nicholas saidi
Member
- Feb 9, 2014
- 12
- 1
Sioni mchango wa cdm kitaifa wameshindwa kutatua migogoro ndani ya chama hawatufai, hata siasa taka wanazo endekeza zimewashinda wamebaki maneno tuu.Chama cha ukweli lazma kitangulize maslai ya taifa kwanza, hawa cdm wamediliki kutetea serikali tatu kwenye rasmu ya katiba mpya ambayo haiwezi kudumisha muungano endapo ikipita. Ni dhahili hiki chama hakina nia yadhati kumkomboa munyonge nabadara yake kinataka kumtumia kama ngazi kupandia kushika dola kitu ambacho kimesha shindikana poleni cdm mumeshapoteza nafasi.