Chadema vyuoni yafa kwa kasi.

Umarufu wa CDM Umeanza kupungua kwa kasi vyuoni ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Wengi weanza kukimbilia ccm CCM Kwa kuwa wameanza kugundua ujinga wa viongozi wao walivyo simple.

Ukiangalia kwa vyuo vikubwa kama UDSM NA UDOM Kasi ni kubwa sana.

You you must be the most crazy person in the world. And I think at the moment you are dreaming .
 
Umetembelea vyuo vingapi? Umetumia siku ngapi kufanya uchunguzi? Umetumia sh,ngapi kuchunguza .umepewa na mwanaume gani fedha ya uchunguzi?. Haya ndugu kesho unaamka freeesh ushalipwa
 
yani wapiga propaganda wa ccm mitandaoni ni vituko...heshima kwako Ritz.....
 
Huna sababu ya kuanzisha thread kwa ID nyingine na kuchangia kwa ID nyingine kujipa sapoti.

hawa jamaa ni vituko....nazani ni waadhira wa shule za kata....
pale udom ni ngome kuu ya chadema, naambiwa TBC imepigwa marufu na juzi kati gari yao ilipigwa mawe..Udsm ndio kabisaa wanajua chadema ndio tumain lao...wasomi wanaongezeka ajira hakuna hawa wefu wamepeta ajira uchwara pale lumumba wamepoteza netwk
 
Umarufu wa CDM Umeanza kupungua kwa kasi vyuoni ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Wengi weanza kukimbilia ccm CCM Kwa kuwa wameanza kugundua ujinga wa viongozi wao walivyo simple.

Ukiangalia kwa vyuo vikubwa kama UDSM NA UDOM Kasi ni kubwa sana.

Pumbavu sana,hujui hata kupiga propaganda.Wewe bado sana na utasubiri mno!
 
umejuaje shost kama id nyingine ya mleta hoja.kweli we msaga sumu

duu...mwanaume mzima maneno ya khanga na ngonjera nyiiingi...wewe nijanga yani na wewe ulikuwa unajiita kiongozi...hahahahaha njaa zitakuwaa,...na wewe ni kituko cha aina yake....wa azania wanajua
 
Usistajabu na hilo, wasomi wetu wa sasa hivi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo kwasababu anguko la elimu ni la muda mrefu, hivyo wengi walio vyuoni ni wale ushindi wao ni wa kuungaunga.
Wameshindwa kutanabaisha maisha ya dhiki waliyonayo wazazi wao huko vijijini kwa sera mbovu za chama cha zamani, ufisadi uliokithiri kwa viongozi wetu kuanzia ngazi ya M/kiti wa mtaa/ vitongoji.
Sasa hivi kinachotakiwa si vyama bali Nchi yangu Tanzania,
Wasomi wakilijua hilo hawatayumba ktk haya yametekelezwa na ccm, Maisha bora kwa kila Mtanzania? Elimu inashuka kiasi cha huyu aliye chuoni hajui Nchi inaibiwa na viongozi kila uchao.

Ukiangalia kwa vyuo vikubwa kama UDSM NA UDOM Kasi ni kubwa sana.[/QUOTE]
 
Mwenye kujua kifo cha ccm kilisababishwa na nn aje hapa zawadi nono itatolewa kwa yeyote
 
Huu uzi uwe ni alert kwa cdm kuongeza kasi ya siasa vyuoni.

CDM haitembei vyuoni ila ina uza sera zinazokubalika vyuoni km vyuoni CCM ndio wanaopelaka kila wanachonweza kubeba isipokua sera sahihi .... wengi wanavutiwa na usemi " njoo CCM ule NCHI"
 
Back
Top Bottom