CHADEMA wajiondoa kugombea ubunge - EALA

Status
Not open for further replies.
Kwani mama makinda hajui chingereza ama shida ni nini hapo? Mbona iko straight? Uongozi wa kupewa mgumu kuliko kuwa nyumba ndogo!
Jamani hebu tuache ushabiki twendeni kwenye fact kama fuatavyo;

Kwa mujibu wa web ya Bunge jumla ya wabunge ni 357. Kwa kuwa sina uhakika na idadi ya wale wanunge 10 wanaoteuliwa na raisi (utaratibu huu usiwepo ktk katiba mpya) tuseme tuna wabunge 350. Kule EAC wanatakiwa wabunge 9 tu kutoka nchi wanachama. Mkataba wa EAC unasema;

ARTICLE 50
Election of Members of the Assembly
1. The National Assembly of each Partner State shall elect, not from among its members, nine members of the Assembly, who shall represent as much as it is feasible, the various political parties represented in the National Assembly, shades of opinion, gender and other special interest groups in that Partner State, in accordance with such procedure as the National Assembly of each Partner State may determine
.

Kama mkataba unavyojieleza, utaratibu ni kwa mujibu mwa taratibu zitakazowekwa na Bunge la nchi husika na Tanzania imeweka utaratibu wa 'ratio' au percentage kutokana na idadi ya wabunge wa kila chama waliopo Bungeni. Hivyo chukua idadi ya wabunge 9 gawa kwa percentage ya wabunge wote wa upinzani jibu halizidi 10% kwani idadi ya wabunge wote wa upinzani hawafiki 70 ili kuwawezesha kupata 20% ili wapate wabunge 2. CDM kuokana na ubinafsi wao (kama walivyounda kambi ya upinzani kivyao) wangependa wapate freepass ya mgombea wao kupita kiulaini. Kwa mujibu wa EAC Treaty, Tanzania haijakosea chochote na hata CDM wakishtaki EA Court of Justice wataangukia pua kama Mtikila alivyoanguka katika kesi kama hiyo miaka mitano iliyopita kwani ibara ya 52 iliyommaliza inasema;

ARTICLE 52
Questions as to Membership of the Assembly
1. Any question that may arise whether any person is an elected member of the Assembly or whether any seat on the Assembly is vacant shall be determined by the institution of the Partner State that determines questions of the election of members of the National Assembly responsible for the election in question

Kwenye undeline hiyo institution ni High Court of Tanzania

Nawasilisha.
 
mkuu wabunge wa upinzani hawafiki 60 na ili waform 20% ya wabunge wote lazima wafike 70. Kwa sasa wanaform only 1% ya wabunge. Huo ndio ukweli mkuu.
Great Sinker indeed! Hata binti yangu wa std 4 anajua idadi kamili ya wabunge wa upinzani bungeni. Kafanye homework yako vizuri, mitihani inakaribia.
 
mwenyewe nilikua najiuliza swali hilo iweje wapinzani wawe na viti moja ya tatu halafu wapate kiti kimoja tu na ccm 2 ya 3 viti vinane huu ni ubakaji wa demokrasia
 
Namhrumia sana Mama Makinda, ukweli alitakiwa kubaki Naibu Spika hizi aibu zitamwandama milele. Alipokuwa chini ya Sitta anglau kuna baadhi ya mashimo yalikuwa yanafukiwa na Sitta, du. CDM wanajua kufuata taratibu, huko haki itapatikana, ikishindikana waachieni kina Malecela wakale, lakini siku zao zinahesabika
 
mkuu wabunge wa upinzani hawafiki 60 na ili waform 20% ya wabunge wote lazima wafike 70. Kwa sasa wanaform only 1% ya wabunge. Huo ndio ukweli mkuu.
Kama hujui mambo kaa kimya usubili wanao jua wakujuze siyo kukurupuka na hovyo......
 
Je kwa kujitoa kwao, wanawatendea haki wapiga kura wao waliowachagua?
Kwa kujitoa kwao watakuwa wanawatendea haki wapiga kura wao kwa kuwawalitumwa kwenda kusimamia uondoshwaji au urekebishwaji wa tafsiri zozote za kisheria zenye elements za ukandamizaji wa haki kama hii ya uwakilishi unavyoashiria kuwa. Mpiga kura anapata haki gani mbunge wake anapokubali kila kitu hata kisicho na masilahi kwake kwa kuitikia ndiyooooooooooo! Tafakari, chukua hatua.
 
Wabunge wote wa CDM kesho watoke nje wakati wakiendesha huo uchaguzi haramu.
Molemo,

Hili suala kama nilivyosema tangu awali tunahitaji kuchukua msimamo mkali juu ya hili.Tunataka hata member states wa jumuiya ya EAC wajue kwamba Tanzania inayoongozwa na CCM haijawa fully commited katika jumuiya ambayo pre-conditions ni democracy,freedom.liberty and equity.Tunataka jumuiya ya Afrika mashariki itambue kuna watu wanabaka demokrasia kwa maslahi yao.Tunataka wajue kwamba muda wote Tanzania imekuwa ikipeleka wawakilishi bila kuzingatia matakwa ya kisheria,mahitaji ya jumuiya,watu wasioitakia mema Tanzania na jumuiya.Ni zao la uhuni na ghiliba.Kinachatikiwa ni decency na maslahi ya Taifa Mbele na maslahi ya jumuiya kwa mapana.

It is not just about winning an election: it is about restoring a sense of decency to our society and Region at large. It is about taking pride in, and respecting,ourselves as human beings and consciously internationalizing democratic values. Unless we do this, development and true freedom will forever elude us and talents will never flower in the land.

But if the answer is democracy, what exactly is the question? The question is: Why are we still not properly practicing it? And that is where CHADEMA comes in-to provide the missing link

Tujitoe katika mchakato huu halafu tufungue kesi mahakamani.Kufungua kesi mahakamani ni kuwatendea haki watanzania kwani imani itakuwa imebaki katika taasisi za kidemokrasia ambayo Mahakama ni mojawapo
 
Molemo,

Hili suala kama nilivyosema tangu awali tunahitaji kuchukua msimamo mkali juu ya hili.Tunataka hata member states wa jumuiya ya EAC wajue kwamba Tanzania inayoongozwa na CCM haijawa fully commited katika jumuiya ambayo pre-conditions ni democracy,freedom.liberty and equity.Tunataka jumuiya ya Afrika mashariki itambue kuna watu wanabaka demokrasia kwa maslahi yao.Tunataka wajue kwamba muda wote Tanzania imekuwa ikipeleka wawakilishi bila kuzingatia matakwa ya kisheria,mahitaji ya jumuiya,watu wasioitakia mema Tanzania na jumuiya.Ni zao la uhuni na ghiliba.Kinachatikiwa ni decency na maslahi ya Taifa Mbele na maslahi ya jumuiya kwa mapana.

It is not just about winning an election: it is about restoring a sense of decency to our society and Region at large. It is about taking pride in, and respecting,ourselves as human beings and consciously internationalizing democratic values. Unless we do this, development and true freedom will forever elude us and talents will never flower in the land.

But if the answer is democracy, what exactly is the question? The question is: Why are we still not properly practicing it? And that is where CHADEMA comes in-to provide the missing link

Tujitoe katika mchakato huu halafu tufungue kesi mahakamani.Kufungua kesi mahakamani ni kuwatendea haki watanzania kwani imani itakuwa imebaki katika taasisi za kidemokrasia ambayo Mahakama ni mojawapo

Nilipo Blue.

Nimekubali sana maneno yako.

Hapo ndio kuwatendea haki wapiga kura waliowachagua kuingia katika chombo hicho kikubwa cha kutunga sharia.

Kwa kujua kuwa nchi yenu inafuata Rules of Law na hivyo kususa uchaguzi na kukaa kimya wakti uchaguzi unaendelea ni kuwanyima haki za kimsingi wapiga kura wako ila kususa kisha kwenda kupinga mchakato mzima mahakamani ni njia sahihi kabisa ya kuonyesha hisia na kuhakikisha haki inatendeka na sharia zinafuatwa kama zilivyoelekezwa katika katiba .

Naunga mkono maneno yako.
 
Nilipo Blue.

Nimekubali sana maneno yako.

Hapo ndio kuwatendea haki wapiga kura waliowachagua kuingia katika chombo hicho kikubwa cha kutunga sharia.

Kwa kujua kuwa nchi yenu inafuata Rules of Law na hivyo kususa uchaguzi na kukaa kimya wakti uchaguzi unaendelea ni kuwanyima haki za kimsingi wapiga kura wako ila kususa kisha kwenda kupinga mchakato mzima mahakamani ni njia sahihi kabisa ya kuonyesha hisia na kuhakikisha haki inatendeka na sharia zinafuatwa kama zilivyoelekezwa katika katiba .

Naunga mkono maneno yako.

Asante kaka....ila hapo kwenye Red.Ni sheria na siyo.....lol
 
Molemo,

Hili suala kama nilivyosema tangu awali tunahitaji kuchukua msimamo mkali juu ya hili.Tunataka hata member states wa jumuiya ya EAC wajue kwamba Tanzania inayoongozwa na CCM haijawa fully commited katika jumuiya ambayo pre-conditions ni democracy,freedom.liberty and equity.Tunataka jumuiya ya Afrika mashariki itambue kuna watu wanabaka demokrasia kwa maslahi yao.Tunataka wajue kwamba muda wote Tanzania imekuwa ikipeleka wawakilishi bila kuzingatia matakwa ya kisheria,mahitaji ya jumuiya,watu wasioitakia mema Tanzania na jumuiya.Ni zao la uhuni na ghiliba.Kinachatikiwa ni decency na maslahi ya Taifa Mbele na maslahi ya jumuiya kwa mapana.

It is not just about winning an election: it is about restoring a sense of decency to our society and Region at large. It is about taking pride in, and respecting,ourselves as human beings and consciously internationalizing democratic values. Unless we do this, development and true freedom will forever elude us and talents will never flower in the land.

But if the answer is democracy, what exactly is the question? The question is: Why are we still not properly practicing it? And that is where CHADEMA comes in—to provide the missing link

Tujitoe katika mchakato huu halafu tufungue kesi mahakamani.Kufungua kesi mahakamani ni kuwatendea haki watanzania kwani imani itakuwa imebaki katika taasisi za kidemokrasia ambayo Mahakama ni mojawapo

We are together Ben!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom