Chadema njooni mchukue kadi yenu

Chadema njooni mchukue kadi yenu

Kwani nchi zilizoendelea huwa wanawapa watu wao chakula?Cdm ikikamata nchi itatoa ajira kuliko ilivyo sasa.

Viwanda kama Kiltex, General tyre, Kilimanjaro Machine tools vingefufuliwa hivi unajua ni watu wangapi watafaidika
na hilo?

Mfano:Wafanyakazi watanunua chakula kwa mama ntilie,mama ntilie atanunua bidhaa toka sokoni na madukani,
sokoni watanunua toka kwa mkulima. Hapo ni mfano mdogo tu kukuonyesha jinsi ajira moja inavyowanufaisha wengi.
 
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?

Siku zote kama mtu alileta kitu chake kwako,ndiye anayetakiwa kukifuata alikokipeleka kama kwa wakati huo hakihitajiki.
Nahisi huna political tolerance kwa sababu CCM kuna mafisadi kibao lakini watu tunaendelea kudunda nayo. Hujaona yaliyotokea UVCCM MOROGORO?

Ulisikia kuna mtu karudisha kadi?Hata kama umesoma,mimi naona una mawazo finyu tu!Sina neno jingine la kusema zaidi ya hilo.

Ilikuwa vizuri umtaje wa kuja kuchukua hiyo kadi ili wana-CHADEMA wamlaumu kwa kukulazimisha kuingia humo.Sijawahisikia viongozi wa vyama wakienda kuchukua kadi kwa wanaohama vyama vyao zaidi ya wao wenyewe kurudisha.
Nahisi uliahidiwa kitu fulani.Usiishi kwa kutegemea mtu mwingine.

Ukishaichoma pia tujulishe kwa sababu hakuna atakaye kuja kuichukua.
Mara Sec,Pugu na UDSM umeona ndiko kwa kutishia watu ili uonekane na wewe umesoma?
 
Kweli huyu kilaza ni bomu kabisa sasa hicho chama kinachohamasisha watu wasifanye kazi ulikianzisha wewe?hata siku moja cdm haiwezi kuwashauri watu wasifanye kazi ila kuna chama kimoja kilihakikishia watu ajira na maisha bora kwa kila mtanzania na mwenye macho haambiwi tazama hivyo nafikiri we kilaza ulichanganya kadi ya cdm na ile mlioambiwa kuwa ni maisha bora kwa kila mtz.kama ni kadi ya cdm kurudisha kwani nani alikufuata kuchukua kwa impact gani uliyonayo?
 
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo. M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo. Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?

Obama amesifiwa kwa kukuza uchumi wa Marekani kuliko alipoingia madarakani.Na hicho ndicho wenzetu wanachoangalia siyo sisi tunaambiwa uchumi umepaa wakati hakuna hela ya kulipa wafanyakazi mishahara.
 
Kwani ulipoahidiwa maisha bora kwa kila mtanzania ulienda hazina kuvunja ulipoona hayapatikani???? Dogo majungu si mtaji, fanya kazi acha kulalama kama mpiga debe.

Mwambie.
Kuna wakati (2005) tulioahidiwa kwamba 'TANZANIA YENYE NEEMA INAWEZEKANA', hivi ninavyoongea magari yamekosa mafuta na neema hiyo hata haina dalili za kuonekana. Ajiulize huko anakotaka kuhamia kama kuna uafadhali wowote.

 
Unasema waje wachukue kadi yao, kwani uliipokelea wapi ? Au uliiokota . Usiwe zuzu kiasi hicho. ( uamsho )
 
Ulipokwenda kuichukua ulimtaarifu nani? Hamna mwanachama wa CHADEMA mwenye kadi alafu akawa na upeo mfupi wa fikra. Anafahamu alichukua kadi kwa lengo gani. Wewe inaonekana unatafuta umaarufu kama Nape.
 
mnapenda sana kuita watu vilaza lkn mie nimesoma vizuri sana! taaluma yangu haina shaka tangu mara sec, pugu , udsm na ninapofanya kazi sasa! hongera na ww kama unaweza kuwa na cheti na ufanisi kazi kama mm!

Hakuna anayekataa kweli umesoma. Lakini napata picha kuwa wewe ulisomeshwa na Kijiji, na sasa Mzazi wako amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM pale Kijijini kwenu na amekuambia ukishabikia Chama pinzani watakudai zile pesa walizokusomeshea.

Hivyo Kikatiba ni haki yako, ili wanakijiji wasikudai.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
nina miaka kibao , nitajaribu kupima baada ya kuchoma kadi weekend hii!

Hivi unamtisha nani????!!!!! We kachome tu hiyo kadi hata leo. Mwanachama harisi huwa anajivunia hisia zake na sio kijikaratasi kinachoitwa KADI. Mbona bibi, babu, shangazi, mjomba na hata ndugu zako wengine wanashabikia CCM bila hata KADI ya CCM?!!!! Inaonekana we ni BORIZOZO lililokosa msaada uliofikilia kuupata pindi uingiapo CHADEMA.. Nikushauri,,,, RUDI CCM ukaendeleze RUSHWA NA MAJUNGU.
 
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuichoma kadi ya cdm mwisho wa wiki hii kama ofisi yao hapa mtaani itakuwa imefungwa ifikapo Ijumaa trh 9! Tofauti na Mnyika viongozi wangine wote wa cdm naona wana lao jambo.

M4c haitaleta nafuu ya maisha kwa mtz. CDM watumie ruzuku yao kuhamasisha vijana wafanye kazi sio maandamo yasiyo na tija, kazi ndio msingi wa maendeleo.

Jiulize swali rahisi; Zitto au Slaa wakipata uraisi 2015 watawapa pesa za kula hawa vijana wanaotembea na magwanda kwa kujifanya wanaharakati? au ndo tusubirie watu kuvamia hazina kama ilivyo Libya wakidai kutimiziwa ahadi ?

Umepata KUNDI LA KUKUNEEMESHA CCM NINI?? TUNAKUSUBIRI CHIMWAGA!!


249391_298391306938789_1239911951_n.jpg
 
Omusimba unataka msiba wa roho kwa kuhujumu roho yako ukapenda magamba wanaotafuna nchi kama viwavi jeshi. Nakushauri vumilia mwanangu ufunuo wa nchi yetu kujaa maziwa yaja, Subiri katiba iishe, usilie sana maana Mgamba yashaanza kukuzengea ingawaje sujui nchango wako kwa chama, tuambie, hivi ulikuwa nani vile, maana usije kuwa vijana wa nape maana post zako bado changa, Mukulu wafwaaa, watambuka amalogo!!!
 
Bado tu mnaendelea kumpa shule Omusimba mpaka sahiv?
 
Wewe hautakuwa mzima katika kufikiri. Kadi ya CHADEMA uluchukua mwenyewe hivyo unavyoita ije kuchukuliwa ni nani aje kuchukua? CHADEMA ni nani hata umwitie kadi?
Nakusikitikia kama umo miongoni mwa wanaoendelea kuitakasa CCM na maovu yao. Kijana wa leo unaeendelea kupuuza harakati za kulikomboa Taifa hili kutoka mikononi mwa wachache na kuwa Taifa la watu huru watakaokuwa miongoni mwa wanadamu wanaonufaika na rasilimali zao, basi huwezi kubisha kuwa una matatizo ya kufikiri.
1.
 
Mzoea punda hapandi farasi;Rudsha ulikoichukua arud ukahongwe maji ya kunywa huku kaz tu:
 
Omusimba ukichoma kadi hutazuia mabadiliko,maana hata wajanja aina ya Julius Nyerere walifundisha kuwa usipobadilika kwa hiyari utalazimika kubadilika tena kuelekea usikotaka.Ukikaa nayo kwa namna unaongea huna faida kwa CDM kwa woga uliokujaa huwezi kumshawishi yeyote kubadilika,ningekuwa mgawaji wa familia hata watoto wewe hustahili kuwa nao utawafanya mazezeta,hili halijalishi kuwa umeenda Pugu au UDSM au HARVARD.
Vyovyote, yeyote anayeunga mkono unachosema hapa anakupandisha mizuka bure uzidi kuumbuka.Huu msimamo kautoe kwenye kilabu cha rubisi au mbege au pombe za kienyeji watakusikiliza iwapo utawanunulia makopo kadhaa pia,
 
vijana wanategemea chadema ikiingia madarakani watapata kazi kwa kupewa nafasi kama vile ubalozi.nk bila kujua kuwa hizo nafasi ni chache kiasi kwamba wengi wao watabaki bila hata kuonekana

CDM wanauwezo wa kutengeneza sera ya kuajiri vijana wote na bado wasitoshe kufanya kazi....Uliza kwanini wakati wa industrialization waafrica walichukuliwa kama watumwa?

Kazi za Tanzania ni nyingi kupita maelezo ila CCM imeshikiliwa na mafisadi ambao vijana wakipewa kazi watakosa wakuwaabudu na kuhongwa kwa faida binafsi yao na familia zao..They dont think about this country bali miradi yao ndiyo iliyowaweka hapo kwenye saisa..Bora wangekuwa wanazalisha maana zingeleta ajira lakini nyingi za hizo miradi ni hewa zinazoendeshwa kwa kodi ya watanzania wachache wanaolipa kodi na hasa wafanyakazi wenye ajira rasmi.
 
kwani ukesha kuwa mwana Chdm ndio usiseme kasoro na madhaifu yake? sasa mnaipondea nn CCM? Kumbe nayo chdm ikiingia madarakani ni Uchadema kwanza?bora tumejua kabla ha2jatupa kura ze2.
 
Duu,hongera kaka,lakini nasikia vyama vingine, wanalipiwa ada ya kadi jaribu kwenda huko, unasema chadema ni mnyika tu. Mbona hakukuwa na haja ya kuchukua kadi?. Chama ni zaidi ya mtu mmoja. Kila la heri!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom