Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,340
- 283,372
na Chadema isha puruchuka na kalenga, tena isithubutu chalinze kwasababu ya unafiki na wizi wake.
baada ya kumvua uanachama ndugu zitto , cdm iko salama sana , huyo dogo ni nyoka kuliko hata kobra unayemjua , hivi unajua ni kwanini wasaliti wenzake wamekimbilia ccm ? Umiza kichwa mjomba , hiyo laki unusu uliyopewa ndiyo inakudhalilisha namna hiyo !