Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
hapa siyo facebook.Maelezo mareeeefu kumbe mavi matupu...
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
Tatizo sio wanasoma wapi, tatizo wanapata wapi hizo pesa za kusomeshea watoto wao nje, wanaiba rasilimali zetu kwa manufaa yao wenyewe. Usitake kulazimisha amani kwenye dhuluma namna hii hakuna atakaekuelewa. Wewe nadhani ni kati ya wale waloficha pesa Uswis usitulazimishe tuwaache muendelee kutuibia.nyie mnakazi ya kujuwa watoto wa wenzenu wanaposoma, je nyie mmejituma vp kuhakikisha vizazi vyenu vinaishi maisha mema?
Acheni upuuzi na kuyumbishwa na watu wachache
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
Wewe usipangie watanzania kitu wanachotaka! Kwani nchi ya babaako hii? Acha kila mtu aamue anachotaka! Sisi hatuitaki amani, tunataka maendeleo! Wewe unaetaka amani na sio maendeleo Hama! Chizi nini?
umekalia mshumaa anagalia usije kukatia huko..
Acha kupost upepo wewe pimbi
Hili jamaa linaitwa kula kulala! Useless great thinker! Eti kujilia ugali bila kujali maendeleo yanakujaje? Tumb..f kabisa!
Kujituma kwa kuiba? Na kujinyakulia keki ya taifa at our expense?
Hivi unajua njaa ni chanzo cha kuvurugika amani? Kuhama kuliwastahiki nyie, ambao mnaishi nchi isiyo na hospitali bora na shule bora za kusomesha watoto wenu. Muhamie huko kunakofaa maana mna bidii sana ya kujituma 'kutafuta'. Tuachieni sie tutengeneze manake kwetu kunavuja. Haya maneno unayoongea leo kwa kutumwa, yatakurudi na utasahau kama once upon a time ulivimbiwa!