CHADEMA tunazidi kujiimarisha vijijini

CHADEMA tunazidi kujiimarisha vijijini

Hayo ni maoni yako ambayo tunaweza kukupuuza vile vile, wewe unafikiri hati za umiliki zitaandikwa chama cha wananchi?

Kwanza chama cha wananchi ni CUF.
Sawa Bosi
 
Ni kweli inabidi chadema Sasa tufanye harambee awamu ya kwanza tujenge ofisi ya makao makuu.
UKICHANGA TU ZINA LIWA ZISHALIWA MILIONI MIA ZA SABODO NA MBOWE HATA MFANYEJE HILO NDIYO ZINDIKO LENU CHADEMA IKIJENGA OFISI NZURI TU INAKUFA KABISA
 
Chadema mnafanyia kazi zenu gheto na sio ofisini m
 
CHADEMA haters mnachukia sana mafanikio ya hiki chama.
Chuki kusema ukweli?
Hela ya Sabodo iko wapi
Michango ya Wabunge last term inayokadiriwa 4bilion iliyopelekea baadhi wakajitoa chadema iko wapi
Wewe una taarifa ya Join the chain?
Unajua kwa nini toka Mbowe atoke gerezani Lissu ameacha kuhamasisha join the chain?
 
Chuki kusema ukweli?
Hela ya Sabodo iko wapi
Michango ya Wabunge last term inayokadiriwa 4bilion iliyopelekea baadhi wakajitoa chadema iko wapi
Wewe una taarifa ya Join the chain?
Unajua kwa nini toka Mbowe atoke gerezani Lissu ameacha kuhamasisha join the chain?
Nenda kachimbe mashimo chato
 
Umesema wamejenga wananchi halafu unaita ni mali ya chama, huu utapeli unawasaidia nini?
Tulijenga viwanja vya mpira karibu mikoa yote,ofisi nyingi karibu mikoa yote kwa kutumia nguvu za WANANCHI...Leo hii eti vyote hivyo ni Mali ya MA CCM...JE HUO NAO NI UTAPELI?TUANZIE HAPO
 
Wafuasi wa Chadema ni kama NYUMBU kweli sasa naanza kuamini hivyo.

Hii nyumba iko Misungwi Mwanza na BAVI-CHAA walikwenda hapo wakaweka kile walichokiita jiwe la msingi lililoandikwa kwa Marker Pen.

Baadae kuna post iliwekwa humu ikiwasuta kwa hilo tukio la uongo na lajiaibisha wenyewe.
 
Linaoe
Hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Cdm sasa hivi inakimbia kama upepo au kama moto wa nyika kwa jinsi inavyo zidi kuenea na kukubalika kwa watanzania.

Hili ni jengo jipya la ofisi ya chadema ktk kijiji cha Isenengeja wilayani Misungwi.

Hapo ni nguvu za wananchi tu zimetumika .

Hakika CHADEMA tunazidi kuimarika sasa tuanze kutembea kifua mbeeeeereeeee tupo kwenye raiiiitiiiii tiraaaaakiiii.
View attachment 2241860
Linapen
 
Back
Top Bottom