pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Uharo mtupu! Zito? labda ungeniambia lema, Msigwa au Mnyika ningekuelewa! Huyu ndumi la kuwili na kuwadi ndio awe CHADEMA? Wewe kweli ni TASA WA AKILI.
Angeifanyia kampeni SAU
bila zito chadema ni sifuri
zito angefanya kampeni kalenga chadema ingepata ushindi wa kishindo
kalenga chadema.wameaibisha sana
Amekueleza pia kuwa ameomba msamaha akakataliwa? Au ni haya tu?
Mada hii ingekuwa inamkosoa Zitto ingeshatolewa saa nyingi sana, lakini kwakuwa mada inajaribu kuzoa maji tena maji taka basi itaendelea kuwepo tu.
Khaa!!! Analysis ya kitoto sana hii. Hizi kura ni za CDM au za huyu mama?? Kura zaCDM zingepatikana kwa mgombea wao aliyeshinda kura za maoni. Huyu mama alipata kura ngapi 2010?? Acha ujin gaHakuna tabu mkuu kwa hiyo na kule ambako CCM hakumshinda kwa hiyo nyie ndiye demu wa CDM? Katika ushindani ni lazima apatikane mshindi. Kalenga na Chalinze ni stronghold ya CCM ila CDM ni lazima iingie ili ipime ukuaji wake. Kalenga 2010 CDM walipata kura 900 leo wamepata 5,800 na ushee. Kuna improvement kubwa. In the next years to come ni lazima kuchuana kabisa kama hali itakuwa hivyo, hopeful.
Amekueleza pia kuwa ameomba msamaha akakataliwa? Au ni haya tu?
Amekueleza pia kuwa ameomba msamaha akakataliwa? Au ni haya tu?
Ashton jiulize iwapo kweli Chadema ni Zitto, iweje Kigoma CDM wana mbunge 1 na Madiwani 2? NCCR wana wabunge 4 Kigoma. Acha kumtukana Henry Kileo. Jibu hoja yangu. Pili ule ushahidi wa Mwigulu wa Duniani na Mbinguni umeishia wapi? Magaidi (Green Guards) yalikuwa Kalenga yakisimamiwa na Gaidi No.1 Mwigulu na Jesca Msamatavanga. Upo Bongo au Ughaibuni?
Khaa!!! Analysis ya kitoto sana hii. Hizi kura ni za CDM au za huyu mama?? Kura zaCDM zingepatikana kwa mgombea wao aliyeshinda kura za maoni. Huyu mama alipata kura ngapi 2010?? Acha ujin ga