CHADEMA wafahamu kuwa suala la kutaka Tanzania iwekewe vikwazo ni usaliti mkubwa kwa wapiga kura wake

Kwani CHADEMA imepigiwa jura na nani?
 
Wewe mleta mada ni ujinga tu ndio unakusumbua, unafahamu Ayatollah Khamenei alikimbilia wapi wakati anashinikiza wananchi wa Iran waandamane dhidi ya serikali ya Shah.

Obote alikuwa wapi akishinikiza uasi dhidi ya Amin au unafahamu wakati wa utawala wa makaburu kule SA ni kwa nini karibu dunia nzima ilishinikiza hiyo nchi iwekewe vikwazo kwani hawakujua kuwa ni waafrika walio wengi ndio wangeathirika au labda ulikuwa hujazaliwa.

Wakati nyumba 🏠 inapoungua ni haki kwa waokoaji kubomoa milango na madirisha ili kuokoa watu bila kujali gharama au thamani ya nyumba. So please grow up.
 
Si viongozi tu wanaotaka.Hata sisi raia wa kawaida tuliofanywa wajinga kwa kupiga kura na kupigwa changa la macho.

Na acha upotoshaji.Wanaotakiwa kuwekewa vikwazo ni magufuli na genge lake si nchi! magufuli ataondoka lakini nchi itabaki.Huyo si nchi!
 
Wewe ulitakaje kwa mfano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…