Nimetazama taarifa ya habari ile nyomi ya Mwanza ni hatari,kuna kiongozi mmoja wa NCCR amezungumza vizuri kuhusu ushirikiano kwenye uchaguzi serikali za mitaa
tv gani mkuu?
Nimetazama taarifa ya habari ile nyomi ya Mwanza ni hatari,kuna kiongozi mmoja wa NCCR amezungumza vizuri kuhusu ushirikiano kwenye uchaguzi serikali za mitaa
ingekuwa nyomi ya kwenye mikutano ni ushindi chadema now wangekuwa ikuluNimetazama taarifa ya habari ile nyomi ya Mwanza ni hatari,kuna kiongozi mmoja wa NCCR amezungumza vizuri kuhusu ushirikiano kwenye uchaguzi serikali za mitaa
Wakuu tuwe tunapeana tarifa wakati wa kupiga mimi natamani sana kupiga hasa hawa wajinga wa chadema.
Ccm Ni Sawa Na Maku
Kwani Vasco dagama amesharudi?
:thumbup::thumbdown:mkuu nimecheka Sana'a na yule Joyce mukya amepigwa chini nini nakumbuka mbowe alimkatisha safari alipoelekea marekani ajiunge naye Dubai watumbue ruzuku ya chadema pamoja.
Mimi nilikuwa nadhani Chadema ipo ndani ya UKAWA kumbe UKAWA na Chadema ni vyama viwili tofauti.
Mshapiga kura mkuu? Poll station bado IPO waZiMbowe amerudi lini kutoka kula bata na warembo afrika kusini? Kesho ataongea pumba halafu akimbilie kujificha Dubai na warembo huku akitumbua pesa za ruzuku ya chama
Mbona wa vyama vingine hawapo kwenye orodha yako? Mbona unalitumia vibaya jina la UKAWA?
Mkuu, Mbowe karudi juzi na jana kahojiwa na BBC hata anachoongea hakieleweki. Nadhani alikuwa na hanging over za starehe za south.
msg sent kumbe mna harisha ruhusuni maandamano mbona mitutu kuwazuiaMkuu, Mbowe karudi juzi na jana kahojiwa na BBC hata anachoongea hakieleweki. Nadhani alikuwa na hanging over za starehe za south.
Wakuu tuwe tunapeana tarifa wakati wa kupiga mimi natamani sana kupiga hasa hawa wajinga wa chadema.
afadhali ya MAKU ccm nizaidi ya MNDUKU:thumbdown:
Mimi nilikuwa nadhani Chadema ipo ndani ya UKAWA kumbe UKAWA na Chadema ni vyama viwili tofauti.
afadhali ya MAKU ccm nizaidi ya MNDUKU:thumbdown: