Pilato Mkoma
Member
- May 25, 2012
- 30
- 3
Mmmmm........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nahisi wewe unataka post zako ziongezeke maana sioni kama uliwaza vyema kabla ya kuandika... watu wengine acheni tabia ya kukurupuka......wewe ni nani mpaka uwapangie na kuwachagulia namna ya kuishi na jinsi ya kuchukulia mwambo... tumetofautia sana hasa jinsi ilivyo mitazamo na jinsi ya kuchukulia mambo.... na ndio maana akili yako fupi ikakufanya kufikiri MAENDELEO NI KULA UGALI TU, nahisi hata katika maisha yako ya kawaida unawaza ujinga kama huu..... nasema huo ni uzezeta tena uzezeta wa kiwango kikubwa sana,,,, KUBALI KUJIFUNZA NA KUFIKIRI KABLA YA KUANDIKA KITU MAANA HAPA SIAMINI KAMA KUNA KILAZA WA KIWANGO CHAK
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
Mkuu Putin,
Endelea kutoa elimu ya uraia.
Seriously Ritz???!!!
Afu kila Mpasho anaokuja nao Mkwe.re unaamuaga kuuvamia tu bila hata kutafakar, one day akikuomba ....,lazima utampa tu (Kama bado hajafanya lakini)
Wewe ni nani wa kuwaamrisha wanaoipenda CHADEMA waihame nchi? Na nani kasema ni CHADEMA ndiyo wasiotaka amani? Kwa nini ni CHADEMA na si wanachama wa chama chako cha wezi, vibaka, wachawi na malaya wa CCM wasiihame nchi na kuwaachia watanzania Uhuru wao ulioporwa na nyinyi wana wa shetani mwenye miguu mitatu? Mwisho kabisa ni nani aliyewapa nyinyi hatimiliki ya nchi hii kuitawala kuisifadi na kuiangamiza bila ya kupigiwa kelele?Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
Umesha andika ubwabwa wako. Anza kufikiri sasa. Maana inaonekana kama wewe ni extrovertNchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
Malaria hua inapanda kichwani kwa aina nyingi sana,Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
Mkuu hakuna amani hapa kama mahangaiko ya maisha kibao hivi labda kuna utulivu ingawa hata huo nina mashaka sana sana kuna uvumilivu tu ndio maana hata huo ugali unaosema unapata. Muhimu si kuhama, maana uatazaa wakimbizi kibao na mahangaiko zaidi, tunachotaka ni kuwajibika na kuwa na viongozi wanaoona mbele na wazalendo. Ingekuwa kuhama, basi nadhani hata wapigania uhuru wangehama na kutafuta nchi nyingine na kuwaacha wakoloni waendelee. N aukitaka kila mtu maendeleo ajitafutie mwenyewe, basi nadhani unataka watu wavamie kila sehemu watakayoona watapata maendeleo na hilo unalodai amani na utulivu halitakuwepo.Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.
Nchi hii Tanzania Tunahitaji AMANI na UTULIVU.
Maendeleo kila mtu ajitafutie mwenyewe.
Asietaka AHAME nchi.
Zipo nchi zina Maendeleo aende huko! Tafadhalini asie taka AHAME nasisitiza AHAMEE.
Tunaobaki tutajilia ugali wetu kwa amani pasi na shaka.