CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

Jana katika mkutano mkubwa sana wa hadhara uliondaliwa na UKAWA ktk viwanja vya mbugani wilaya ya Nyamagana jiji la Mwanza, kwa kweli yaliongelewa mambo mengi na mazuri sana kwa mustakabali wa taifa letu, na umati ule uliokuwepo pale uwanjani uliamini kuwa Ukawa ndo tumaini jipya la Watnzania......Lakin kwa siasa za nchi yetu mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa naomba nieleweke kwa hilo.

Katika hotuba ya Mnyika aligusia pia suala la mgomo, akinukuu kauli ya m/kiti mh, Mbowe alisema kwamba:- maandamano ni lazina yawepo, iwe polic wametoa kibali au hapana....Mnyika akachambua kwa kusema:- unaweza kuandamana hata kwa simu tu.....akatoa namba za Mh, Samwel Sitta na za Andrew Chenge ili wananchi iwe kwa kutuma sms au kuwapigia waheshimiwa hawa na kuwaeleza kupinga kwao kuendelea na Bmk....

Sasa wasiwasi wangu ndo unaijia hapo kuwa itawasbabishia wengi matatizo kwa maana badala ya mtu kuelezea kwa kina hoja zake najua wengi wataishia kuwaporomoshea matusi hawa viongozi, sasa ndo nimeuliza kwa hilo mh, Mnyika alikuwa yuko sawa kutangaza namba za mtu hadharani?
 
Wewe ukiwa na shida mpigie tu mr 6, na umkumbushe kuwa hekalu alilojenga urambo halijainua kiwango cha elimu,halijawapa umeme,ajira,na mahi safi na salama.
Bahati mbaya hata urais atausikia tu Radioni,

Msukuma anayetumia miguu kufikiri
 
hahhaa sitapiga kura 2015 ila nitapiga kura kuikataa katiba mpya
 
Mnyika ni mwanasiasa, Sitta naye pia, Chenge hali kadhalika. Huna sababu ya kuona ajabu katika hilo. Wao ni public figures namba zao zinaweza kupatikana kwa njia yoyote ile. Lakini jambo la msingi ni kuangalia sababu ya namba hizo kutolewa hadharani. je zina maslahi kwa walio wengi? ni vigumu kudhibiti hisia za watakaoamua kuwasiliana nao kwa njia yoyote ile, lakini lengo la kutolewa simu hizo linaeleweka ni kuonyesha hisia tu bila jazba. Ikitokea kuwa kuna yeyote atakayetumia vibaya fursa hiyo ni haki yake kukumbana na mkono wa sheria, Mnyika hayupo tena hapo!
 
2wekeeni basi hizo mamba za bwana six ili 2mshauri pia labda atackia...
 
hii inapendeza sana,nilipata kuhudhuria mkutano wa cuf na kukuta ukawa,chadema,nccr inatajwa mara nyingi sana,hivyo hivyooooo kwa vyama vingine.
 
Yaani i love CHADEMA.....Hapo mkutano umehutubiwa na vijana wadogo tu katika chama...na watu wamejaa vile
 
hivi wewe kwa akili yako unatarajia kukombolewa na wajasiriamali akina mbowe? maajabu haya.
Kati ya mbowe na kikwete ni nani mjasiliamali? Nani mwenye panone?,nani mwenye lake oil,nani mwenye simon enteprises?
 
Mkuu, Mbowe karudi juzi na jana kahojiwa na BBC hata anachoongea hakieleweki. Nadhani alikuwa na hanging over za starehe za south.

Ulitaka na aende na wewe? angaria utaolewa sio MFA Mrefu.
 
Kati ya mbowe na kikwete ni nani mjasiliamali? Nani mwenye panone?,nani mwenye lake oil,nani mwenye simon enteprises?
hayo tumeyazoea. watanzania wenzetu mnatia aibu. kila kitu ukionacho unafikiria ni cha fulani. nyie watu wakaskazini mna matatizo sasa. sielewi hasa mnachuki gani na kikwete. kwa masikio yangu nimesikia wengine wakisema mara panone ni ya riz1 na eti mama yake ni mchaga. nilishangaa sana. mara barabara nchini amejenga mramba as if ana mamlaka yeyote, mara udom imejengwa na mkapa, wengine mnasema mtu binafsi aliandika proposal, mara shule za kata ni za mkapa mara nyokonyoko....... wapuuzi kabisa nyie.
mwanzoni angalao nilikuwa naamini sasa hivi nawaona mavi tu. kwa kifupi nyie ni ma.---- tu, full unafiki.
mnafikiria kuiba tu pamoja na kuwa mmejazana kwenye sekta za umma kwa tangia uhuru kulifisadi taifa hili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom