Umaarufu wa chadema unazidi kuporomoka Baada ya Kumtungia Tuhuma zisizo za kweli Mh zitto kabwe, lengo kuu lilikuwa ni kuhakikisha Hapati uwenyekiti na anapotea kisiasa kabisa, waasisi wa jambo hili ovu hawakujua kwamba wanaharibu Mzizi mkuu kabisa wa chama ambao kama ukikatika jumla utapelekea chama chote kuangukia pua, Leo Hii kunawatu ambao hawawezi kumuangalia zitto usoni walitarajia kwamba atashindwa kwa kashfa zao za kutunga.
Zitto ni Hazina ya uongozi wa taifa hili na sio mburu....kenge, mhuni na jambazi wa magari wa Arusha ambae kwa bahati mbaya alipewa ubunge, kitu ambacho jamii nzima ya arusha ukiondoa wavuta bange na unga wanajutia. Hakuna siku aliongea na jamii ikaelewa kwamba kunajambo la kujenga jamii kaongea, badala yake kila aongeapo ni kuchochea uvunjifu wa amani tu.
Bilashaka Siku itakuja tutaona Chadema wakitaka maridhiano na Kamanda wa Ukweli zitto zuberi Kabwe, wataomba msamaha tu na wataomba waende pamoja kwa lengo la kutokudhuru chama zaidi ila zitto akili yake sio chadema, zitto akili yake ni watanzania wasonge mbele kimaendeleo kwa hiyo atasimamia msimamo wake Huo.
Jamii inajua msingi wa kumchafua zitto kuwa ni:
Msimamo wake Kuhusu Posho za wabunge ( kero kubwa kwa jambazi wa magari arusha).
Uenyekiti wa chama( ugomvi na Mbowe)
Msimamo wake kuhusu ukaguzi wa mahesabu ya vyama ( Mbowe, slaa, na team yao ya wizi).
Lakini majibu Kamili Chama kimeishapata kutoka kwa wananchi baada ya dharau waliyomfanyia Mh Zitto na Bado mpaka wamuelewe zitto!
Zitto kajielewa ndio maana anapingana na wanaotaka kuifanya chadema Kampuni ya watu wachache.
CC: Mbowe
Slaa
Mnyika.
Lema.
TunDu.
Msigwa.
Sugu.
Zitto.