Chadema vyuoni yafa kwa kasi.

BAPUPEGHE

JF-Expert Member
Dec 14, 2012
220
38
Umarufu wa CDM Umeanza kupungua kwa kasi kubwa vyuoni ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Wengi wameanza kukimbilia CCM Kwa kuwa wameanza kugundua ujinga wa viongozi wao walivyo simple.

Ukiangalia kwa vyuo vikubwa kama UDSM NA UDOM Kasi ni kubwa sana. Hata hivyo ktk zoez la uchaguz wa serikali za wanafunz CCM Imeshinda kwa 90%.
 
Umarufu wa CDM Umeanza kupungua kwa kasi vyuoni ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Wengi weanza kukimbilia ccm CCM Kwa kuwa wameanza kugundua ujinga wa viongozi wao walivyo simple.

Ukiangalia kwa vyuo vikubwa kama UDSM NA UDOM Kasi ni kubwa sana.

ulilala wapi jana?
 
haya bwana naona unaleta usanii ndani ya kaole au unataka watu wachangie uzi wako.
 
Umarufu wa CDM Umeanza kupungua kwa kasi vyuoni ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Wengi weanza kukimbilia ccm CCM Kwa kuwa wameanza kugundua ujinga wa viongozi wao walivyo simple.

Ukiangalia kwa vyuo vikubwa kama UDSM NA UDOM Kasi ni kubwa sana.

Kiongozi!

Wewe na Juliana mliamkia kwa Mwigulu nini?
 
Umarufu wa CDM Umeanza kupungua kwa kasi vyuoni ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Wengi weanza kukimbilia ccm CCM Kwa kuwa wameanza kugundua ujinga wa viongozi wao walivyo simple.

Ukiangalia kwa vyuo vikubwa kama UDSM NA UDOM Kasi ni kubwa sana.

pumba tupu
 
Umarufu wa CDM Umeanza kupungua kwa kasi vyuoni ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Wengi weanza kukimbilia ccm CCM ENDELEA KUTOA MAPOVU MDOMON NDO YALE YALE UNASEMA MAISHA MAGUM WENZIO WANAJENGA MAGHOROFA NA KUNUNUA MAGARI YA KIFAHARI,Endelea kutanua macho wenzio wanapita labda choon kwako lakn siyo chuon..!
 
Umarufu wa CDM Umeanza kupungua kwa kasi vyuoni ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Wengi weanza kukimbilia ccm CCM Kwa kuwa wameanza kugundua ujinga wa viongozi wao walivyo simple.

Ukiangalia kwa vyuo vikubwa kama UDSM NA UDOM Kasi ni kubwa sana.

which politics are you refering?...or its just riping?...you are not objective..
 
Umarufu wa CDM Umeanza kupungua kwa kasi vyuoni ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Wengi weanza kukimbilia ccm CCM Kwa kuwa wameanza kugundua ujinga wa viongozi wao walivyo simple.

Ukiangalia kwa vyuo vikubwa kama UDSM NA UDOM Kasi ni kubwa sana.

Umefanya wapi utafiti.JF ni sehemu ya Great thinkers.Hapa sio Facebook.Kwa bahati mbaya na wewe unaweza kujiita msomi?Funny indeed!
 
labda vyuo vya lumumba ndio umeamka usingizini nini? kajimwagie maji ya baridi kwanza ndio uje upost mada yako tena upyaaaaaaaaaaaaaaaaa labda wana JF wanaweza kukuelewa
 
Back
Top Bottom