panadol
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 349
- 44
Title yako inaonyesha jinsi ulivyo wewe,mkeo,wazazi, watoto wako,wajukuu zako ,na washikaji zako jinsi mlivyo dhaifu.Anyway umetumia uhuru wa katiba kuongea utumbo.Kibaya ni kuwa katiba yetu haifafanunui mawazo yatolewe kutoka wapi.Makalioni au kichwani.Tunataka mabadiliko ya kweli hata kama chama ni cha ndugu ,cha wachumba,wachawi,wezi,wazinzi,walevi poa tu ILIMRADI ISIWE nyinyiemu.Mfumuko,migomo,ukata,unequiped hospitals,unemployment,madaktari kufukuzwa,walimu na wafanyakazi kura zao hazihitajiki,kuteswa ulimboka,kuuwawa wafanyabiashara wa mahenge,kumiliki mgodi kiwira,dowans,meremeta scandal,rada,ndege ya rais,shule za kata bila maabara,walimu voda fasta,bi kiroboto kuwa spika,kiherehere chao,epa,babu seya,.......na mengine mengi ndio unayoona ya maana kufanywa na nyinyiemu.Nakutakia maisha mema udumu na usife mapema ila uzidi kushuhudia maajabu ya nyinyiemu na bado inatawala.Mpe hi saaaana nape,ila mwambie apunguze mapovu huku sumbawanga kama wajinga vile lkn message delivered jana na leo.
Kweli Posho si mchezo,hatukushangahi wewe ni mmojawapo katika wale vijana mpo kwenye kikosi kazi kinaongozwa na Mnyika hao vijana wanaingia mitandaoni kupindisha ukweli na kupotosha umma hivi tulivyopata uhuru Tanzania ilikuwa kama ilivyo kwenye Miundombinu,Mashule,Mahospitali,vyuo,mawasiliano na mambo mengine mengi? Si vizuri kupotosha umma ,ni nyie cvhadema mnaoshawishi,kuchochea na kudhamini migomo na fujo zote zitokeazo hapa nchini,dhambi hiyo ya kupotosha umma kwa kusema uwongo na kupindisha ukweli kisa mnapewa Posho itawatafuna nyie na uongozi wenu wa chadema na kaeni mkijua haitatokea mkatawala nchi hii kwa mbinu zenu chafu!