Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,233
- 98,194
Hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Cdm sasa hivi inakimbia kama upepo au kama moto wa nyika kwa jinsi inavyo zidi kuenea na kukubalika kwa watanzania.
Hili ni jengo jipya la ofisi ya chadema ktk kijiji cha Isenengeja wilayani Misungwi.
Hapo ni nguvu za wananchi tu zimetumika .
Hakika CHADEMA tunazidi kuimarika sasa tuanze kutembea kifua mbeeeeereeeee tupo kwenye raiiiitiiiii tiraaaaakiiii.
Cdm sasa hivi inakimbia kama upepo au kama moto wa nyika kwa jinsi inavyo zidi kuenea na kukubalika kwa watanzania.
Hili ni jengo jipya la ofisi ya chadema ktk kijiji cha Isenengeja wilayani Misungwi.
Hapo ni nguvu za wananchi tu zimetumika .
Hakika CHADEMA tunazidi kuimarika sasa tuanze kutembea kifua mbeeeeereeeee tupo kwenye raiiiitiiiii tiraaaaakiiii.