Chadema should not apologize!

Chadema should not apologize!

MMJ,
Nakushukuru kwa post yako. i) Kuhusu kwenda kwa Wananchi, ni vema mkaelewa kuwa mara tu baada ya uchaguzi kulikuwa na "Katazo la mikutano ya hadhara". Katazo ambalo awali hatukuielewa imetolewa na nani na imetolewa kwa mamlaka gani, kwa kuwa katazo la aina hiyo kimsingi ilihitaji "Hali ya Hatari kutangazwa" na tangazo la namna hiyo lilitakiwa litolewe na Rais, lakini haikuwa imetolewa. Ilichukua muda na ni baada ya kukusanya na kupata nyaraka kutoka kwa ma OCD wa maeneo mbalimbali ya nchi nzima. Asiyefahamu hilo atadhani tulikuwa tumekaa kimya na si kila kitu tunaweza kuliweka hadharani mpaka pale tunapokuwa tumepata ushahidi. Wengi wanajua kuwa tulipopata ushahidi kamili tulipiga kelele kwa Tamko la Press Conference iliyotolewa na Wanasheria wetu Mhe. Tundu Lissu na Mhe.Mabere Marando. Baada ya Tamko hilo hali imeanza kubadilika na mikutano ya Wabunge wetu imeanza kuruhusiwa japo ya kisiasa bado inaendelea kuzuiliwa. Ndiyo maana ninasisitiza kuwa ni muhimu kama Taarifa haitoshi, tukaulizana kuliko kulaumiana bila kujua misingi ya kinachofanyika. Nadhani Chadema tuko very open, nimekuja kwenye Jamvi hili kwa jina langu na mara kwa mara nimekuwa nikifafanua mambo mbalimbali yanayoihusu Chadema bila kusubiri na bila kigugumizi. Ninaahidi kuwa kama kuna jambo linahitaji niingilie kwa nafasi yangu nipo tayari bila kusubiri kujenga "hisia" ambayo inaweza kupotosha jambo jema, na kazi ya kurekebisha mara nyingi ni ngumu zaidi, na wakati unarekebisha "damage"kubwa inakuwa imeisha kufanyika. ii) Kuhusu Msimamo wa " Lawful na Illegitimate" Press Conference niliyofanya jana haikuwa Kauli ya Dr. Slaa, wala ya Mgombea Urais wa Chadema. Ilikuwa kauli ya Kamati Kuu ya Chadema. Sasa kama tunaamini katika misingi ya Demokrasia ya "collective Responsibility" basi kama kuna mtu au kiongozi alikuwa hakubaliani na wazo hilo, ni siwezi akalazimishwa. Lakini katika Demokrasia uamuzi wa wengi ukifanyika, basi ndio uamuzi, na ambao hawakuwa wanapenda uamuzi huo hawana budi kukubali uamuzi huo. Kwa bahati mbaya hii ndio demokrasia na sina namna nyingine ya kuielezea. iii) Kutoka kweda kwa Wananchi nayo ina stategy yake na ni swala linalohitaji "political timming". Nadhani Chadema as party with strategies, inatekeleza mikakati yake ya lini itoke kwa wananchi kwa timming ambayo italeta maximum benefit na kuepuka damage ya aina aina yeyote ile. Mengine siwezi kuyamwaga hadharani, lakini naamini kama kuna nia njema ninachokieleza kinaeleweka. Wananchi wengi wanaotupigia simu binafsi huwa tunawaelimisha na tunakubaliana nao kwa mengi. Nadhani nimeeleweka MMJ na wana Jamvi wenzangu.
 
Based on Mwanakijiji's analysis below, I am categorically herein urging this gentleman to apologize to Tanzanians for being such an hypocrate. This man with 1000 aliases, has been confusing the country. He once upon a time unearthed and defended the dead CCJ policies. Once their ship capsized he jumped into Chadema, today after receiving briefcases from CCM he is becoming a JK's mouthpiece.

Mr. Man, I think we can handle you here interlectually. Dont take our silence for granted or as a sign of weakness. dont be deceived at all. Come out into the open and take a stand of where you belong. We dont need political prostitutes at the time when we need true patriots to fight for democracy. I can tell that you are one of those strategic "moles" implanted to destroy our few democtratic gains.

We are waiting for you to open the discussion, and will handle you to the bitter end, because we are ready to die for what we believe in. We are NOT, and are NEVER going to be hypocrates. Tell your handlers that, DOWANS, EPA and many of their corruption scandals will come to pass, and natural justice will one day take its course. It is just a matter of time

Mapandikizi na manafiki hawakawii .... mida yao inafika tu. This is your time


***********************************************
I'm going to say this in very categorical terms. And I mean every single word here in: CHADEMA must apologize to President Kikwete, its members, supporters and all Tanzanians in general. Why you may ask:

a. For leading people to believe that the elections were somehow not as free or fair as expected.

b. By leading people to believe that the presidential election results were somewhat tampered with, sabotaged or somewhat were fraudulent.

c. By suggesting that the National Electoral Commission colluded with CCM to ensure that president Kikwete remain in power.

d. By making people believe that they were the victims of a corrupt political system.

e. For walking out of the parliament when President Kikwete was about to address the nation protesting the legitimacy of the electoral results that put Kikwete in power. We now know that this was a wrong decision bases on what the CC of Chadema has decided.

What does all this mean? It simply means that Chadema has lost the argument on the fairness of the elections. It has lost the argument that NEC somewhat conducted one of the worst elections ever in the United Tanzania. In a long run this is what is going to happen.:

a. CCM will NOT and I'm stating with sense of absolute certainty - WILL NOT initiate or even allow the process to write a new constitution. The best they are going to is a cosmetic amendments to the constitution. Specifically, just those areas that cover NEC.

b. Chadema will go to the next elections from a position of weakness compared to the position it founds itself in during the 2010 elections.

c. Chadema has taken a position of strategic postponement of its internal problems. Once again it seems there is a lack of leadership; while others see the recent moves within Chadema as the most "intelligent" or "strategic" I see them as decisions of political expediency. One, Chadema is not United not in leadership but in vision, decisions and political positions and secondly, they are still thinking in terms of being an opposition party. CCM will definitely will like to maintain that status quo.

In short, Chadema SHOULD apologize, initiate a process of self assessment, correction and rebuilding. Otherwise, LET IT continue to dig its its own grave of political oblivion. They asked the people to support them, they argued for change in their manifesto, but when push came to shovel, Chadema flinched and flinching they continue.

I'm done with one too. Sigusi tena and those are my points and I'm sticking to each one of them.

Either Freedom or Death,

MMM

Mgsalon, you are one great tinker, yes, tinker and not thinker.
 
Based on Mwanakijiji's analysis below, I am categorically herein urging this gentleman to apologize to Tanzanians for being such an hypocrate. This man with 1000 aliases, has been confusing the country. He once upon a time unearthed and defended the dead CCJ policies. Once their ship capsized he jumped into Chadema, today after receiving briefcases from CCM he is becoming a JK's mouthpiece.

Mr. Man, I think we can handle you here interlectually. Dont take our silence for granted or as a sign of weakness. dont be deceived at all. Come out into the open and take a stand of where you belong. We dont need political prostitutes at the time when we need true patriots to fight for democracy. I can tell that you are one of those strategic "moles" implanted to destroy our few democtratic gains.

We are waiting for you to open the discussion, and will handle you to the bitter end, because we are ready to die for what we believe in. We are NOT, and are NEVER going to be hypocrates. Tell your handlers that, DOWANS, EPA and many of their corruption scandals will come to pass, and natural justice will one day take its course. It is just a matter of time

Mapandikizi na manafiki hawakawii .... mida yao inafika tu. This is your time


***********************************************
I'm going to say this in very categorical terms. And I mean every single word here in: CHADEMA must apologize to President Kikwete, its members, supporters and all Tanzanians in general. Why you may ask:

a. For leading people to believe that the elections were somehow not as free or fair as expected.

b. By leading people to believe that the presidential election results were somewhat tampered with, sabotaged or somewhat were fraudulent.

c. By suggesting that the National Electoral Commission colluded with CCM to ensure that president Kikwete remain in power.

d. By making people believe that they were the victims of a corrupt political system.

e. For walking out of the parliament when President Kikwete was about to address the nation protesting the legitimacy of the electoral results that put Kikwete in power. We now know that this was a wrong decision bases on what the CC of Chadema has decided.

What does all this mean? It simply means that Chadema has lost the argument on the fairness of the elections. It has lost the argument that NEC somewhat conducted one of the worst elections ever in the United Tanzania. In a long run this is what is going to happen.:

a. CCM will NOT and I'm stating with sense of absolute certainty - WILL NOT initiate or even allow the process to write a new constitution. The best they are going to is a cosmetic amendments to the constitution. Specifically, just those areas that cover NEC.

b. Chadema will go to the next elections from a position of weakness compared to the position it founds itself in during the 2010 elections.

c. Chadema has taken a position of strategic postponement of its internal problems. Once again it seems there is a lack of leadership; while others see the recent moves within Chadema as the most "intelligent" or "strategic" I see them as decisions of political expediency. One, Chadema is not United not in leadership but in vision, decisions and political positions and secondly, they are still thinking in terms of being an opposition party. CCM will definitely will like to maintain that status quo.

In short, Chadema SHOULD apologize, initiate a process of self assessment, correction and rebuilding. Otherwise, LET IT continue to dig its its own grave of political oblivion. They asked the people to support them, they argued for change in their manifesto, but when push came to shovel, Chadema flinched and flinching they continue.

I'm done with one too. Sigusi tena and those are my points and I'm sticking to each one of them.

Either Freedom or Death,

MMM

Mgsalon, you are one great tinker, yes, tinker and not thinker.

And you claim to be an intellectual? what a shame if our intellectuals are like you.
 
MMJ,
Nakushukuru kwa post yako. i) Kuhusu kwenda kwa Wananchi, ni vema mkaelewa kuwa mara tu baada ya uchaguzi kulikuwa na "Katazo la mikutano ya hadhara". Katazo ambalo awali hatukuielewa imetolewa na nani na imetolewa kwa mamlaka gani, kwa kuwa katazo la aina hiyo kimsingi ilihitaji "Hali ya Hatari kutangazwa" na tangazo la namna hiyo lilitakiwa litolewe na Rais, lakini haikuwa imetolewa. Ilichukua muda na ni baada ya kukusanya na kupata nyaraka kutoka kwa ma OCD wa maeneo mbalimbali ya nchi nzima. Asiyefahamu hilo atadhani tulikuwa tumekaa kimya na si kila kitu tunaweza kuliweka hadharani mpaka pale tunapokuwa tumepata ushahidi. Wengi wanajua kuwa tulipopata ushahidi kamili tulipiga kelele kwa Tamko la Press Conference iliyotolewa na Wanasheria wetu Mhe. Tundu Lissu na Mhe.Mabere Marando. Baada ya Tamko hilo hali imeanza kubadilika na mikutano ya Wabunge wetu imeanza kuruhusiwa japo ya kisiasa bado inaendelea kuzuiliwa. Ndiyo maana ninasisitiza kuwa ni muhimu kama Taarifa haitoshi, tukaulizana kuliko kulaumiana bila kujua misingi ya kinachofanyika. Nadhani Chadema tuko very open, nimekuja kwenye Jamvi hili kwa jina langu na mara kwa mara nimekuwa nikifafanua mambo mbalimbali yanayoihusu Chadema bila kusubiri na bila kigugumizi. Ninaahidi kuwa kama kuna jambo linahitaji niingilie kwa nafasi yangu nipo tayari bila kusubiri kujenga "hisia" ambayo inaweza kupotosha jambo jema, na kazi ya kurekebisha mara nyingi ni ngumu zaidi, na wakati unarekebisha "damage"kubwa inakuwa imeisha kufanyika. ii) Kuhusu Msimamo wa " Lawful na Illegitimate" Press Conference niliyofanya jana haikuwa Kauli ya Dr. Slaa, wala ya Mgombea Urais wa Chadema. Ilikuwa kauli ya Kamati Kuu ya Chadema. Sasa kama tunaamini katika misingi ya Demokrasia ya "collective Responsibility" basi kama kuna mtu au kiongozi alikuwa hakubaliani na wazo hilo, ni siwezi akalazimishwa. Lakini katika Demokrasia uamuzi wa wengi ukifanyika, basi ndio uamuzi, na ambao hawakuwa wanapenda uamuzi huo hawana budi kukubali uamuzi huo. Kwa bahati mbaya hii ndio demokrasia na sina namna nyingine ya kuielezea. iii) Kutoka kweda kwa Wananchi nayo ina stategy yake na ni swala linalohitaji "political timming". Nadhani Chadema as party with strategies, inatekeleza mikakati yake ya lini itoke kwa wananchi kwa timming ambayo italeta maximum benefit na kuepuka damage ya aina aina yeyote ile. Mengine siwezi kuyamwaga hadharani, lakini naamini kama kuna nia njema ninachokieleza kinaeleweka. Wananchi wengi wanaotupigia simu binafsi huwa tunawaelimisha na tunakubaliana nao kwa mengi. Nadhani nimeeleweka MMJ na wana Jamvi wenzangu.

Dokta Slaa, kwa kuwa unapenda kufafanuwa mambo wewe mwenyewe humu jamvini, hicho ni kitu kizuri sana.

Naomba tufafanulie ile kesi yako iliishaje, nadhani ingawa una majukumu mengi lakini utaikumbuka, kama huikumbuki, labda nikudokezee kidogo. Ile ya yule jamaa anaekushutumu kuwa umechukuwa mkewe. Hebu tujuze imefikia wapi?
 
Mwanakijiji ameingia mitini, kumbe ni mwanasisiem sio mwanakijiji tena. Mwanakijiji eti amekuwa fisadi na yeye duuh wabongo wakilishwa asali wanachonga na mzinga wanasahau walipo toka.
 
Dokta Slaa, kwa kuwa unapenda kufafanuwa mambo wewe mwenyewe humu jamvini, hicho ni kitu kizuri sana.

Naomba tufafanulie ile kesi yako iliishaje, nadhani ingawa una majukumu mengi lakini utaikumbuka, kama huikumbuki, labda nikudokezee kidogo. Ile ya yule jamaa anaekushutumu kuwa umechukuwa mkewe. Hebu tujuze imefikia wapi?

How will that help Tanzania..... pse tafuta muda wako peke yako uulize hayo otherwise hapa unawaste our and your time as well
 
Dar-Es-Salaam,
Nashukuru sana. Kesi ya kumpoka mtu mke? Nadhani ni vema wakaulizwa walioianzisha. Mimi sawa na wewe sijui ilikoenda. Ukifanikiwa kujua nijulishe ili nami nijue ilikoenda au ilikoishia baada ya uchaguzi.
 
Dar-Es-Salaam,
Nashukuru sana. Kesi ya kumpoka mtu mke? Nadhani ni vema wakaulizwa walioianzisha. Mimi sawa na wewe sijui ilikoenda. Ukifanikiwa kujua nijulishe ili nami nijue ilikoenda au ilikoishia baada ya uchaguzi.

naona aibu kukuita muongo kwa sababu wewe ni mtu mzima mwenzangu, lakini hii haiwezekani kwa sababu najua taarifa za maendeleo ya kesi hii wanazo wa wanasheria wako ambao ni watu mnaokutana nao mara kwa mara, mambo ya uchaguzi yamekwisha ni bora ungeomba usiulizwe masuala ya kesi hii kuliko kudanganya kwani hata uongo mdogo kwa heshima yako na watu wanaokuamini inakuwa kwenye mashaka.
 
Mm sina hakika na Uadilifu wa Mwanakijiji au wati wote ambao ID zao halisi zimefichwa,nevertheless,si lazima kila mtu ambaye ID Yake haiko wazi basi tuseme ana hila!
That wud utterly wrong,napotofautiana na MM ni kwamba;Kwa sababu tu CDM wameshindwa kusimamia hoja ya mpaka mwisho hiyo haimaanishi kwamba Uchaguzi ulikuwa Huru na Wa Haki!!

Hila ya Mwanakijiji ni kwamba anajaribu kuonyesha(japokuwa sio moja kwa moja) kwamba kwa kuwa CDM wameshindwa kusimamia hoja ya maana yake si sahihi kusema kwamba uchaguzi haukuwa huru na wa haki!!
Hatuhiitaji CDM to tell us the election was not free and fair,it is crystal clear,and the CDM argument wasnt baseless!!
Should one choose to read btn lines,there is a malice in MM's declaration arguing Cdm to apologise to Ccm and Tanzanians!
If there is one politcal party that shud apologies to Tanzanians,Its CCM!! Maovu ya Ccm ni Mengi kiasi mtu haitaji kueleza katika ukurasa huu!!!
 
naona aibu kukuita muongo kwa sababu wewe ni mtu mzima mwenzangu, lakini hii haiwezekani kwa sababu najua taarifa za maendeleo ya kesi hii wanazo wa wanasheria wako ambao ni watu mnaokutana nao mara kwa mara, mambo ya uchaguzi yamekwisha ni bora ungeomba usiulizwe masuala ya kesi hii kuliko kudanganya kwani hata uongo mdogo kwa heshima yako na watu wanaokuamini inakuwa kwenye mashaka.

This post belongs in Mahusiona not Siasa...... Hapa tunaongelea siasa....
 
ZeMarcopolo,
Narudia tena, hakuna mahali popote Chadema imebadili msimamo wake na kusema kuwa Kura hazijaibiwa au kuchakachuliwa. Taarifa niliyotoa jana kwa TBC ilieleza wazi kuwa Kamati Kuu, ilipokea na kujadili na kuridhia mapendekezo yote yaliyowasilishwa na Sekretariat ya Chama kuwa Chadema imekataa matokeo ya Uchaguzi kutokana na irregularities 15. Chadema inaamini kuwa iwapo Katiba ya nchi isingelikuwa imezuia kuhoji matokeo ya uchaguzi Mkuu wa Rais mahakamani, matokeo hayo yangeliweza kubatilishwa. Kwa vile Katiba inakataza kuhoji matokeo kuhojiwa mahakamani, basi japo Kikwete's Presidency ni Lawful it is Illegitimate. Chadema ilitumia maneno ya kiingereza kuonyesha tofuati kubwa kati ya maneno hayo mawili. Huo ndio msimamo wa Chadema toka mwanzo na haijawahi kuyumba, japo maneno ya kiswahili yamekuwa yakipewa tafsiri tofauti na watu mbalimbali. Ni kwa msingi huo, Kamati Kuu ikasisitiza " Kuundwa kwa Tume Huru" kuchunguza Dosari " Irregularities" hizo kubwa katika uchaguzi. Nasisitiza, Chadema ni Chama ambacho toka mwanzo ilisisitiza kuwa "Haiko Tayari kuingia Ikulu kwa kumwaga Damu ya Watanzania". Inawezekana wanaopenda na kufurahia vurugu, Chadema haiko tayari kwa hali hiyo. Tunasukumwa sana na wapenzi na wanachame wetu kutoka mitaani na kuandamana, na ndicho pia wanachotaka ndugu zetu akina Mwanakijiji. Maandamano, (ya amani au ya kushinikiza), kwa watu wanaojua mchakato wa demokrasia ni hatua ya mwisho kabisa baada ya njia zingine zote kushindikana. Pili, ili Tanzania isiingie katika uchaguzi mkuu ujao wa 2015 kwa Katiba na Sheria mbovu kama tuliyonayo leo, Chadema inasisitiza upatikanaji wa Katiba mpya, Shirikishi na ya Wananchi.Upatakanaji wa Katiba hii utakuwa na mchakato, na kama Serikali haitaki, basi Chadema kwa kushirikiana na wadau na watu mbalimbali wakiwemo wananchi itatutumia njia zote zinazoweza kuipatia nchi Katiba ya Wananchi. Yote haya ni mchakato, na kwa mtu yeyote anayoamini kuwa mchakato huchukua muda, basi atakuwa mvumilivu. Hakuna sababu ya kutumia lugha kali, kukashifiana na kutukanana japo jamvi letu ni mahali ambapo "we dare to speak". Tukivumiliana na kuheshimiana tutafika salama bandarini. Tukikurupuka tunaweza pia tusifikie lengo tunalotaka. Hekima na busara vikitawala na kuongoza matunda yatakuwa mazuri kwa Taifa letu. Taifa ni letu tukiibomoa hatuna pengine pa kwenda, labda tukiamua kulowea penginepo. Tukikurupuka tunaweza kuwaumiza wanaohusika na wasiohusika. Uvumilivu na Busara daima huvuta heri.

Dr. Slaa,

Nimesoma sana Katiba yetu hiyo ibara ya 41 kifungu cha 7 kinasema hivi: "Iwapo mgombea ametangazwa na Tume ya Uchaguzi kwamba amechaguliwa kuwa Rais kwa mujibu wa ibara hii, basi hakuna Mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya kuchunguza kuchaguliwa kwake." Inaonekana kuwa uongozi wa CHADEMA unaangalia rangi ya bluu tu katika kifungu hicho na kushindwa kuangalia rangi nyekundu. Hakuna mwanasheria anayeweza kuonyesha kuwa kifungu hicho kinataka rais awe amachaguliwa kwa mujibu wa ibara ya 41 yote, ambapo pamoja na mambo mengine ni lazima kifungu chya 6 kiwe kimetimizwa, ambacho kinasema kuwa "Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi kuliko mgombea mwingine yeyote. "

(1) Kama kweli kuna ushahidi kuwa matokeo ya Kikwete yalichakachuliwa na hakuwa amepata kura nyingi kuwazidi wagombea wengine na hivyo Tume ilifanya makosa kwa kumtangaza Kikwete kama mshindi bila kutekeleza matakwa yote ya aya 41 ya Katiba, je hamuoni kuwa kifungu cha 7 kitakuwa hakifanyi kazi tena kwa vile rangi nyekundu haikutimia na hivyo matokeoa hayo yanaweza kupingwa?

(2) Iwapo itakuwa ni vigumu kuhoji matokeo hayo, je hamuoni kuwa kuna haja ya kuishitaki tume kwa kosa la kuvunja katiba ya nchi ibara 41(6) kwa kumtangaza mtu ambaye hakupata kura nyingi? katiba haitoi kinga yoyote kwa tume dhidi ya kushitakiwa kwa sababu yoyote ile.

Ningependa jambo hili lichukuliwa kwa umuhimu wa juu sana kabla hatujafikia hatua ya Ivory Coast na Kenya siku za mbeleni.
 
Dar-Es-Salaam,
Nashukuru sana. Kesi ya kumpoka mtu mke? Nadhani ni vema wakaulizwa walioianzisha. Mimi sawa na wewe sijui ilikoenda. Ukifanikiwa kujua nijulishe ili nami nijue ilikoenda au ilikoishia baada ya uchaguzi.

Habari ndiyo hiyo
 
naona aibu kukuita muongo kwa sababu wewe ni mtu mzima mwenzangu, lakini hii haiwezekani kwa sababu najua taarifa za maendeleo ya kesi hii wanazo wa wanasheria wako ambao ni watu mnaokutana nao mara kwa mara, mambo ya uchaguzi yamekwisha ni bora ungeomba usiulizwe masuala ya kesi hii kuliko kudanganya kwani hata uongo mdogo kwa heshima yako na watu wanaokuamini inakuwa kwenye mashaka.
Mbona mimi sijaona uwongo wa Dr. Slaa hapa? Kesi iliisha baada ya uchaguzi. Mtoa mashtaka alidhaminiwa na CCM. Na baada ya uchaguzi CCM wali withdraw udhamini wao. Kesi kwishney. Kama wewe unajua ukweli, kwa sababu kumwita mtu mwongo ni lazima ujue ukweli ni upi, basi uweke hapa tumuumbue Dr. Slaa.
 
Dar-Es-Salaam,
Nashukuru sana. Kesi ya kumpoka mtu mke? Nadhani ni vema wakaulizwa walioianzisha. Mimi sawa na wewe sijui ilikoenda. Ukifanikiwa kujua nijulishe ili nami nijue ilikoenda au ilikoishia baada ya uchaguzi.

Dokta Slaa asnte kwa jibu lako lakini naona unajibu sivyo nilicyoulizan au unachakachuwa? Unasema hujui ilipooenda wakati mimi nimeuliza iliishaje? Sasa Dokta sidhani kama hilo jibu linafanana na swali nililokuuliza. Naomba jibu iliishaje?
 
Dar-Es-Salaam,
Nashukuru sana. Kesi ya kumpoka mtu mke? Nadhani ni vema wakaulizwa walioianzisha. Mimi sawa na wewe sijui ilikoenda. Ukifanikiwa kujua nijulishe ili nami nijue ilikoenda au ilikoishia baada ya uchaguzi.

Dokta Slaa asnte kwa jibu lako lakini naona unajibu sivyo nilicyoulizan au unachakachuwa? Unasema hujui ilipooenda wakati mimi nimeuliza iliishaje? Sasa Dokta sidhani kama hilo jibu linafanana na swali nililokuuliza. Naomba jibu iliishaje? Kwa sababu wewe ni kiongozi wa wengi na kama kweli unakiri kwa kusema ni " vema wakaulizwa walioianzisha" sasa Dokta kama wako walioiamzisha na wewe ndio mshutumiwa si lazima ujuwe imeishia wapi.

Ujuwe tunategemea siku uwe Rais wa nchi hii, bora uwe muwazi na mkweli sasa kuliko kuja kusutwa wakati wa uchaguzi, inalushushia points.
 
Dar-Es-Salaam,
Nashukuru sana. Kesi ya kumpoka mtu mke? Nadhani ni vema wakaulizwa walioianzisha. Mimi sawa na wewe sijui ilikoenda. Ukifanikiwa kujua nijulishe ili nami nijue ilikoenda au ilikoishia baada ya uchaguzi.

Dokta Slaa asante kwa jibu lako lakini naona unajibu sivyo nilivyo-uliza au unachakachuwa? Unasema hujui ilipooenda wakati mimi nimeuliza iliishaje? Sasa Dokta sidhani kama hilo jibu linafanana na swali nililokuuliza. Naomba jibu iliishaje? Kwa sababu wewe ni kiongozi wa wengi na kama kweli unakiri kwa kusema ni " vema wakaulizwa walioianzisha" sasa Dokta kama wako walioiamzisha na wewe ndio mshutumiwa si lazima ujuwe imeishia wapi.

Ujuwe tunategemea siku uwe Rais wa nchi hii, bora uwe muwazi na mkweli sasa kuliko kuja kusutwa wakati wa uchaguzi, ina/itakushushia points.
 
Mbona mimi sijaona uwongo wa Dr. Slaa hapa? Kesi iliisha baada ya uchaguzi. Mtoa mashtaka alidhaminiwa na CCM. Na baada ya uchaguzi CCM wali withdraw udhamini wao. Kesi kwishney. Kama wewe unajua ukweli, kwa sababu kumwita mtu mwongo ni lazima ujue ukweli ni upi, basi uweke hapa tumuumbue Dr. Slaa.

hivi kama wewe tu ambaye hata dr slaa hakujui unajua kama kesi ilikuwa withdrawn baada ya uchaguzi, yeye dr slaa akisema hajui kesi ilipoishia/au hajui jibu la muuliza swali kuwa iliishaje, mtu mwenye akili atasemaje?
 
How will that help Tanzania..... pse tafuta muda wako peke yako uulize hayo otherwise hapa unawaste our and your time as well

How will that help Tanzanians? Tunaongelea President to be, he has to be responsible. Even kwa mke wa mtu, if he can not be responsible, kama kuna ukweli katika shutuma zilizompeleka kushitakiwa, of ones wife how can he be responsible for the wives and daughters of all Tanzanians? Be a thinker not a tinker.
 
Naona kaenda kubadili ID arudi na majibu yaliyo nyooka hapa.
 
Kaka Mwanakijiji nilikupenda sana kwa michango yako sasa umeharisha kama mdogo wako zitto. watu siku hizi wako makini jamani taratibu jamani.
 
Back
Top Bottom