Ponda ndo anajua kama vilifanya au havikufanya kazi.Havikufanya kazi yoyote vinasubiri maandamano ya Chadema.
Ponda ndo anajua kama vilifanya au havikufanya kazi.Havikufanya kazi yoyote vinasubiri maandamano ya Chadema.
LoL! Sina jibu la swali lako Mkuu Sikonge labda tuwasubiri GT wengine watusaidie kulijibu swali hili... Gaijin, Boflo na MziziMkavu mpo!? hebu jaribuni kulidadavua swali hili.
Wana Chadema wamejipanga, wamejidhatiti kuhakikisha 2015 wanachukua nchi, na endapo watashindwa na CCM
Watatumia nguvu ya Umma kuiondoa CCM madarakani. Maandamano ya karibuni ya Waislamu yamewashtua sana
Chadema na wamekiweka chama chao njia panda...
Mimi sina Chama chochote cha siasa, lakini nimeona haya Maandamano ni tishio kubwa sana kwa Chadema.
Tuko na safari ndefu sana kuiondoa CCM madarakani
Havikufanya kazi yoyote vinasubiri maandamano ya Chadema.
tishio kivipi?funguka zaidi.
By the way leo nimefurahi umeongelea siasa na kuweka ngono pembeni.
Mkuu Leo we Na Boflo mmeleta mada gani, mbona hamueleweki! Hapo dilemma ya Chadema Na maandamano ya Waislamu yanahusianaje? Mshauri rafiki yako Boflo arudi kwenye mada zake naona hajui anachokiongea!
Ok jaribu kutetea hoja zako!
1. Ni vipi chadema wako kwenye dilema?
2. Mahusiano ya maandamano ya waislam na cdm!
3.je kwanini unasema cdm watatumia nguvu ya umma kuiondoa ccm madarakani? Je hiyo nguvu ya umma kwa nini isituingize madarakani?
Nilikuwa najiuliza kama Wafanyakazi hawana mishahara, Serikali imekaukiwa pesa na wafadhili wanabana matumizi maana hata kwao kunawaka moto. Huku, jini Ponda na watu wake limeanza kukua kwa kasi tangu walitowe kwenye chupa.
Fedha ya mabomu ya machozi mwisho pia zitaisha na mafuta ya gari la washawasha nazo zitakosekana. Sasa hapo ndipo unaweza kuona kumbe hata NAZI yaweza kuvuta Sigara na Bubu akataka kusema (Bichuka).
Huyu jamaa mbona punguani sana? Athari za kuchanganya siasa na dini.