CHADEMA tunazidi kujiimarisha vijijini

CHADEMA tunazidi kujiimarisha vijijini

Mmekosa hata nguzo mzuri ya kuwekea bendera mpaka mmeweka bendera kwenye kijiti.?
Hizo ni ofisi au frem za machinga.?
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Cdm sasa hivi inakimbia kama upepo au kama moto wa nyika kwa jinsi inavyo zidi kuenea na kukubalika kwa watanzania.

Hili ni jengo jipya la ofisi ya chadema ktk kijiji cha Isenengeja wilayani Misungwi.

Hapo ni nguvu za wananchi tu zimetumika .

Hakika CHADEMA tunazidi kuimarika sasa tuanze kutembea kifua mbeeeeereeeee tupo kwenye raiiiitiiiii tiraaaaakiiii.
View attachment 2241860
Off topic: Mapaa ya majengo mengi siku hizi ni mabaya sana, lakini ndiyo yanaitwa ya kisasa. Mapaa yenye slope kubwa hutumika nchi zenye snow ili kurahisisha snow itelemke kirahisi. Tanzania ambako hata mvua siku hizi ni ya kutafuta kwa sara huwa tunataka slope kubwa hizo za nini kama siyo ujinga tu? Inaongeza gharama za ujenzi bure.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Cdm sasa hivi inakimbia kama upepo au kama moto wa nyika kwa jinsi inavyo zidi kuenea na kukubalika kwa watanzania.

Hili ni jengo jipya la ofisi ya chadema ktk kijiji cha Isenengeja wilayani Misungwi.

Hapo ni nguvu za wananchi tu zimetumika .

Hakika CHADEMA tunazidi kuimarika sasa tuanze kutembea kifua mbeeeeereeeee tupo kwenye raiiiitiiiii tiraaaaakiiii.
View attachment 2241860
kwakweli mmejiimariha watu sita na nyinyi watatu kweli chama kimekuwa imara vijijini
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Cdm sasa hivi inakimbia kama upepo au kama moto wa nyika kwa jinsi inavyo zidi kuenea na kukubalika kwa watanzania.

Hili ni jengo jipya la ofisi ya chadema ktk kijiji cha Isenengeja wilayani Misungwi.

Hapo ni nguvu za wananchi tu zimetumika .

Hakika CHADEMA tunazidi kuimarika sasa tuanze kutembea kifua mbeeeeereeeee tupo kwenye raiiiitiiiii tiraaaaakiiii.
View attachment 2241860
😁😁😬🙄Mmeenda kulaghai wananchi huko vijijini mnaita kujiimarisha. Nonsense, hili genge la wahuni wa saccos ni kulipuuza tu.
 
Chama kianze THE GREAT REBUILDING PROJECT. KIWEKE ASSETS KILA MAHALI.
IN 10 YEARS KIWE CHAMA TAJIRI KULIKO VYAMA VYOTE AFRICA.

IANZISHWE CHADEMA TRUST ITAKAYOKUSIKA KUSIMAMIA MALI ZOTE ZA CHAMA. MAAMUZI YA MALI YASIBAKIE KWA VIONGOZI WA CHAMA PEKEE.
Subirini Mbowe afe kwanza. Chadema Trust italiwa kama join the chain au zile 100mls za Mzee Sabodo au michango mingine
Screenshot_20220228-072718.png
 
Off topic: Mapaa ya majengo mengi siku hizi ni mabaya sana, lakini ndiyo yanaitwa ya kisasa. Mapaa yenye slope kubwa hutumika nchi zenye snow ili kurahisisha snow itelemke kirahisi. Tanzania ambako hata mvua siku hizi ni ya kutafuta kwa sara huwa tunataka slope kubwa hizo za nini kama siyo ujinga tu? Inaongeza gharama za ujenzi bure.

Sahihi kabisa hapo kwenye kuongeza gharama kubwa.
 
Sina swali nina tango njoo Ikalie

Nimecheka kinoma, itazame vizuri hii id, ww chezea hapa hapa kwenye mwanga, huko gizani unakolazimisha kwenda angalia usitokee na harufu huku nzi wanakufuata.
 
Umesema wamejenga wananchi halafu unaita ni mali ya chama, huu utapeli unawasaidia nini?
Kwani mali ambazo leo CCM inamiliki na kujivunia zilijengwa na nani? Tena heri hii ya CDM watu wanatoa kwa hiari yao za CCM zilichangishwa kwa lazima kama kodi. Vinywaji baridi na vilevi viliongezwa bei, guest ziliongezwa bei kuchangia ujenzi wa viwanja na majengo ambayo leo CCM wanasema ni mali zao.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Kwani mali ambazo leo CCM inamiliki na kujivunia zilijengwa na nani? Tena heri hii ya CDM watu wanatoa kwa hiari yao za CCM zilichangishwa kwa lazima kama kodi. Vinywaji baridi na vilevi viliongezwa bei, guest ziliongezwa bei kuchangia ujenzi wa viwanja na majengo ambayo leo CCM wanasema ni mali zao.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Huu uporaji wa CCM si mmekuwa mkiukemea, saa ni nini hii kuuendeleza?
 
Wewe acha maswali ya kitoto bhana ...Chama Ni Cha wananchi ..na hiyo Ni Mali ya Chama Cha wananchi....hivi uliishia la lumumba B school
Hayo ni maoni yako ambayo tunaweza kukupuuza vile vile, wewe unafikiri hati za umiliki zitaandikwa chama cha wananchi?

Kwanza chama cha wananchi ni CUF.
 
Back
Top Bottom