Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,398
- 3,907
👉Mtu bingwa kabisa Samia Suluh Hassani,amewafanya Chadema na viongozi wao kugeuka team ya kampeni nzuri sana kuelekea 2025..
👉Mtu anayeifaham siasa ameyafanya manyumbu yote kuwa Kitu kimoja sasahv mama huna upinzani kwa chadema sijui vyama vyama gani huna..
👉Umemsafisha Magufuli maana yalisema Magufuli amewazuia kufanya siasa,umeyaruhusu siasa zenyewe sasa utafkiri zinaratibiwa na Sophia Mjema sio kwa sifa hizo wanazokumwagia.
👉Hayana agenda yanii pakushika hayana mengine ni kuratibu mapokezi ya wapiga deal,kukata keki,kumtukana Magufuli as ziiiiiii
👉Mama kwa tafsri hii piga kazi mama upinzani labda uko kwako kwa akina nape,Makamba,Mwigulu,kigwangala na genge lao lakn huku nje mama sisi na mbowe wote tunakupenda.
👉😂😂😂😂😂😂😂😂 sema mama we mtu hatari sana yani umeyaacha yajimalize yenyewe wala hujatumia nguvu,nchi ilipofika Leo utasema Leema hajapokelewa juzi,mama shkamoo😂😂😂😂
#Mama_fundi
👉Mtu anayeifaham siasa ameyafanya manyumbu yote kuwa Kitu kimoja sasahv mama huna upinzani kwa chadema sijui vyama vyama gani huna..
👉Umemsafisha Magufuli maana yalisema Magufuli amewazuia kufanya siasa,umeyaruhusu siasa zenyewe sasa utafkiri zinaratibiwa na Sophia Mjema sio kwa sifa hizo wanazokumwagia.
👉Hayana agenda yanii pakushika hayana mengine ni kuratibu mapokezi ya wapiga deal,kukata keki,kumtukana Magufuli as ziiiiiii
👉Mama kwa tafsri hii piga kazi mama upinzani labda uko kwako kwa akina nape,Makamba,Mwigulu,kigwangala na genge lao lakn huku nje mama sisi na mbowe wote tunakupenda.
👉😂😂😂😂😂😂😂😂 sema mama we mtu hatari sana yani umeyaacha yajimalize yenyewe wala hujatumia nguvu,nchi ilipofika Leo utasema Leema hajapokelewa juzi,mama shkamoo😂😂😂😂
#Mama_fundi