billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,442
- 1,662
Ukuwa wawaachie majimbo ambayo chadema ina nguvu wasi nganganie pia uraisi chadema ndo watoe raisi kwa sababu wana nguvu labda makamo ndo atoke chama kingine
Mimi nilidhani lengo la Chadema ni kuchukuwa dola kumbe lengo ni kushinda majimbo mengi kuongeza ruzuku.
Kumbe Chadema mnaichukilia Zanzibar kama Mkoa siyo daah!!!
Salum Mwalimu umewasikia jamaa zako lakini wanasema Zanzibar ni mkoa.
Kusema kweli nilitamani kushuhudia muungano kati ya CUF na CHADEMA, ungekuwa bora zaidi.Sasa hawa NCCR-Mageuzi nao dah.Halafu wanayang'ang'ania yale majimbo ambayo CHADEMA wana nguvu na ushawishi kwasababu ya uwekezaji mkubwa walioufanya huko.Hawataki kwenda maeneo mengine ambayo vyama vingine havina nguvu na ushawishi ili nacho kikajenge huko.
Kina njia ya mkato,kwakweli CHADEMA wawe makini maamuzi yoyote yatakayolenga kuwanyima nafasi nafasi watu ambao walitumia rasilimali zao binafsi,juhudi na muda wao kujenga ngome huko majimboni kisha kuwapa watu wengine ambao hawakushiriki kufanya harakati zozote huko kwa mgongo wa UKAWA,hawa watu wanaweza kwenda ACT na kushinda au kusababisha kura kugawanyika na kutoa mwanya CCM kushinda kirahisi.
Kwa kweli,mleta uzi ana pointi ya msingi sana lakini ngoja tu tuseme kuwa un apoungana unasacrifce baadhi ya tunu zako.Kwa mafano jimbo la Serengeti,katibu mkuu wa nccr mh.Mosena Nyambabe analing'ang'ania lakini ukiangalia,nccr haina hazina yoyote ktk hilo jimbo,haina hata ofisi moja ya tawi jimbo zima.
Na huyu mh.amekuwa akigombea ktk hili jimbo miaka nenda rudi lkn hajawahi kuwa tishio kwa ccm hata siku moja.Leo hii CDM imeimarika Serengeti,viongozi wa cdm vitongoji,vijiji na kata kila kona ya jimbo,vijana wa boda boda pale stendi ya Mugumu mjini kila wakilala wakiamka ni CDM leo unaenda kuwambia eti nccr ambayo hata hawajawahi kuujua huo msamiati hapo kabla.
CUF na NCCR Mageuzi walivaba sana kujiunga na CHADEMA, time will tell karibuni. Mimi sina imani kabisa na hawa jamaa wa Ufipa maana wamekaa kiuchu uchu na usakatonge.
Wewe uwa nimeset kabisa majibu yako utakapo quote post yangu.Acha uzandiki Wa kipapa wewe
Wewe uwa nimeset kabisa majibu yako utakapo quote post yangu.
Mrembo wa JF eti nae kajenga hoja.
teh teh teh
Dhamira yetu ni zaidi ya Majimbo
Ni kuiondoa CCM.
UKAWA ni muhimu sana.
Segerea Mpendazoe alikosa kwasababu Wapinzani waligawana kura. i.e Jumla ya kura za Wapinzani zilikuwa zaidi ya CCM. Tarime CDM walikosa lakini kura za CDM + CUF zilikuwa zaidi ya CCM. The same scenerio kwa majimbo mengine. Je, nini kinachokufanya uamini kwamba 2015 hali kama hiyo haitatokea tena?
Lakini pia, lengo kuu la UKAWA ni kumuondoa mkoloni mweusi CCM madarakani, sio CDM kupata viti vingi vya ubunge. CDM ime sacrifice hayo kwa masilahi mapana ya Watanzania.