Chadema someni hapa, sio mnapapatika na kukurupuka tu...

Kuna haja ya kuanza kupima watu kabla ya kuja hapa jamvini!

Mkuu DABO KLICK. Wazo lako zuri sana. Tangu nimejiunga na jf nimekuwa nikiona ikizidi kuvamiwa na "MEDIOCRITY." Kuna umuhimu wa kuanzisha aina fulani ya VETTING ya nani anajiunga na community ya GREAT THINKERS
 
Join Date : 17th May 2008
Location : in kremlin
Posts : 49
Rep Power : 537
Likes Received1
Likes Given0




Nimejitahidi sana kukuchunguza nimegundua ulichokiandika ni sahihi kwa upeo wa akili yako kwani kwa kipindi kirefu tangu ujiunge JF inaonyesha ni mdhaifu wa uchangiaji na huna point muhimu unazochangia
 
duh labda ubongo wake ameganda!
Kila mtu ajiletee maendeleo mwenyewe?? ... Kwa hiyo kila mtu ajenge barabara zake? Aweke umeme na maji yake? Hospitali zake? Bandari zake? Ailinde mipaka na amani yake mwenyewe? Ajijengee shule zake? Aajiri walimu wake?... Hakuna cha serikali, wala mahakama, wala bunge sababu kila mtu atajifanyia kivyake????! Etc etc...
This cant be a normal human being brain activity!!!
 
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.

Ume-panic. . .tehe tehe pole sana.
 
Tatizo sasa hivi ni masoko, chakula kede kede, jisomee:

[h=1]Kilimo Kwanza: Good Policies and Leadership Give Farmer’s a Leg Up in Tanzania[/h] By agraafrica September 3, 2010 AGRA AGRF Kilimo Kwanza Tanzania

Beginning in 2005, the government of Tanzania began implementing policy changes that made improved seed and fertilizers more widely available to farmers.
Then in 2009, the government launched the Kilimo Kwanza, which means ‘Agriculture First’ in Kiswahili, to transform agriculture into a modern and commercial sector. The program has resulted in maize surpluses.

H.E. Peter Pinda, Prime Minister of Tanzania

Now, a new problem exists for some Tanzanian farmers: a sustainable market for them to sell their harvests for a profit.

“The world is recovering from a global food and financial crisis,” noted H.E. Mizengo Kayanza Peter Pinda, Prime Minister of Tanzania. “Africa must take the bull by the horns and end the structural reasons that prevent it from feeding itself.”
The message is clear: Put farmers first and they will deliver.


Source: Kilimo Kwanza: Good Policies and Leadership Give Farmer’s a Leg Up in Tanzania | AGRA Blog

Hayo ndio mambo ya Kikwete, nyie bakini viwandani mkiunda uongo tu.

Naona unatetea maendeleo ya kwenye blog kwa hilo sikupingi lakini kwa uhalisia wa kutolewa kwa vibali vya kuingiza mbolea feki na ufukara wa wakulima majority ambao hata hawajui kuna kitu kama hii ''AGRA blog'' wenye picha ya aliyekuwa mtoto wa mkulima ambaye amepiga suti matata akimsifia bosi wake.
Halafu just for the record the glorified 'KILIMO KWANZA' policy is a total failure.That why the try to bail it out through the like of SAGCOT ambayo nayo itaishia mifukoni mwa werevu wa taifa hili kupitia herufi tatu 'PPP'.
The message is clear ''Leave the farmers in their misery and you'll survive and flourish''
 
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.

anyway.....wewe kama upeo wako umeishia ktk kula tuu hatutarajii jipya toka kwako wale wengi wenye level ya akili ya akili sawa na yako.

Maisha ni zaidi ya kula na kushiba...................................

Tafakari........chukuwa hatua..................vua gamba ......................vaa uzalendo...................
 
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.

Bila shaka ubongo huo uliofikiria hili unakaribia kuoza wahi sasa upate tiba uuuuwwwiiiiiiiiiiiii fanya haraka wewe
 
Kazi zao kuunda uongo tu au sio?
Kumbe mnazijua kazi zenu.
Kwanza JK Ndo Muongo kupindukia, anaji proud na ujenzi wa Daraja La kigamboni ilhali ule ni Ubakaji wa Fedha za wanachama wa NSSF na walipa kodi through PAYE

Shenzi zenu
 
Kumbe mnazijua kazi zenu.
Kwanza JK Ndo Muongo kupindukia, anaji proud na ujenzi wa Daraja La kigamboni ilhali ule ni Ubakaji wa Fedha za wanachama wa NSSF na walipa kodi through PAYE

Shenzi zenu

Naona upo kiwandani.

Na hao walipa kodi hawataki fedha zao ziwekeze, zikae tu na wao ndio watapata maendeleo, au sio?
 
Naona unatetea maendeleo ya kwenye blog kwa hilo sikupingi lakini kwa uhalisia wa kutolewa kwa vibali vya kuingiza mbolea feki na ufukara wa wakulima majority ambao hata hawajui kuna kitu kama hii ''AGRA blog'' wenye picha ya aliyekuwa mtoto wa mkulima ambaye amepiga suti matata akimsifia bosi wake.
Halafu just for the record the glorified 'KILIMO KWANZA' policy is a total failure.That why the try to bail it out through the like of SAGCOT ambayo nayo itaishia mifukoni mwa werevu wa taifa hili kupitia herufi tatu 'PPP'.
The message is clear ''Leave the farmers in their misery and you'll survive and flourish''

SAGCOT na PPP ni part and parcel ya kilimo kwanza, vipi? upo kiwandani?
 
Ni wanasiasa wachache sana, "hasa wa kiafrika" ambao kweli wapo kwa maslahi ya nchi zao.
Majority wapo kwa ajili ya personal interests.
Haijalishi ni chama gani.
Mwisho wa siku mtu akishaamua kupenda chama fulani basi atatea hata mabaya.
Shame on such wanasiasa.
 
Siasa kitu cha ajabu sana.
Eti kama mi ni chama X na wewe ni chama Y, basi mi sitakiwi ku-appreciate na ku-compliment mazuri yako, la sivyo nitaitwa msaliti.
This is pathetic.
Lengo la kujenga nchi yetu kwa pamoja liko wapi sasa?
Sipendi unafiki.
 
Wengine eti wanaunda vitengo vya propaganda kabisa, ukija kuangalia kazi za hivyo vitengo...utashangaa.
 
SAGCOT na PPP ni part and parcel ya kilimo kwanza, vipi? upo kiwandani?

Ha..ha..ha Haki ya Mungu serikali ya CCM balaa sana yaani lile fuko la fedha la 'mamilioni ya kikwete' halijawatosha sasa mnajipendekeza kwenye mfuko wa hela za watu binafsi..pathetic!!!
I wish SAGCOT was only a private thing kwa sababu serikali yenu dhalimu is sucking out of it instead of improving it.The World Economic Forum is in for a big dissapointment.
 
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.

Mnaobaki na nani sema unaobaki,usitusemee wote maana mfano mimi sinufaiki na fedha za mafisadi unadhani nitawapenda viongozi wezi?
 
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
kwa msimamo wako ni kwamba nchi iongozwe na mapadri,mashekhe ,wachungaji na laigwanani
 
???!! Does this topic make sense ???!

According to some of our esteemed mods, it does.

Otherwise it shouldn't have been here 24hrs after it's creation. To my eternal surprise, some useful threads have been exterminated before your next eye lid.
 
Back
Top Bottom