CHADEMA twazidi kujiimarisha

CHADEMA twazidi kujiimarisha

Huenda huo ni msaada toka kwa mabeberu - tutafuatilia kujua uhalali wake
 
Hata wakileta choppa na jeshi la marekani still kuingia madarakani Labda ni ya nyumbani huko.
 
CDM chama la kizazi kipya!! Bravo saana; unaingia kwa hiari na unatoka kwa hiari wanaobaki wanapiga kazi kama kawa... hili ndilo chama bwana!!

Chama eti hadi uambiwe cha kusema eboo!!!
 
Back
Top Bottom