Makamanda vipi tena mbona mnarushiana maneno ya kejeli?
Wewe ndio MBURUKENGE Hivi ukiwa na Rais kutoka CHADEMA au UKAWA Halafu watunga sheria na wapitisha bajeti wakawa ni CCM Kuna serikali hapo? hivi unajua wabunge wanapower ya kumng'oa Rais Madarakani? Akili yako inaonekana ndogo na siasa umejifunzia ukubwani. Huwezi kujizatiti eti ushinde urais then percent kubwa ya wabunge watoke chama kingine. yaani wewe ni Bogus kama lile KENGEZA Lenu la UFIPA
CUF na NCCR Mageuzi walivaba sana kujiunga na CHADEMA, time will tell karibuni. Mimi sina imani kabisa na hawa jamaa wa Ufipa maana wamekaa kiuchu uchu na usakatonge.
Akili zako sawa na Zinjathropus (Binadamu aliyeishi zama za mawe), you have a PRIMITIVE BRAIN!
Kwa masilahi ya wengine and for the sake of the records.
You're confusing two things, CDM kuachiwa majimbo mengi ya ubunge at the expenses of other parties and UKAWA kushinda majimbo mengi ya uchaguzi. These are two different things i.e. comparing apples and oranges.
On a serious note, hivi wewe umewahi kuiona rangi ya katiba ya JMT ya 1977, achilia mbali kuisoma?
FYI, RAIS wa JMT ana mamlaka/madaraka makubwa kuliko BUNGE. Kabla bunge halijamu impeach Rais anao uwezo na madaraka ya kulivunja bunge na akipenda kusimamisha katiba/constitution. Nyerere aliwahi kutishia kulivunja Bunge na Wabunge wote wakaufyta.
Sasa hao wabunge wako wengi wa CCM watafanya nini kwa katiba hii tuliyonayo? Kama mimi nimejifunza siasa UKUBWANI, basi wewe umejifunza SIASA ukiwa MAITI. You're a walking dead wo/man.
Wewe kwa muono wako tu MTATIRO ATAFURUKUTA SEGEREA...JE ANAKUBALIKA....TATIZO NI KUKUBALIKA MAANA WASIWASI WANGU NI CCM KUSHINDA KWA KISHINDO SEGEREA
Segerea Mpendazoe alikosa kwasababu Wapinzani waligawana kura. i.e Jumla ya kura za Wapinzani zilikuwa zaidi ya CCM. Tarime CDM walikosa lakini kura za CDM + CUF zilikuwa zaidi ya CCM. The same scenerio kwa majimbo mengine. Je, nini kinachokufanya uamini kwamba 2015 hali kama hiyo haitatokea tena?
Lakini pia, lengo kuu la UKAWA ni kumuondoa mkoloni mweusi CCM madarakani, sio CDM kupata viti vingi vya ubunge. CDM ime sacrifice hayo kwa masilahi mapana ya Watanzania.
Mkuu hilo uchu halina ubishi.hao unao waamini wewe mpaka sasa unalipi la kujivunia?kama sio uchu kama unao usema?
Akili zako sawa na Zinjathropus (Binadamu aliyeishi zama za mawe), you have a PRIMITIVE BRAIN!
Kwa masilahi ya wengine and for the sake of the records.
You're confusing two things, CDM kuachiwa majimbo mengi ya ubunge at the expenses of other parties and UKAWA kushinda majimbo mengi ya uchaguzi. These are two different things i.e. comparing apples and oranges.
On a serious note, hivi wewe umewahi kuiona rangi ya katiba ya JMT ya 1977, achilia mbali kuisoma?
FYI, RAIS wa JMT ana mamlaka/madaraka makubwa kuliko BUNGE. Kabla bunge halijamu impeach Rais anao uwezo na madaraka ya kulivunja bunge na akipenda kusimamisha katiba/constitution. Nyerere aliwahi kutishia kulivunja Bunge na Wabunge wote wakaufyta.
Sasa hao wabunge wako wengi wa CCM watafanya nini kwa katiba hii tuliyonayo? Kama mimi nimejifunza siasa UKUBWANI, basi wewe umejifunza SIASA ukiwa MAITI. You're a walking dead wo/man.