CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

attachment.php


Hakika Mungu Mkubwa anawaweka wazi maCCM jinsi ambavyo huwa yahawatumikisha wananchi kwa ahadi ya wali kwani katika picha hii inajidhihirisha watu wamekuja kwa mapenzi yao bila shuruti kwani hakuna mwenye nguo wala kitambulisho cha chama chochote tofauti na maCCM huwa lazima misukule yao ivae jezi
 
Hali hiyo imejitokeza mkutano ulipomalizika ndio wanachama na wapenzi wa chadema walipoingia barabarani na kuanza maandamano huku wakiimba nyimbo za chama, Na kusukuma gari walilopanda viongozi wa chama. Na polisi wakiwasindikiza,
 
Mbona mnajitekenya na kujicheka wenyewe enyi wafitini wa magamba?
 
Mbowe amerudi lini kutoka kula bata na warembo afrika kusini? Kesho ataongea pumba halafu akimbilie kujificha Dubai na warembo huku akitumbua pesa za ruzuku ya chama

Sasa hivi neno maandamano limekuwa chungu mdomoni mwa MACHADEMA

Mkuu, Mbowe karudi juzi na jana kahojiwa na BBC hata anachoongea hakieleweki. Nadhani alikuwa na hanging over za starehe za south.

Mbowe ni.kawaida yake kuongea pumba.. Ngoja kesho tuone kama ataandamana

Mbona mnajitekenya na kujicheka wenyewe enyi wafitini wa magambani?!!
 
Chama Cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA & UKAWA watakuwa kwa medani za jiji la Mwanza kesho kati ya hawa watakuwepo MBOWE, PROF SAFARI, LISU na MNYIKA medani ni kati ya FURAHISHA & MIRONGO PRIMARY. "UKAWA TUMAINI LETU"
====================


UPDATES




hawa ni baadhi ya watu waliopo mkutanoni
attachment.php

attachment.php
Mimi nilikuwa nadhani Chadema ipo ndani ya UKAWA kumbe UKAWA na Chadema ni vyama viwili tofauti.
 
Mh! polisi walikuwa wanawasindikiza?? inamaana agizo la Chagonja hali apply huko? au ndo kusema wamemdharau boss wao??
 
Mh! polisi walikuwa wanawasindikiza?? inamaana agizo la Chagonja hali apply huko? au ndo kusema wamemdharau boss wao??

Jamaa walikuwa wanatafuta target tu,wamepiga bomu la machozi pale junction ya kwenda ofisi za TFDA.
 
ivi chagonja na igp nani mkubwa maana anavyopenda kutoa amri
 
Hali hiyo imejitokeza mkutano ulipomalizika ndio wanachama na wapenzi wa chadema walipoingia barabarani na kuanza maandamano huku wakiimba nyimbo za chama, Na kusukuma gari walilopanda viongozi wa chama. Na polisi wakiwasindikiza,

Ebwana kweli wasukuma wamepinda.Zile difenda mbili,jamaa ndio kwanza wanasonga.
 
Chagonja huwa hajitambui na ki sauti chake utafikiri amepaliwa
 
Nchi yetu lazima tuikomboe kwa jasho na damu zetu, hongereni makamanda wa Mwanza
 
Wakuu tuwe tunapeana tarifa wakati wa kupiga mimi natamani sana kupiga hasa hawa wajinga wa chadema.
 
Hali hiyo imejitokeza mkutano ulipomalizika ndio wanachama na wapenzi wa chadema walipoingia barabarani na kuanza maandamano huku wakiimba nyimbo za chama, Na kusukuma gari walilopanda viongozi wa chama. Na polisi wakiwasindikiza,
 
Nimetazama taarifa ya habari ile nyomi ya Mwanza ni hatari,kuna kiongozi mmoja wa NCCR amezungumza vizuri kuhusu ushirikiano kwenye uchaguzi serikali za mitaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom