Chadema someni hapa, sio mnapapatika na kukurupuka tu...

Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.

kula ugali ndiyo amani? akili ndogo.
 
Tafadhali ficha upumbavu wako Putin.



Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
 
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.

Let people see the difference!
 
Post za usiku na melengelenge. Kazi kula kulala tu! Hivi unajua watu hawaamini hata mlo uliopita wameupatapata vipi? Think hard Nitup. Nimegeuza jina lako kama akili yako ilivogeuka.
 
nyie mnakazi ya kujuwa watoto wa wenzenu wanaposoma, je nyie mmejituma vp kuhakikisha vizazi vyenu vinaishi maisha mema?
Acheni upuuzi na kuyumbishwa na watu wachache
Tatizo sio wanasoma wapi, tatizo wanapata wapi hizo pesa za kusomeshea watoto wao nje, wanaiba rasilimali zetu kwa manufaa yao wenyewe. Usitake kulazimisha amani kwenye dhuluma namna hii hakuna atakaekuelewa. Wewe nadhani ni kati ya wale waloficha pesa Uswis usitulazimishe tuwaache muendelee kutuibia.
 
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.

Uamsho kawaeleze hayo
 
Sekondari za Kata zimeongeza idadi ya watu wanaotumia uhuru wa kutoa maoni yao. Kama mitihani ya darasa la saba mwaka huu ingesimamiwa na walimu wa sekondari kama tulivyotangaziwa awali, hakika watu kama Putin msingeingia sekondari za Kata. Hata hivyo kuanzia mwaka huu mtihani wa kidato cha pili kurudia mara moja ukishindwa tena nyumbani watu aina ya Putin watakuwa wanaishia kidato cha pili.
 
dah! hii sasa ishakuwa too much! mpaka vichaa wamejiunga humu na wanaanzisha uzi! Mods shughulikieni hili suala!
 
bange,widi,msuba,cha arusha,jani,marijuana,kijiti .
mnajua kwa nini hii kitu imeitwa majina mengi namna hii.
ni kwa sababu nayo haitabiriki,ukivuta shambani unalima sana,ukivuta chooni ndop matokeo kama ya mtoa mada.
 
wewe ni member wa muda mrefu hapa jf nilifikiri umejifunza kwa ma great thinkers waliotangulia,inaonekana uwezo wako ni mdogo au unafaidika pamoja na wahuni wachache ndani ya ccm,nchi hii ni mali yetu wote na tuna haki ya kufaidika na kuhoji uendeshaj wa serikali yetu pamoja na kujua kila kitu kuhusu mapato na matumizi ya nchi yetu,hiyo idea wapelekee waarabu wanaopigania haki zao huko libya na syria kama hawajakuingiza majiti matakoni kama Gadafi
 
Wewe usipangie watanzania kitu wanachotaka! Kwani nchi ya babaako hii? Acha kila mtu aamue anachotaka! Sisi hatuitaki amani, tunataka maendeleo! Wewe unaetaka amani na sio maendeleo Hama! Chizi nini?


Hutaki hama.
 
Hili jamaa linaitwa kula kulala! Useless great thinker! Eti kujilia ugali bila kujali maendeleo yanakujaje? Tumb..f kabisa!


Kila mtu ajitafutie maendeleo yake mwenyewe.
Sio mnakaa vijiweni na kupika umbea halafu mnataka Serikali iwaletee maendeleo...
 
Kujituma kwa kuiba? Na kujinyakulia keki ya taifa at our expense?
Hivi unajua njaa ni chanzo cha kuvurugika amani? Kuhama kuliwastahiki nyie, ambao mnaishi nchi isiyo na hospitali bora na shule bora za kusomesha watoto wenu. Muhamie huko kunakofaa maana mna bidii sana ya kujituma 'kutafuta'. Tuachieni sie tutengeneze manake kwetu kunavuja. Haya maneno unayoongea leo kwa kutumwa, yatakurudi na utasahau kama once upon a time ulivimbiwa!


Uharo mtupu umejipaka...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom