kilaza mkubwa wee,siyo kuamuru kuchochea,kushawishi na kufadhiri migomo na fujo zote hapa nchin lakini chadema kaeni mkijua usimuone kobe kainama mkazani ni rofa msione ccm imekaa kimya mkafikiri haiwezi kufanya mnayofanya na siku uvumilivu ukiwashinda nadhani jibu mnalo mmezidi kufanya mambo ya kipuuzi hapa nchini !
Werevu ni kushabikia CHADEMA?Kwanza nianze kwa samahani. Napenda niwe tofauti ya wachaniaji wote + mtoa mada.
1. Ukichukuliwa nguo na mwenda wazimu, hutakiwi kumfukuzia, maana wewe pia utaonekana..........
2. Ukiendelea kubishana na mjinga na wewe utakuwa mji...
Hapa nina maana kwamba hata Mtoa mada yeye mwenyewe hajui anachokisema, wachahgiaji kadhaa wamejaribu kumwelewesha, hataki. Kwa hiyo kama tunaedelea kuchangia na sisi tutaitwa....(sitaki tufike huko).
Sasa tufanyeje basi? Jibu: Tumwachie uzi wake, aendelee kujifurahisha nafsi yake.
Au siyo, bwana?
Tatizo ni michezo michafu inayofanywa makusudi kwa kuwatumiaSiamini kama mleta mada ni mzima. Au ni wale wanaotumiwa na gamba kama nepi kufanya kila uchafu ili kujaza matumbo yao? Mwanangu jaribu kufikiri badala ya kutanguliza tumbo huku ukifikiri kwa masaburi. Unaona migomo ndilo jambo la hatari lakini wale wanaoliibia taifa na kuisababisha ni salama! Shame on you! Hakika mwanangu baba na mama yako wameula wa chuya kwa kuzaa na kulea kihiyo na mchumia tumbo kama wewe. Unaishi dunia gani ambaye huwezi kuchambua hata mambo rahisi hivi?
Padre ni Baba = Sasa wewe jiulize, kanisani hawa mababa hawaruhusiwi kuoa ni ma baba wa nini? Unaejifanya ni intellectual nipe jibu.
Usitake kuzungusha maneno rikodi yake inaonesha ni kwanini aliondoka upadri.
Nilikwambia hujui maana ya Padre, so umethibitisha kwa vitendo ignorance yako. Hutaki kujifunza, and that is idiocy. Go on with your chosen idiocy, I can't stoop so low to argue with an old fool!
Si ajabu kusikia huyu ni katibu wa nanihii CHADEMA
maana hizi ndio hoja zao wanazoita za nguvu.