DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
"Chadema na watanzania tunataka serikali ya mpito isiyoongozwa na Samia itakayowekwa chini ya uangalizi wa taasisi huru za kimataifa kwa kuwa serikali haina uhalali wowote CHADEMA inataka kuanzishwa kwa serikali ya mpito " Mh. John Heche akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 11,2025.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche akizungumzia Maazimio ya Kamati Kuu ya Chama hicho leo Desemba 11, 2025.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara John Heche akizungumzia Maazimio ya Kamati Kuu ya Chama hicho leo Desemba 11, 2025.