CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

CHADEMA & UKAWA walitikisa Jiji la Mwanza

Mbowe amerudi lini kutoka kula bata na warembo afrika kusini? Kesho ataongea pumba halafu akimbilie kujificha Dubai na warembo huku akitumbua pesa za ruzuku ya chama

Mbowe kesharudi, JK ndo bado anatumbua kodi zetu na warembo USA
 
Mbowe amerudi lini kutoka kula bata na warembo afrika kusini? Kesho ataongea pumba halafu akimbilie kujificha Dubai na warembo huku akitumbua pesa za ruzuku ya chama

mkuu nimecheka Sana'a na yule Joyce mukya amepigwa chini nini nakumbuka mbowe alimkatisha safari alipoelekea marekani ajiunge naye Dubai watumbue ruzuku ya chadema pamoja.
 
Mungu naomba niweke hai ili niione ccm inavyokuwa chama cha upinzani.
 
Hongera sana Ukawa,nyie ndio tumaini pekee lawatanzania.Interahamwe team wamegawanyika wengine wapo Tanga wakiendeleza ulaghai wa ahadi badala yakutekeleza nawengine wapo USA mwezi mzima wakitumbua kodizetu kwa kwenda kuomba misaada ughaibuni
 
Gesi ya machozi inarushwa watu wanataaruki sasa maduka yanafungwa. Polisi wemejiandaa vyema watu wanapiga kelele, Viongozi wa UKAWA wanalazimishwa kuondoka bila maandamano baada ya watu kutaka kumsindikiza MNYIKA.
 
Gesi ya machozi inarushwa watu wanataaruki sasa maduka yanafungwa. Polisi wemejiandaa vyema watu wanapiga kelele, Viongozi wa UKAWA wanalazimishwa kuondoka bila maandamano baada ya watu kutaka kumsindikiza MNYIKA.

Hivi hawa police akili zao wameweka wapi lakini watu wote hao watarudije makwao bila kuonekana kama wameandamana??

BACK TANGANYIKA
 
Gesi ya machozi inarushwa watu wanataaruki sasa maduka yanafungwa. Polisi wemejiandaa vyema watu wanapiga kelele, Viongozi wa UKAWA wanalazimishwa kuondoka bila maandamano baada ya watu kutaka kumsindikiza MNYIKA.

Hayo mabomu wapige meza kuu kwa hao viongozi wa ukawa ndio wamesababisha vurugu wasipige raia wa kawaida
 
Hii post imevamiwa na laki si pesa na lizabon ni hatari alfu mjieshimu hapa si mahali pa matusi kama hamkulelewa na wazazi msiwape wengine laana zenu, mkome kuwatusi watu muwe na adabu mjitathimini na midomo yenu michafu.
Mkuu hawa watu wawili wasikupe shida kwani kila mmoja anamtumikia fisadi wake. Ukitaka kuwavuruga wewe waambie tu kuwa Lowasa hafai kuwa rais wa nchi hii au waambie Lowasa anafaa kuwa rais wa nchi hii afu wewe kaa pembeni uone wanavyovurugana. Na hii ni hivihivi hadi kwa mabwana zao huko CCM. Mmoja anafurahia rushwa za Lowasa na mwingine anategemea ndugu yake fiasadi mmoja mwenye imani mbili akiingia ikulu atamkumbuka. We wafatilie tu mkuu.
 
Leo chama dune chama pendwa lilioanza na Mungu na litakalo malizia na Mungu chini ya Naibu katibu mkuu bara Mnyika kilifanya mkutano mkuuuuubwa viwanja vya Mbugani.Watu walikuwa wengi mno. Kama kawaida mipolisi imepiga mabomu wakati watu wakirudi majumbani.

Wito wangu naomba Naibu katibu Mkuu CCM bara aje viwanja hivi hivi aje bila mamiziki yao apime joto la Mwanza.Piiiiipozi
 
Mungu naomba niweke hai ili niione ccm inavyokuwa chama cha upinzani.

CCM haitakuwa Chama cha upinzani ,CCM itakufa kama hujui uliza ,miccm mingi ishakaa mkao wa kutoka mbio ,kikinuka tu hawapo watabaki wafuasi ambao kila mmoja kama ana guo la kijani na njano atalichoma moto tena hadharani.:third:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom