Nazijua fika takwimu za mitandao ya kijamii na Twitter ndo inaongoza, ila kama tukiangalia engagement ya mambo yanayowahusu basi Twitter ni ya mwisho na kama inatija yeyote basi ni kuwajaza Kiburi na huenda mkapopoteza ushawishi wenu kabisa ndani ya miaka mitatu ijayo.
Ukienda kutazama post zenye matamko ya viongozi wenu katika media outlets kila mtu anawapinga na wengi wanadhani labda hamna nia njema na Taifa ili. Na sasa inaonekana dhairi mkiwa na mtu mstarabu basi mnaanza dharau (Bila kujali ni nini unamini, Tanzania si kama USA utakubali tu mwenywkiti, na mwalimu mkuu ni watu tunaowaogopa na tunaamini wanapaswa kuheshimiwa challenging the status quo sio utamaduni wa wabongo acheni kua idealistic (Mh. Mbowe should know this better than anyone)). Watanzania si watu kama wa mataifa mengine hamna idadi kubwa ya watu wanaotaka power reshuffle, na hawafwati trends za kisiasa za watu wa mataifa mengine.
Kama mnataka kupima ratings zenu vizuri basi tazameni watu wanasemaje. Mpo kwenye decline moja kubwa sana especially kwa online community (namnajua impacts zake rights).
Mwisho: Whoever leads strategy should resign and I doubt kama hata mna idara hii. You need a team to execute this na sio maadhimio ya chama, CCM does this subconsciously but nyie mpo scattered all over the place, politics at some time ni less quantitative, sawa mnaweza kua na active members but do they believe in the movement, how many traitors have you had?
Hahaaaa! wakiite tu chama cha matusi.Mbona utaoga matusi leo..!
Sababu pekee CCM inashinda uchaguzi ni kwasababu ya wizi wa kura/uchanguzi.Ukweli ni kwamba watu huwa wanapigia kura vyama vya upinzani kutokana na kuchoshwa tu na matendo ya Rais anaekuwa madarakani.
Na siyo kwamba vyama vya upinzani ni bora kuliko CCM.
CCM ingeweza kuanguka kirahisi kama mpaka leo kungekuwa na Rais yule yule hasa angekuwa kama Magu.
Hii mbinu ya kubadili marais kila baada ya miaja 10 ina tabia ya kujenga matumaini mapya kwa watu na hivyo CCM kuendelea kuwepo.
Na kibaya zaidi vyama vya upinzani vimekuwa ni mihemko, matukio, ubinafsi na agenda za ajabu ajabu.
CCM bado ina uwezo wa kushinda kura kwa haki kabisa nchi hii. Kama umetembea nchi hii utajua tu.Sababu pekee CCM inashinda uchaguzi ni kwasababu ya wizi wa kura/uchanguzi.
Do you seriously believe this mkuu?CCM bado ina uwezo wa kushinda kura kwa haki kabisa nchi hii. Kama umetembea nchi hii utajua tu.
Mikoa yenye uungwaji mkubwa wa upinzani ni michache sana.
Hakika kabisa. CCM ina machinery ya uchaguzi nzito sanaDo you seriously believe this mkuu?
..ya wizi.Hakika kabisa. CCM ina machinery ya uchaguzi nzito sana
Jamani Chadema si Magufuli alishaiua kabisa? Mbona hamueleweki?Chadema ni sawa na mtu alie katika hatua za mwisho za kufa. Ni lazima atape tape kujaribu kuokoa nafsi (roho) yake, lkn mwisho wa yote anakufa. Nashauri mwaka 2025 chadema wasisimamishe mgombea kwa upande wa uraisi, maana raisi Samia anatutosha na kutufaa watanzania kwa miaka zaidi ya 10 ijayo.
Hii honest opinion uliwapa CCM enzi hizi waliposema digital trends si lolote si chochote? Kwamba eti CHADEMA wanategemea digital trends ambazo haziakisi uhalisia on the ground.Io ya picha nisaidie wewe kiongozi, na mimi sio MATAGA. Nafwatilia digital trends and i just gave an honest opinion.
Firauni alikufa na kuacha masalia ya wafuasi wake kadhaa, ambao bado walikuwa wanaendeleza ufirauni mpk pale walipokuja kupotezwa kabisa na tawala zilizokuja baadae. Kwahiyo chadema ishakufa lkn yamebakia masalia ambayo tunaendelea kuyaangamiza kupitia utawala bora, sheria, hoja na baadae sanduku la kura mwaka 2025.Jamani Chadema si Magufuli alishaiua kabisa? Mbona hamueleweki?
Mara hii mmeanza kumwita Firauni? Hata kama mna chuki kwa sababu aliipendelea Chato kwa kujenga vitu visivyo na umuhimu lakini siyo vizuri kumlinganisha na Firauni. Magufuli alifanya makosa lakini nyie wapambe wake ndiye mlimpoteza njia.Firauni alikufa na kuacha masalia ya wafuasi wake kadhaa, ambao bado walikuwa wanaendeleza ufirauni mpk pale walipokuja kupotezwa kabisa na tawala zilizokuja baadae. Kwahiyo chadema ishakufa lkn yamebakia masalia ambayo tunaendelea kuyaangamiza kupitia utawala bora, sheria, hoja na baadae sanduku la kura mwaka 2025.
Kosa ni la mwenyekiti wenu. Badala ya kusajili wasomi ndani ya chama yeye anasajili mateja, mashoga, wanywa viloba na gongo, na vibaka.Mara hii mmeanza kumwita Firauni? Hata kama mna chuki kwa sababu aliipendelea Chato kwa kujenga vitu visivyo na umuhimu lakini siyo vizuri kumlinganisha na Firauni. Magufuli alifanya makosa lakini nyie wapambe wake ndiye mlimpoteza njia.
Chadema ..walitakiwa kufanya uchaguzi kwanza...
Bora Malisa ndo awe Mwenyekiti
Angalau anaweza Ku reason
Kwa hiyo baada ya Firauni kufa kwa corona Chadema bado ipo?Kosa ni la mwenyekiti wenu. Badala ya kusajili wasomi ndani ya chama yeye anasajili mateja, mashoga, wanywa viloba na gongo, na vibaka.