Ukuwa wawaachie majimbo ambayo chadema ina nguvu wasi nganganie pia uraisi chadema ndo watoe raisi kwa sababu wana nguvu labda makamo ndo atoke chama kingine
Kasome kwanza katiba ya JMT ya 1977, jinsi VP/running mate anavyopatikana ndio uje utoe maoni yako.
Vinginevyo unachekesha ku-suggest VP atako chama tofauti na Rais.