Chadema Wako Dilemma....

Chadema Wako Dilemma....

Mkuu Boflo nakushauri ungeendelea kupost zile picha zetu unazozipost almost kila siku kule jukwaa la picha na la kikubwa.
Huku kwenye siasa ungeishia kusoma tu na kuchangia baadhi ya mada lakini sio kuanzisha topic kaka.
 
Jaribuni kufanya maandamano muone maji kuwasha yapo kama tani 50,000 virungu tani 70.
Vikosi vya MP toka vita vya Kagera havijafanya kazi yoyote.

Ndio mnachojivunia hicho eeh?
 
Nimsaidie katika hili. Pengine anazungumzia nguvu ya Dola iliyotumika kuzima maandamano ya Waislamu hasa kuingia kwa JWTZ kwenye operesheni. Wadadisi wa mambo wanaona kama salamu tosha kwa CDM. Uhalali wa JWTZ kutumika kuzima maandamano ya waislamu ndiyo huohuo huko mbele ya safari utakaotumika kuizima CDM.

Kwa maana hiyo ukichanganya nguvu hiyo ya dola na kuminywa kwa nafasi ya kura (chaguzi) katika kufanya mabadiliko ya kisiasa nchini, ni wazi safari ya mabadiliko imejaa miba mingi inayowataka makamanda kuwa tayari kuikanyaga pamoja na wao kuwa peku.

Mkuu usiingize jeshi kwenye siasa, JK akijaribu kutumia jeshi kulinda CCM kuendelea kutawala kinyume cha matakwa ya wananchi atashangaa! Yatatokea haya yanayotokea sasa ya kina Ponda Na serikali badala ya Ponda Na Chadema Kama ilivyokusudiwa!
 
Boflo,
Hakuna kumungunya maneno Chadema wakifanya maandamano bila kibali lazima watandikwe virungu na mabomu kama wanavyotandikwa wengine nchi yetu ya amani hatuwezi kukubali wahuni wachache wavunje amani.
Naona umeshavaa Tineti unawahi kwenye hitma ndio maana unaropoka Kama kichaa
 
Jamani jf mda mwingine!! Boflo umeanzaje leo haya mambo? Mbona wewe fani yako inaeleweka? Nikukute kwenye udaku ss hivi ala!
 
Wana Chadema wamejipanga, wamejidhatiti kuhakikisha 2015 wanachukua nchi, na endapo watashindwa na CCM

Watatumia nguvu ya Umma kuiondoa CCM madarakani. Maandamano ya karibuni ya Waislamu yamewashtua sana

Chadema na wamekiweka chama chao njia panda...

Mimi sina Chama chochote cha siasa, lakini nimeona haya Maandamano ni tishio kubwa sana kwa Chadema.

Tuko na safari ndefu sana kuiondoa CCM madarakani
Wanoko tunakusubiri kwenye udaku kumbe upo huku? Kwa jinsi ninavyokujua
huku unacheza danadana kwenye transfoma.
 
Mkuu Boflo sijakuelewa, maandamano ya waislamu yanaiathiri vp CHADEMA??

mkuu sijakusoma kabisa.Dilema kwa lipi hasa?CHADEMA ni chama makini sana na kwamba hakuna wa kuzuia maandamano ya chama makini kama hicho.
 
Wana Chadema wamejipanga, wamejidhatiti kuhakikisha 2015 wanachukua nchi, na endapo watashindwa na CCM

Watatumia nguvu ya Umma kuiondoa CCM madarakani. Maandamano ya karibuni ya Waislamu yamewashtua sana

Chadema na wamekiweka chama chao njia panda...

Mimi sina Chama chochote cha siasa, lakini nimeona haya Maandamano ni tishio kubwa sana kwa Chadema.

Tuko na safari ndefu sana kuiondoa CCM madarakani

zomba anajua sana maana ya kupitisha magari yaliyosheheni wanajeshi yanamaanisha nini. By the way, Tanzania inahitaji mabadiliko ya fasta fasta hivyo kwenye uongozi wa juu?
 
Last edited by a moderator:
Wana Chadema wamejipanga, wamejidhatiti kuhakikisha 2015 wanachukua nchi, na endapo watashindwa na CCM

Watatumia nguvu ya Umma kuiondoa CCM madarakani. Maandamano ya karibuni ya Waislamu yamewashtua sana

Chadema na wamekiweka chama chao njia panda...

Mimi sina Chama chochote cha siasa, lakini nimeona haya Maandamano ni tishio kubwa sana kwa Chadema.

Tuko na safari ndefu sana kuiondoa CCM madarakani

Hahahahaa! Bofloooo! wiki hii kwa kweli umebadilika sana, umekuwa ukija na topiki nzito sana!
 
Kufananisha maandamano yanayofanywa na Chadema na haya mauzauza ya washabiki wa sheikh Ponda ni dalili za kutojua sheria inayoviongoza vyama vya siasa na pia kushindwa kutofautisha maandamano na vurugu.
Chadema imekuwa ikifanya maandamano makubwa tangu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 na baada ya uchaguzi katika mikoa mbalimbali lakini hata siku moja wanajeshi hawajawahi kujihusisha kuyazuia kwa namna yoyote ile ukiachilia mbali tukio la Lt. Gen. Shimbo (Rtd) kupiga mkwara ambao ulijibiwa vikali na yeye akabaki kimya hadi kustaafu kwake.
 
hili jukwaa waachie wenyewe mkuu... watu wana haki miliki humu...

:focus: ... CHADEMA ndo nani haooo....!!!!!!!!!!????????????
 
Hivi@ Ritz ...huwa unakaanga sumu bro......:confused2:
 
Boflooooooooo! Siasa na Boflo wapi kwa wapi?
 
kuna mahusiano gani kati ya maaandano ya waislamu na chadema
 
Back
Top Bottom