Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Not an attack, free speech. Najua mtaponda lakini naye akubali kupondwa. He is not a superman, and we are going to prove that from now on
Is it?
Not an attack, free speech. Najua mtaponda lakini naye akubali kupondwa. He is not a superman, and we are going to prove that from now on
Na hasa anaposema uchaguzi uliofanyika ni free and fair!! Uchaguzi wa nchi za Kiafrika uwe free and fair? Atueleze wale wapiga kura milioni 10 waliopotea siku ile ya kupiga kura walikwenda wapi?
Dar-Es-Salaam,
Nashukuru sana. Kesi ya kumpoka mtu mke? Nadhani ni vema wakaulizwa walioianzisha. Mimi sawa na wewe sijui ilikoenda. Ukifanikiwa kujua nijulishe ili nami nijue ilikoenda au ilikoishia baada ya uchaguzi.
Mwanakijiji ana haki ya kuuliza na kukosoa lolote Chadema kama mtu yeyote yule. Huna haja ya kumuita majina yote hayo. Mimi ninamuelewa vizuri kwa nini kafikia uamuzi huo.
Hata mimi sijaelewa vizuri suala la Chadema kuitambua serikali ya Kikwete hadi waje na sababu za kuniridhisha. La sivyo ni kweli itabidi waombe msamaa kwa kauli zao za kwanza kuwa hawakumtambua rais.
Mimi ni mwana Chadema lakini nasema sintamtambua Kikwete kama rais wangu. Bado ninaamini ni rais wa NEC. sasa sijui na mimi utanitukana? Soma saini yangu na sintaibadilisha.
ZeMarcopolo,
Narudia tena, hakuna mahali popote Chadema imebadili msimamo wake na kusema kuwa Kura hazijaibiwa au kuchakachuliwa. Taarifa niliyotoa jana kwa TBC ilieleza wazi kuwa Kamati Kuu, ilipokea na kujadili na kuridhia mapendekezo yote yaliyowasilishwa na Sekretariat ya Chama kuwa Chadema imekataa matokeo ya Uchaguzi kutokana na irregularities 15. Chadema inaamini kuwa iwapo Katiba ya nchi isingelikuwa imezuia kuhoji matokeo ya uchaguzi Mkuu wa Rais mahakamani, matokeo hayo yangeliweza kubatilishwa. Kwa vile Katiba inakataza kuhoji matokeo kuhojiwa mahakamani, basi japo Kikwete's Presidency ni Lawful it is Illegitimate. Chadema ilitumia maneno ya kiingereza kuonyesha tofuati kubwa kati ya maneno hayo mawili. Huo ndio msimamo wa Chadema toka mwanzo na haijawahi kuyumba, japo maneno ya kiswahili yamekuwa yakipewa tafsiri tofauti na watu mbalimbali. Ni kwa msingi huo, Kamati Kuu ikasisitiza " Kuundwa kwa Tume Huru" kuchunguza Dosari " Irregularities" hizo kubwa katika uchaguzi. Nasisitiza, Chadema ni Chama ambacho toka mwanzo ilisisitiza kuwa "Haiko Tayari kuingia Ikulu kwa kumwaga Damu ya Watanzania". Inawezekana wanaopenda na kufurahia vurugu, Chadema haiko tayari kwa hali hiyo. Tunasukumwa sana na wapenzi na wanachame wetu kutoka mitaani na kuandamana, na ndicho pia wanachotaka ndugu zetu akina Mwanakijiji. Maandamano, (ya amani au ya kushinikiza), kwa watu wanaojua mchakato wa demokrasia ni hatua ya mwisho kabisa baada ya njia zingine zote kushindikana. Pili, ili Tanzania isiingie katika uchaguzi mkuu ujao wa 2015 kwa Katiba na Sheria mbovu kama tuliyonayo leo, Chadema inasisitiza upatikanaji wa Katiba mpya, Shirikishi na ya Wananchi.Upatakanaji wa Katiba hii utakuwa na mchakato, na kama Serikali haitaki, basi Chadema kwa kushirikiana na wadau na watu mbalimbali wakiwemo wananchi itatutumia njia zote zinazoweza kuipatia nchi Katiba ya Wananchi. Yote haya ni mchakato, na kwa mtu yeyote anayoamini kuwa mchakato huchukua muda, basi atakuwa mvumilivu. Hakuna sababu ya kutumia lugha kali, kukashifiana na kutukanana japo jamvi letu ni mahali ambapo "we dare to speak". Tukivumiliana na kuheshimiana tutafika salama bandarini. Tukikurupuka tunaweza pia tusifikie lengo tunalotaka. Hekima na busara vikitawala na kuongoza matunda yatakuwa mazuri kwa Taifa letu. Taifa ni letu tukiibomoa hatuna pengine pa kwenda, labda tukiamua kulowea penginepo. Tukikurupuka tunaweza kuwaumiza wanaohusika na wasiohusika. Uvumilivu na Busara daima huvuta heri.
Angalia tena jina langu.hivi kama wewe tu ambaye hata dr slaa hakujui unajua kama kesi ilikuwa withdrawn baada ya uchaguzi, yeye dr slaa akisema hajui kesi ilipoishia/au hajui jibu la muuliza swali kuwa iliishaje, mtu mwenye akili atasemaje?
Based on Mwanakijiji's analysis below, I am categorically herein urging this gentleman to apologize to Tanzanians for being such an hypocrate. This man with 1000 aliases, has been confusing the country. He once upon a time unearthed and defended the dead CCJ policies. Once their ship capsized he jumped into Chadema, today after receiving briefcases from CCM he is becoming a JK's mouthpiece.
Mr. Man, I think we can handle you here interlectually. Dont take our silence for granted or as a sign of weakness. dont be deceived at all. Come out into the open and take a stand of where you belong. We dont need political prostitutes at the time when we need true patriots to fight for democracy. I can tell that you are one of those strategic "moles" implanted to destroy our few democtratic gains.
We are waiting for you to open the discussion, and will handle you to the bitter end, because we are ready to die for what we believe in. We are NOT, and are NEVER going to be hypocrates. Tell your handlers that, DOWANS, EPA and many of their corruption scandals will come to pass, and natural justice will one day take its course. It is just a matter of time
Mapandikizi na manafiki hawakawii .... mida yao inafika tu. This is your time
Dokta Slaa, kwa kuwa unapenda kufafanuwa mambo wewe mwenyewe humu jamvini, hicho ni kitu kizuri sana.
Naomba tufafanulie ile kesi yako iliishaje, nadhani ingawa una majukumu mengi lakini utaikumbuka, kama huikumbuki, labda nikudokezee kidogo. Ile ya yule jamaa anaekushutumu kuwa umechukuwa mkewe. Hebu tujuze imefikia wapi?
Nikisema CHADEMA is becoming a truly RIGHTWING gang/party mtasema sina ni njema nao.......Reactionaries at its best...
Watu kama nyie ndiyo mnaoharibu jamvi. Kesi yake hiyo ina maana gani katika mada hii?
Hivi kuna viongozi wangapi ambao wanakupa heshima ya kukujibu? Ambao wanatuheshimu kwa kuingia humu kujadiliana nasi masuala ambayo yana umuhimu kitaifa? Wewe kama hii haina maana basi bora ungekaa pembeni kuwaachia wale ambao wanaona umuhimu wake waendelee na mada. Heshima ni kitu cha bure.
Amandla.....
Kama huna la maana la kuandika hapa JF lazima uandike upuuzi kwa kuwa linahusu Chadema? Si usome tu michango ya wengine? naona hadhi yako inazidi kushuka sana.Dr Slaa,
With all due respects naomba kuuliza maswali yafuatayo.
Kwanza kabisa nakubaliana nawe kuwa msimamo wa Chadema haukuwa kutomtambua Rais Kikwete kwani msimamo huo ulipaswa kuwa na baraka za Kamati Kuu ambayo imetamka kama chama kinamtambua Rais Kikwete na ninyi mkaamuriwa kushiriki shughuli zote za chama.
Hata hivyo napenda kujua,
Hivi siku ile ya sherehe kule Dodoma haukutamka kuwa Chadema hamumtambui Rais Kikwete?
Hivi haukutuma message kwa wabunge wako kusisitiza umuhimu wa kuwalk out wakati Kikwete anaingia bungeni ili kuonekana mko consistancy katika kutumtambua?
Hivi jioni siku ile wabunge walivyomsusia Rais Kikwete haukusisitiza kuwa hamumtambui katika mahojiano na Radio?
Hivi haukutumia ID yako hapa Jamiiforums kusisitiza kuwa wabunge walitoka nje ili kuonyesha ulimwengu kuwa hamumtambui Rais Kikwete?
Ni wazi kuwa hata mwenyekiti wako Mbowe hakuwa akiiafiki hilo na ndio maana katika matamko yake yote alisistiza kuwa Chadema inamtambua Kikwete lakini ni wewe na Tundu Lissu ndio mliokuwa mkisisitiza kuwa hamumtambui Rais Kikwete. Alifanya hayo siku kadhaa baada ya wewe kuongea na Radio lakini zaidi kwa msisitizo aliyasema hayo katika ule mdahalo na Mheshimiwa Hamad Rashid. Kitu ambacho kilikuwa kinaonesha wazi inconsistency iliyokuweko katika msimamo huo lakini bahati nzuri sio wengi waliokuwa tayari kuliona hilo hivyo haikuwa na madhara makubwa.
Sasa Mzee wangu unapoanza kuchakachua maamuzi ya Kamati Kuu ya Chama chako ili mradi tu ukwepe kuonekana kuwa ulikosea na Naibu wako na wabunge wengine ndio waliopatia hivi kweli huoni kuwa unazidi kuabuse imani ya Watanzania wapatao milioni mbili ambao walikuamini? Humility kitu muhimu sana katika siasa endelevu na uzuri ni kuwa unayo hiyo haiba ya kuonekana kuwa humble...kukubali kuonekana kuwa mlikosea itasaidia sana kuliko kuendelea kuspin maagizo ya Kamati Kuu....Hiyo ni hulka ya ujanjaujanja ambayo anaibeba mwengine na sio wewe Mzee wangu...
Mzee wangu, kumbuka kuwa wewe ulikuwa mhimili wa uaminifu katika sura ya uongozi wa Chadema na sio Kiongozi wako Mkuu na hata wengineo. Yaliyosemwa wakati wa uchaguzi yanaweza kusahaulika lakini unachokifanya sasa just kusave face yanamong'onyoa imani hiyo ambayo ni muhimu kwa mafanikio ya Chadema na Tanzania kwa ujumla huko mbeleni. Sura ya uaminifu ambayo unayo ni political capital kubwa kwa Chadema na haitakuwa busara kuichakachua...
Na pia hizi comments za kumwaga damu umekuwa ukizitumia sana tangia hivi karibuni....unajua wazi kuwa kusema kuwa hatupendi kuona damu inamwagika kwa maana ya kisiasa ni kuwa tukubaliane ama sivyo damu itamwagika....Chonde Mzee wetu, vijana wako bado tunaamini mabadiliko sahihi na makini kwa njia ya demokrasia......Yawezekana ninyi umri umeenda na mngependa kuona matunda ya mapambano yenu kabla hamjatuaga lakini tafadhali Mzee wangu, taratibu ndio mwendo, wenzetu wote waliokimbia tunajua walipofikia...sio kwema
Nashukuru kama utaniwia radhi Mzee wangu kwa heshima na taadhima zote..
omarilyas
Dr. Slaa,
Nimesoma sana Katiba yetu hiyo ibara ya 41 kifungu cha 7 kinasema hivi: "Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake." Inaonekana kuwa uongozi wa CHADEMA unaangalia rangi ya bluu tu katika kifungu hicho na kushindwa kuangalia rangi nyekundu. Hakuna mwanasheria anayeweza kuonyesha kuwa kifungu hicho kinataka rais awe amachaguliwa kwa mujibu wa ibara ya 41 yote, ambapo pamoja na mambo mengine ni lazima kifungu chya 6 kiwe kimetimizwa, ambacho kinasema kuwa "Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote. "
(1) Kama kweli kuna ushahidi kuwa matokeo ya Kikwete yalichakachuliwa na hakuwa amepata kura nyingi kuwazidi wagombea wengine na hivyo Tume ilifanya makosa kwa kumtangaza Kikwete kama mshindi bila kutekeleza matakwa yote ya aya 41 ya Katiba, je hamuoni kuwa kifungu cha 7 kitakuwa hakifanyi kazi tena kwa vile rangi nyekundu haikutimia na hivyo matokeoa hayo yanaweza kupingwa?
(2) Iwapo itakuwa ni vigumu kuhoji matokeo hayo, je hamuoni kuwa kuna haja ya kuishitaki tume kwa kosa la kuvunja katiba ya nchi ibara 41(6) kwa kumtangaza mtu ambaye hakupata kura nyingi? katiba haitoi kinga yoyote kwa tume dhidi ya kushitakiwa kwa sababu yoyote ile.
Ningependa jambo hili lichukuliwa kwa umuhimu wa juu sana kabla hatujafikia hatua ya Ivory Coast na Kenya siku za mbeleni.
Mkuu, hawa ni mashabiki. Kila chama wapo.
Amandla....
I wish ingekuwa hivyo. Wengi ni viongozi wa juu wa chama hapa.........
Wewe ndiyo zuzu kweli ni kati ya 70% fuata upepo chochote atakachosema wewe unabugua bila kutazama.well said mwanakijiji. you always write point.
hawa mazezeta wachadema wasioona wakikosolewa achana nao. I always respect your threads. keep it up. thanx again.
Dr Slaa,
With all due respects naomba kuuliza maswali yafuatayo.
Kwanza kabisa nakubaliana nawe kuwa msimamo wa Chadema haukuwa kutomtambua Rais Kikwete kwani msimamo huo ulipaswa kuwa na baraka za Kamati Kuu ambayo imetamka kama chama kinamtambua Rais Kikwete na ninyi mkaamuriwa kushiriki shughuli zote za chama.
Hata hivyo napenda kujua,
a. Hivi siku ile ya sherehe kule Dodoma haukutamka kuwa Chadema hamumtambui Rais Kikwete?
b. Hivi haukutuma message kwa wabunge wako kusisitiza umuhimu wa kuwalk out wakati Kikwete anaingia bungeni ili kuonekana mko consistancy katika kutumtambua?
c. Hivi jioni siku ile wabunge walivyomsusia Rais Kikwete haukusisitiza kuwa hamumtambui katika mahojiano na Radio?
d. Hivi haukutumia ID yako hapa Jamiiforums kusisitiza kuwa wabunge walitoka nje ili kuonyesha ulimwengu kuwa hamumtambui Rais Kikwete?
Ni wazi kuwa hata mwenyekiti wako Mbowe hakuwa akiiafiki hilo na ndio maana katika matamko yake yote alisistiza kuwa Chadema inamtambua Kikwete lakini ni wewe na Tundu Lissu ndio mliokuwa mkisisitiza kuwa hamumtambui Rais Kikwete. Alifanya hayo siku kadhaa baada ya wewe kuongea na Radio lakini zaidi kwa msisitizo aliyasema hayo katika ule mdahalo na Mheshimiwa Hamad Rashid. Kitu ambacho kilikuwa kinaonesha wazi inconsistency iliyokuweko katika msimamo huo lakini bahati nzuri sio wengi waliokuwa tayari kuliona hilo hivyo haikuwa na madhara makubwa.
Sasa Mzee wangu unapoanza kuchakachua maamuzi ya Kamati Kuu ya Chama chako ili mradi tu ukwepe kuonekana kuwa ulikosea na Naibu wako na wabunge wengine ndio waliopatia hivi kweli huoni kuwa unazidi kuabuse imani ya Watanzania wapatao milioni mbili ambao walikuamini? Humility kitu muhimu sana katika siasa endelevu na uzuri ni kuwa unayo hiyo haiba ya kuonekana kuwa humble...kukubali kuonekana kuwa mlikosea itasaidia sana kuliko kuendelea kuspin maagizo ya Kamati Kuu....Hiyo ni hulka ya ujanjaujanja ambayo anaibeba mwengine na sio wewe Mzee wangu...
Mzee wangu, kumbuka kuwa wewe ulikuwa mhimili wa uaminifu katika sura ya uongozi wa Chadema na sio Kiongozi wako Mkuu na hata wengineo. Yaliyosemwa wakati wa uchaguzi yanaweza kusahaulika lakini unachokifanya sasa just kusave face yanamong'onyoa imani hiyo ambayo ni muhimu kwa mafanikio ya Chadema na Tanzania kwa ujumla huko mbeleni. Sura ya uaminifu ambayo unayo ni political capital kubwa kwa Chadema na haitakuwa busara kuichakachua...
Na pia hizi comments za kumwaga damu umekuwa ukizitumia sana tangia hivi karibuni....unajua wazi kuwa kusema kuwa hatupendi kuona damu inamwagika kwa maana ya kisiasa ni kuwa tukubaliane ama sivyo damu itamwagika....Chonde Mzee wetu, vijana wako bado tunaamini mabadiliko sahihi na makini kwa njia ya demokrasia......Yawezekana ninyi umri umeenda na mngependa kuona matunda ya mapambano yenu kabla hamjatuaga lakini tafadhali Mzee wangu, taratibu ndio mwendo, wenzetu wote waliokimbia tunajua walipofikia...sio kwema
Nashukuru kama utaniwia radhi Mzee wangu kwa heshima na taadhima zote..
omarilyas
Dokta Slaa, kwa kuwa unapenda kufafanuwa mambo wewe mwenyewe humu jamvini, hicho ni kitu kizuri sana.
Naomba tufafanulie ile kesi yako iliishaje, nadhani ingawa una majukumu mengi lakini utaikumbuka, kama huikumbuki, labda nikudokezee kidogo. Ile ya yule jamaa anaekushutumu kuwa umechukuwa mkewe. Hebu tujuze imefikia wapi?
Based on Mwanakijiji's analysis below, I am categorically herein urging this gentleman to apologize to Tanzanians for being such an hypocrate. This man with 1000 aliases, has been confusing the country. He once upon a time unearthed and defended the dead CCJ policies. Once their ship capsized he jumped into Chadema, today after receiving briefcases from CCM he is becoming a JK's mouthpiece.
Mr. Man, I think we can handle you here interlectually. Dont take our silence for granted or as a sign of weakness. dont be deceived at all. Come out into the open and take a stand of where you belong. We dont need political prostitutes at the time when we need true patriots to fight for democracy. I can tell that you are one of those strategic "moles" implanted to destroy our few democtratic gains.
We are waiting for you to open the discussion, and will handle you to the bitter end, because we are ready to die for what we believe in. We are NOT, and are NEVER going to be hypocrates. Tell your handlers that, DOWANS, EPA and many of their corruption scandals will come to pass, and natural justice will one day take its course. It is just a matter of time
Mapandikizi na manafiki hawakawii .... mida yao inafika tu. This is your time