Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,568
- 272,312
Hivi kwanini mnatukanana kwa ajili ya Mtu au Chama? Hivi kazi za kufanya zimeisha? Watanzania wenzangu hebu tuwe wastaarabu.
hakuna matusi mjomba , hizi zinaitwa LUGHA KALI ZA KUFUNDISHIA .
Hivi kwanini mnatukanana kwa ajili ya Mtu au Chama? Hivi kazi za kufanya zimeisha? Watanzania wenzangu hebu tuwe wastaarabu.
Ama kweli. Hivi uzi kama huu unachangiwa? Dah! hata mimi nimeshauchangia!
Pia wakumbushe watu kuwa ile kazi yako uliyopewa na biongozi kwa zitto umekwama sema yote usiogope.Amekueleza pia kuwa ameomba msamaha akakataliwa? Au ni haya tu?
cdm madkteta tu,uliona kalenga yule aliyepita kwenye kura za maon alivyo pigwa kapun kwa sabab za uongo na kwel? je na yy alikuwa msalit km zitto?
ChadeMU ni Demu wa CCM si umeona Kalenga?.
watu wenye akili timamu hawawezi.kumuheshimu taahira kama wewe, we unaheshimika kwa wavuta bangi.wenzio.tu
Hapa naona walimfanyia cleaning maana ule uso unatisha!!! Ha ha ha!! Sura yake ni sawa na matendo yak nafsini kwake!! Mafiki sana huyu, uma na kupuliza style!!
Naona mada nyingine hazina kichwa wala miguu,kwahiyo unatulazimisha tukubali kuwa chadema ni zitto?haya mimi nimekubali chadema ni zitto lakini ndiyo hivyo tumemfukuza!una lingine la kusema?
Hivi ni kweli yule jamaa yetu wa arusha huwa anafanyiwa ile kitu mbaya, mwenye ile video jaman atusaidie kuiweka hapa ili tujue sasa manake hichi chama kinakoelekea mungu anajua.