CHADEMA ni Zitto, Msiotaka acheni!

CHADEMA ni Zitto, Msiotaka acheni!

na Chadema isha puruchuka na kalenga, tena isithubutu chalinze kwasababu ya unafiki na wizi wake.

baada ya kumvua uanachama ndugu zitto , cdm iko salama sana , huyo dogo ni nyoka kuliko hata kobra unayemjua , hivi unajua ni kwanini wasaliti wenzake wamekimbilia ccm ? Umiza kichwa mjomba , hiyo laki unusu uliyopewa ndiyo inakudhalilisha namna hiyo !
 
Ukweli huwa hauzimwi kwa risasi na fitina...

CDM imeshakufa....

kama ni hivyo kwanini mnakesha jf kuisakama ? Mnahangaika nini na maiti ? Bado kidogo sana mtaelewa tunachomaanisha , endeleeni kuwamaliza wazazi wenu ili mrithi VYEO VYAO !
 
baada ya kumvua uanachama ndugu zitto , cdm iko salama sana , huyo dogo ni nyoka kuliko hata kobra unayemjua , hivi unajua ni kwanini wasaliti wenzake wamekimbilia ccm ? Umiza kichwa mjomba , hiyo laki unusu uliyopewa ndiyo inakudhalilisha namna hiyo !

Mjomba itathmini chadema baada ya zito.

usimezeshwe maneno bila kutafakari, zitto nii bora kuliko mbowe, slaa na lema. Hili hata wewe unajua ila unajilidhisha tu mkubwa.
 
uwe najina kyela wewe du! maajabu ya dunia haya, jitambue kijana achana na siasa za bendera fuata upepo.

NACHUKUA NAFASI hii KUKUTANGAZIA KWAMBA 2015 NAGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KYELA , KWA LENGO MOJA TU LA KUING'OA CCM NA VIKARAGOSI VYAKE KAMA WEWE .
 
Kinachonifurahisha kwa sasa yale maneno ya kuchukuwa dola 2015 yameisha,nafasi ya ZITTO ndani ya CDM inaonekana wazi,na kama umesoma ule WARAKA wa Dr. KITILA utakubalikabisa ule utafiti wa Kisayansi.

Yaani hii ni sawa na kusema nafasi ya Nyerere ndani ya CCM inaonekana wazi na wakati alishakufa. Na Zitto ni binadamu ipo siku atakufa. Sasa kama kuna chama kinategemea umaarufu wa mtu kukua hicho sio chama. Chama ni sera na itikadi zake sio umaarufu wa mtu maana mtu ipo siku atakufa lakini chama kitakuwepo tu. Ingekuwa chama kinaishi kwa umaarufu wa mtu basi CCM ingekufa na Nyerere maana nae alikuwa maarufu.
 
kama ni hivyo kwanini mnakesha jf kuisakama ? Mnahangaika nini na maiti ? Bado kidogo sana mtaelewa tunachomaanisha , endeleeni kuwamaliza wazazi wenu ili mrithi VYEO VYAO !

KALENGA 0 CHOPA 3 MADIWANI 3 MNANGOJA Yesu Awaambie mnaangamia?
 
NACHUKUA NAFASI hii KUKUTANGAZIA KWAMBA 2015 NAGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KYELA , KWA LENGO MOJA TU LA KUING'OA CCM NA VIKARAGOSI VYAKE KAMA WEWE .

Teh Teh Teheee labda kyerwa lakini sio kyera Bro, Kama ndio unajidanganya hivyo utapoteza visenti vyako, pamoja nakupenda mabadiliko watu wa kyera wanataka mtu makini na sio bendera fuata upepo kama wewe, huogopi hata kusema hivyo du aibu hizi sasa.
 
Mjomba itathmini chadema baada ya zito.

usimezeshwe maneno bila kutafakari, zitto nii bora kuliko mbowe, slaa na lema. Hili hata wewe unajua ila unajilidhisha tu mkubwa.

kashindwa kuwa bora kwao mwandiga ataweza wapi ? Zitto amefukuzwa cdm na hadithi yake imekwisha , mtatoka mapovu mpaka mtundikiwe drip lakini hakuna kitakachobadilika , mwenyewe ANAJUA KOSA LAKE NA ANAJUTA ! WEWE MPAMBE MBURULA UNAKUJA KUTUPIGIA KELELE HUMU !
 
Zito ndani ya CHADEMA ni makapi bado mnamtaja wa nini?
 
Zitto na Mbowe wote hawafai kuiongoza CHADEMA.They have so much buggage.
 
Mjomba itathmini chadema baada ya zito.

usimezeshwe maneno bila kutafakari, zitto nii bora kuliko mbowe, slaa na lema. Hili hata wewe unajua ila unajilidhisha tu mkubwa.

Na maisha ukiyaendesha kwa kumtegemea mtu mmoja eti kwasababu ni maarufu siku akifa utapata tabu sana maana akili ulikuwa nayo siyo yako ni mtu. Simama mwenyewe sio mpaka mtu fulani awepo ndio mambo yaende,utakuwa -------- wa akili.
 
Kwa vichapo mfululizo ambavyo CHADEMA wanavipata bila shaka watakuwa wamegundua kuwa wamepoteza tunu ya chama ambae si mwingine ila ni Zitto.

Binafsi uwa sijiangaishi kumsikiliza mzee wa "kupigwa kabaang" yule vuvuzela wa Arusha, wala Msigwa ambae juzi juzi waumini wake wamemtuhumu kwa upotevu wa sadaka zao za uboreshaji wa kanisa ukiachana na wizi wa rambirambi ambao amemfanyia mama Mwangosi.

CHADEMA bila Zitto, haiwezekani.
 
Na maisha ukiyaendesha kwa kumtegemea mtu mmoja eti kwasababu ni maarufu siku akifa utapata tabu sana maana akili ulikuwa nayo siyo yako ni mtu. Simama mwenyewe sio mpaka mtu fulani awepo ndio mambo yaende,utakuwa -------- wa akili.

Viongozi walianza kuwekwa na Mungu Hivyo sio ajabu kumuamini kiongozi fulani Bora atusaidie kusogeza maendeleo mbele, ila badadala yake nyie akili zenu ni kwamba mtu kama jambazi waarusha atawafikisha mbele wakati yeye mwenyewe hajitambui kazi yake ni vurugu tu na kuendeleza ngome yao ya Chagga party.
 
Zito ni mwanasiasa makini sana kiukweli kabisa.. waache mboe,slaa mnyika, lema warukeruke watatua tu
 
Zitto alikubali kurubunika na maccm,na alipaswa awe m/kiti ili aiue kabisa chadema akashtikiwa nakushangaa wewe ulivyo mshamba na ujinga wako ,kama ni maarufu mchukueni kwenye chama chenu mzidi kuimarika boya wewe
 
Kwa vichapo mfululizo ambavyo CHADEMA wanavipata bila shaka watakuwa wamegundua kuwa wamepoteza tunu ya chama ambae si mwingine ila ni Zitto.

Binafsi uwa sijiangaishi kumsikiliza mzee wa "kupigwa kabaang" yule vuvuzela wa Arusha, wala Msigwa ambae juzi juzi waumini wake wamemtuhumu kwa upotevu wa sadaka zao za uboreshaji wa kanisa ukiachana na wizi wa rambirambi ambao amemfanyia mama Mwangosi.

CHADEMA bila Zitto, haiwezekani.

mpeleke ccm akawe tunu ya ccm au mpeleke nyumbani kwako
 
Back
Top Bottom