Siku zote nasema elimu ndogo ya Watanzania wengi ndiyo kipingamizi cha mabadiliko. Kamwe Tanzania hayatatokea yaliyotokea Kenya. Katika conspiracy theory zangu naona kuangukaa kwa elimu TZ ni makusudi na haya ndiyo matokeo yake.
Kwa matokeo haya nimekata tamaa ya 2015 (maana dalili ya mvua.... hawa madiwani ndiyo mhimili wa watu wa mashambani walio wengi) unless upinzani waungana na kuanzia sasa waanze countrywide civic education.
Ah, laakini huo upinzani tunaouzungumzia ndio huo huo ulionyimwa elimu ila wachache. Hawawezi kuungana na kwa hiyo hakuna hope.
Mwenyekiti wako anaelimu kiasi gani vile nikumbushe!!