Post zote 34 za waliotangulia kuchangia wamepingana na mleta mada!Wewe wa 35 ndiye umeungana na mleta mada!
Hii inamaana watanzania hawapendezwi na ukandamizwaji wa haki unaofanya na serikali ya CCM kwa kutumia dola!Wakulaumiwa hapa ni serikali ya CCM!
Mmetugawa sana wananchi,mnapandikiza chuki katika jamii!