalili ya mvua.... hawa madiwani ndiyo mhimili wa watu wa mashambani walio wengi) unless upinzani waungana na kuanzia sasa waanze countrywide civic education.
Ah, laakini huo upinzani tunaouzungumzia ndio huo huo ulionyimwa elimu ila wachache. Hawawezi kuungana na kwa hiyo hakuna hope.

Mwenyekiti wako anaelimu kiasi gani vile nikumbushe!!
 
tpaul, this is very dry argument man!. Think around people who are going to read your thread, if are understandable or not, the level of their knowledge, skills and other factors. we real tired with you.
 
ivi zile kura 34 kondoa walipata chadema hawa wanaopost JF au kuna chadema wengine in real world
 
Ni kweli, hata uchaguzi wa 2010, Dr Slaa ndiye aliyeshinda, halafu NEC wakachakachua matokea kura za Dr. Slaa wakampa JK, na za JK wakampa Dr. Slaa ndio maana mpaka leo Dr. Slaa ndio rais wa kweli wa Tanzania!, JK ni rais wa NEC tuu!. Ndia maana Chadema ilitangaza rasmi, haimtambui JK kama ndie rais wa Tanzania!, rais ni Dr. Slaa, na mpaka leo, Chadema hawajawahi kutangaza kumtambua JK, ila zile chai na juice za ikulu, chadema walikuwa wanakwenda tuu ili kufanya rehesal ya 2015!.

Pasco.
Pasco
This is toooo low from you Brother.
You need to grow a bit more
 
Last edited by a moderator:
Magwanda humu wananikumbusha kisa cha "kufungwa twafungwa lakini chenga twawala".
 
Ni kweli, hata uchaguzi wa 2010, Dr Slaa ndiye aliyeshinda, halafu NEC wakachakachua matokea kura za Dr. Slaa wakampa JK, na za JK wakampa Dr. Slaa ndio maana mpaka leo Dr. Slaa ndio rais wa kweli wa Tanzania!, JK ni rais wa NEC tuu!. Ndia maana Chadema ilitangaza rasmi, haimtambui JK kama ndie rais wa Tanzania!, rais ni Dr. Slaa, na mpaka leo, Chadema hawajawahi kutangaza kumtambua JK, ila zile chai na juice za ikulu, chadema walikuwa wanakwenda tuu ili kufanya rehesal ya 2015!.

Pasco.

kama unaamini upuuzi ulioandika basi wewe sio mzima, chadema walipata wabunge wangapi 2010? tumia akili ndugu acha kujitia uchizi,
 
kama unaamini upuuzi ulioandika basi wewe sio mzima, chadema walipata wabunge wangapi 2010? Tumia akili ndugu acha kujitia uchizi,

kijana tuliza vibration ya ubongo wako.

Pasco japo huwa kuna muda napingana nae ila kwa hili amenena vyema.
 
Ni kweli, hata uchaguzi wa 2010, Dr Slaa ndiye aliyeshinda, halafu NEC wakachakachua matokea kura za Dr. Slaa wakampa JK, na za JK wakampa Dr. Slaa ndio maana mpaka leo Dr. Slaa ndio rais wa kweli wa Tanzania!, JK ni rais wa NEC tuu!. Ndia maana Chadema ilitangaza rasmi, haimtambui JK kama ndie rais wa Tanzania!, rais ni Dr. Slaa, na mpaka leo, Chadema hawajawahi kutangaza kumtambua JK, ila zile chai na juice za ikulu, chadema walikuwa wanakwenda tuu ili kufanya rehesal ya 2015!.

Pasco.
Wee ni akili kubwa, hawa vijana hawajui siasa wanadhani siasa ni bongo fleva. Wamesahau kwamba mchezo wa siasa ni mgumu kuliko mchezo wa mpira japo hauhitaji jasho kucheza kwake ila duration ya ushindi ni ile sekunde moja ya mpiga kura kutiki picha anayoiona imempendeza sio aliyoyaskia jukwaani. Hawa CDM kwa ubishi na ufedhuli walionao, wataisubiri sana magogoni. Haiwezekani utake ikulu halafu polisi, wanajeshi, watendaji wa umma na wawazi kama wewe mnakuwa maadui wakuu wa wasaka ikulu! Shabbash! Wataenda pokelewa na nani huko ikulu?
 
Tatizo ni pale unapokuwa na washabiki wengi sana kwenye mikutano ambao kumbe sio wapiga kura wala sio wanachama.
 
Ni imani yangu kuwa Vyama vya CHADEMA, CCM, NCCR na vingine viliyoshiriki vitakuwa vinazo takwimu za matokeo ya mwaka 2010. Nawaomba muyaweke hapa ili tuliknganishe na matokeo ya mwaka huu kwa kila kata. Inawezekana kukawa kuna mabadiliko ya idadi ya kura ambayo kwa mtazamo wangu ina 'impact' kubwa sana katika uchambuzi wa kisiasa! Tuwekeeni kama mnazo tafadhali.
 
Maskini bandiko lako 90% ya maneno yako ni CCM, hongera kwa kuipenda CCM Hiki ndicho chama kongwe kisicho na umangimeza wala ukanda!

CDM hamumjuwi mbaya wenu? Tatizo kubwa mlionalo ni kutegemea viongozi toka taifa kufanya vuguvugu kwa dakika 30 then mnajipa moyo kuwa mtashinda! Hata tukiboresha daftari baado mwenye nacho ataongezwa huo ndio ukweli! Na kwa hakika subirini serikali za mitaa ndio itakuwa mbaya kwenu kuliko!

Chopa tatu, kata tatu! Mmepiteza kata mbili mmepata kata mbili! Hongera wachaga maana CDM wangeangukia pua.
 
Tathimini tulioifanya ni kwamba ofisi nyingi za CDM huwa wazi wakati viongozi wa kitaifa wanapokuja! Kwa mfano sehemu zote mlizopita hakuna ofisi wala uongozi thabiti ambao unaratibu Yale mliyoyaacha!

Mtakwenda tena Mwezi wa 9 yaani mwaka Mara mbili katika mikutano 82! Hizi kampeni ni sawa na kuchota maji kwenye gunia!

Subirini muone kichapo kwenye serikali za mitaa maana hamtaamini! Jifariji kuwa daftari litawasaidia laa hasha litainufaisha zaidi CCM kuliko CDM! Mwenye nacho ndio huongezewa!

Chopa tatu, Kata Tatu
 
Mipango tuliyoiweka kwenye daftari ni Neema kwa CCM kuliko CDM! Tena mungejua hata musingeomba kuboresha daftari maana mwenye nacho daima huongezewa!
 
Tunataka tuwaadabishe CDM tuwapige kipigo cha paka mwizi hadi mukome! Tutakutana kwenye serikali za mitaa!

Tumeshamaliza kazi ya kupita kaya hadi kaya kwa kutumia mabalozi wetu na lazima mkae! Mnadhani CCM hawana mikakati ehhh mnajidanganya sana wazee wa chopa tatu, kata tatu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom